Hamna kitu cha namna hiyo Mkuu!Inawezekana Yanga wamepandikiza kitu simba , naanza kupata mwanga , na ndio maana Tarimba kaingia kwa njia ya Sportpesa , tukamtosa mwanetu MO .
Usiwaamini sana hawa , Madaraka selemani tuliambiwa ana miaka 28 kumbe ana 48 !Kwa taarifa JOHN BOCCO bado kinda. Urefu usikupe shida.
Raphael Bocco
Personal information
Full name John Raphael Bocco
Date of birth 5 August 1995 (age 22)
Place of birth Dar es Salaam, Tanzania
Height 1.90 m (6 ft 3 in)[1]
Playing position Striker
Club information
Current team
Azam
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
2008– Azam
National team‡
2009– Tanzania 54 (14)[/color]
[emoji23][emoji23][emoji23]Usiwaamini sana hawa , Madaraka selemani tuliambiwa ana miaka 28 kumbe ana 48 !
Kuna mafia zaidi yake, rejea sakata la victor kosta!Naaam huyo huyo aliyewaletea taarifa ya "salamu na pongezi za Infantino za Ubingwa kwa Yanga SC" na kukata ngebengebe zote za Rufaa ya Simba.
Huyo Jamaa namkubali mno, ni limafia likuu la soka la Bongo!
Unaweza Ukamuita kwa jina lake "Jamali Emery Rweyemamu Rutashobya Malinzi".
[emoji23]
Mbona umetaja hilo tu la Victor Costa!Kuna mafia zaidi yake, rejea sakata la victor kosta!
Duh, haya bhana, ila umafia simba tulianza kitambo, nimetaja victor kosta sababu aliyeingizwa mjini alikuwa ni mwenyekiti wa yanga kipindi hicho jamal malinzi, costa alitinga mazoezoni simba akiwa na jezi ya simba iliyoandikwa jamal malinzi mgongoni kama dharau ya kumuingiza mjini, hata kina husein masha na masatu kama unawaju na uliwaona wakicheza, yanga walipigwa tobo dk za mwisho!Mbona umetaja hilo tu la Victor Costa!
Nikianza kukutajia
Akina Kaseke,Twite na wengineo utaweka wapi sura yako!
Juma Kaseja hakuagi,kila miaka ana miaka 22Usiwaamini sana hawa , Madaraka selemani tuliambiwa ana miaka 28 kumbe ana 48 !
Simba acheni kuchukua mitumba banaNgoja tuone atafanya nini msimbazi, ila kiwango chake kama kimeshuka vile!!! [emoji86][emoji86][emoji86]
Mkuu boko haram anakusuta tu kwa sasaSimba sc bhana boco amekwisha uyo
Boko anawajibu kwa vitendo nyie endeleeni kutombokaBocco atakuwa anacheza gama la SIMBA na YANGA tu maana mifupa yake imeshachoka.
Mkuu jitahidi kuwa na akiba ya maneno next timeAveva hakika amechoka , hivi huyu babu ni wa nini simba ?
Hebu rudia tena tukusikieeeeee???Simba sc bhana boco amekwisha uyo
Makaburi kama haya ni vizuri kuyafukuaaAveva hakika amechoka , hivi huyu babu ni wa nini simba ?