John Bocco asaini Simba miaka miwili!!!

John Bocco asaini Simba miaka miwili!!!

Naaam huyo huyo aliyewaletea taarifa ya "salamu na pongezi za Infantino za Ubingwa kwa Yanga SC" na kukata ngebengebe zote za Rufaa ya Simba.

Huyo Jamaa namkubali mno, ni limafia likuu la soka la Bongo!

Unaweza Ukamuita kwa jina lake "Jamali Emery Rweyemamu Rutashobya Malinzi".

[emoji23]
Ananyea Debe possibly anaweza kuishia hukooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom