Johari: Sitaki kusikia habari za Chuchu

mhhhh hii hatari jamani....

hatari kidogo wabongo movie wote vicheche
johari alipataga mzungu akadai anaolewa canada huko sijui aliishia wapi mi pia namuonea huruma kweli johari angeolewa au angepata bwana wa kueleweka akatulia johari hanaga skendo za mabwana
ray si muoaji mfujaji
 

Ebu sema wewe, hao wanaomshabikia chuchu ndo hao hao waliokimbia ndoa zao kwa ajili ya mahawahar, watupishe sie
 
nifah ata mie kwa sintah naambiwa sijui google vitu gani.,jamani Sintah nae vipi asa umbea atauchambua na nani??? mscheeeew zake
 
Last edited by a moderator:

A real Man can never be stolen
 
nifah ata mie kwa sintah naambiwa sijui google vitu gani.,jamani Sintah nae vipi asa umbea atauchambua na nani??? mscheeeew zake

Nakuambia nimejaribu naona process ndeeeefu nikaachana nayo,vipi wewe umeweza?atajijua mwenyewe inaonekana zile picha alizopost asubuhi yeye na Zari watu wametiririka kahofia kibarua chake cha kubeba pochi za Zari kuota majani...
 
Last edited by a moderator:
ata mi naona ha ha haaaaa atajijua mwenyewe,nimeweza wapi ma dear nimeachana nae tu mana imeanza ghafla afu bofya apa nyiingi nifah
 
Last edited by a moderator:
Huyo Johari ifike kipindi akubali kushindwa, kila siku yeye mbona mwenzie hatumsikii kuongea.
 

na sasa minjino ana mimba yake nyingine.........
 
Nisaidie binamu, ana uzur gan yule kasuku? Uko nyuma flatscreen la maana, miguu kama ufito wa genge, kichwa kama kagongwa na boda boda, kembamba kama mti wa nsumbo, weupe tu unamsitir angekuwa mweus yule

Hahahaa haaaa
Binamu we.noma
 
labda wanatimiza masharti ya mganga je?kwenye kulana na ray?!!
mi chuchu nimekubali km nyokoooo alivyombadilisha ray maana ray alikua msiri kwenye mapenzi ila sasa hv ray jamani ig huko ndo amejaa hatari hongera chuchu

Huyu mdada ndo aliyekimbia ndoa yake! ?
Kazi kweli kweli!
 

Kwani ray na joha wameoana?au wanaishi tu!?
 
Kumbeeeee
Basi ngoja aumie na yeye
 
mh..mwenzang mjini tunalilia bahati uzuri waachie majini kwa hyo swala la kumpambanisha johar na chuchu kwa uzuri sidhan km la maana af mwanaume akipenda kapenda haangalii sijui sura..ila nawasikitikia kuugombania huo mzoga unaokunywa njugu mawe huu mwaka wa tano
 
Huyo Johari ifike kipindi akubali kushindwa, kila siku yeye mbona mwenzie hatumsikii kuongea.

nisaidie wewe angelita kila siku yeye tuu
mbona mainda mwenzio kabwaga manyanga life goes on!!!
 
Kumbeeeee
Basi ngoja aumie na yeye

ray na johari hawajoana wapenzi tu
kilichotokea mda kidogo almost 7yrs nyuma kipindi wanaanza kutengeneza movie kuna mdau akataka aingie kwenye movi industry mac d akampenda johari akaanza kudate nae mkaka wa watu akatoa 30mils watengeneze muvi ila kampuni itakua ya mac d
ray akaona hapa ndo pakutokea akamlaghai johari wakaanza kudate na wakatoa movi ila hakimiliki na kila kti kikawa cha kwao wawl
mkaka wa watu sh.kumi hakupewa na johari akamuacha yule kaka kwa nyodo zote
mac akalalamika mnyakyusa wa watu kesi ikaisha jujuu maana mahakamani hakuingia nao mkataba wowote ye alikua anafanya akiamini johari ni mpenzi wake
kumbe ray ndo fisi maji mi simuonei huruma johari na ye ndo analazimisha mapenzi hapo
a
 
Nilikuwa nakuambia tuh, johari sio wa kumfananisha na chuchu wala muigizaji yeyote apa bongo, demu katulia na anapiga kazi pia ana maisha mazur kuliko hao wanaohangaika kujiuza kwa wanaume ndo waishi

Kwa kwl Chuchu cjui titi hana uzuri wowote labda rangi tu, ule wembamba kama skeleton chefuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…