Johari: Nimeshakua sasa, kiukweli nina kiu ya mume

Johari: Nimeshakua sasa, kiukweli nina kiu ya mume

Nyie mnaomwita huyu dada mzee mna matatizo, na walio ktk 50s waseme nini? She is not old, neither young ila yuko kwenye umri wa kujitambua na akili imekuwa. Hao 20s mnaowaita vijana ndo shurti ndoa zenu kila siku zimevunjika.
 
Sasa pete zote hizo si ntauliza mengi mimi.

Hata hivyo binafsi nashukuru kwa hiyo picha.

Johari anafaa kupewa second chance.
 
Hahaaa huyu alisema hawezi kuzaa nje ya ndoa,.. Midomo hii tuwage na breki kidogo jamani
 
Hawa masingo moms ukioa utajuta,wengi wao huwa wanakumbushia na wazazi wenzao huku wameolewa,huyo dada atafute mwanaume mtu mzima lakini utashangaa kijana anaingia kichwakichwa anamwoa baadae anaanza kulialia baada ya x wa huyo dada kuanza kumfuatiliafuatili na bila shaka xs wa huyo mdada wengi wao wameshaoa baada ya kumchezea kwa staili zote ambazo zilikua zinawajia kichwani.Lakini asikate tamaa anawezakupata mume ambaye hajali kua ni used au laa na akaacha kuoa mabinti wadogowadogo ambao wapo kitaa.Wanawake wanatakiwa kujifunza kuolewa kwa wakati sio wanasubiri hadi wachoke na kuanza kuhaha kutafuta mume yeyote ilimradi awazibe midomo wanaomsema kua hawezikuolewa zaidi ya kutumika tu.Kila la kheri.
 
Kwa mashabiki wake watilie maanani hii paragraph ya mwisho ya kuhusu ujio wa filamu yake mpya.
 
Time will tell, unastuka kumekucha wala huwezi pata giza ktk nuru!!
 
Kazi kweli kweli...! Nadhani aliyezaa naye, ambembeleze warudiane waanze maisha ya ndoa
 
Nyie mnaomwita huyu dada mzee mna matatizo, na walio ktk 50s waseme nini? She is not old, neither young ila yuko kwenye umri wa kujitambua na akili imekuwa. Hao 20s mnaowaita vijana ndo shurti ndoa zenu kila siku zimevunjika.
Hebu waambie hawa....hao 20's ndio wale wanaoacha mtoto anaumwa nyumbani kwenda kuwa 'video queen'....presha tupu.
 
Back
Top Bottom