Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Ila johari nae kapigwa pasi looooh
Na hipsi za tumbo kajaaliwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila johari nae kapigwa pasi looooh
Na hipsi za tumbo kajaaliwaa
mahusiano na ndoa za bongo movies za kijinga sana.
Nilianza kuangalia bongo movies nikiwa mdogo johari hajaolewa,leo naanza kuzeeka bado tu wanagombania kwenye relationship
ray sio muoaji mshenzi mshenzi
kamchezea mainda kambadilisha na dini akawa anamchanganya na johari
leo kwa chuchu ht chuchu nae ajiangalie pia
Huyo Ray mwenyewe kachookaaaaa mpaka huruma jamani.
Nisaidie binamu, ana uzur gan yule kasuku? Uko nyuma flatscreen la maana, miguu kama ufito wa genge, kichwa kama kagongwa na boda boda, kembamba kama mti wa nsumbo, weupe tu unamsitir angekuwa mweus yule
ukipiga chuchu mara moja tu lazima ugande aisee..mtoto anadeka mpaka anazimia aisee..Johari naye kazeeka sijui kama atapata mtu mwingine wakujitoa mhanga...ustaadh na musoma aliishia wapi vile?Nisaidie binamu, ana uzur gan yule kasuku? Uko nyuma flatscreen la maana, miguu kama ufito wa genge, kichwa kama kagongwa na boda boda, kembamba kama mti wa nsumbo, weupe tu unamsitir angekuwa mweus yule
Ray hana jipyaaa hata chuchu kaokota jiwe akidhani ni dhahabu heloooooii
mimi ningepata nafasi ya kumshauri johari ningemwambia amsahau ray for good, uhusiano wao ubaki pale RJ angekuwa bonge la wise women, ila the worse party of it ni kwa vile bado anaamini there is a chance of win him back. hapo anainstole moto wa pasi kwenye moyo wake.
Amsahau kitu gan wakat ray ndo mume wake wametoka mbali na kampuni wamefungua wote, huyo kishumundu zeru zeru sijui chuchu ya ng'ombe au mbuzi akirudishe kwa mumewe frank, Team johar tutamfanyia kitu mbaya ajute maisha yake yote, kaz kuiba mabwana za watu, anajua walipotoka? Na akiendelea ataisoma namba vzur , atarud kwao Tanga uku anaruka kichura chura mfyuuuu maza fantaa
Mwambien huyo kishumundu arudi kwa mumewe, si aliolewa ndoa ya kanisan yule? Kinachomfanya kuiba mabwana za watu kitu gan? Tutamkomesha team johari, atarud Tanga uku anaruka kuchura chura *****
Hawana lolote na couple yao mavimavi...Mimi huyo chuchu nilichoka alivyomuacha mumewe kumbe kisa ni ray?kiukweli sipendi mwanamke anayemchukulia bwana mwenzie...subiri siku ray akipata ki bongo movie kingine atakoma,naona bado hajawajua wanaume japo kazaa na watoto wawili juu...
Amsahau kitu gan wakat ray ndo mume wake wametoka mbali na kampuni wamefungua wote, huyo kishumundu zeru zeru sijui chuchu ya ng'ombe au mbuzi akirudishe kwa mumewe frank, Team johar tutamfanyia kitu mbaya ajute maisha yake yote, kaz kuiba mabwana za watu, anajua walipotoka? Na akiendelea ataisoma namba vzur , atarud kwao Tanga uku anaruka kichura chura mfyuuuu maza fantaa
mine ungeanza kumchukia johari alimuiba ray kwa mainda
wakawa wanalalwa wote kizamuzamu matala ya kizinzi
mainda akabadili dini ili aolewe wappiii
chuchu na mmewe kikubwa dini tofauti na frank nae ana shida yupo australia alioa akaacha mzungu ndo akaanza kudate na chuchu mnalaumu chuchu wakati kakuta dodo halina mwenyewe wanaligombania
chuchu amejimilikisha la kwake analo ndani
huyo johari TUPA KULEEEEE
HILO LAKE JOTOOOOOOOOOOO!!!
HAPATI BARIDI MAISHA YAKEEEEE..!!!
bora johari yeye bado hajaolewa wala kuzaa jamani huyo chuchu amuachie johari ray wake japo nae aolewe....shauri zake huyo chuchu ajishaue kama ray c na ruge...yako wapi?ruge huyooooo na karibuni atamuoa minjino wake zamaradi the same to ray & johari...
Yetu macho mamii,huwezi kuwaachanisha watu waliotoka mbali bwana..