Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Kweli kabisa PAULA, hata mimi kuna kipindi niliwahi kupitia hicho unachokisema, mtu akiniona barabaran kwenye gar ananitaman kijana smart ana maisha mazur kumbe moyoni naugua maumivu makali ya mahaba, asikwambie mtu Mapenzi ni kitu kingine ata uwe nani ila kama mahusiano yako hayako poa, basi unajiona huna thaman
Hahahahaaaaa uwiiiii mapenzi haya hayana mwenyewe jamani.....