John Bocco huwa anaingizwa kufanya nini kwenye mechi za kimataifa?

John Bocco huwa anaingizwa kufanya nini kwenye mechi za kimataifa?

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Bocco anayo rekodi nzuri pale Simba na hakika mchango wake ndani na nje ya uwanja hauwezi kusahaulika.

Ila kwasasa ni vizuri uhalisia ukazingatiwa, John umri umemtupa mkono. Mechi za kimataifa zinataka kasi na umakini mkubwa.

Leo amepoteza mipira mingi sana kwa dakika chache alizocheza. Atumike kwenye michuano mingine lakini sio CAFCL.
 
Mambumbumbu wenzangu toka MAKOLOKOLO FC chonde chonde tusijisahau sana maana mwisho wa safari yetu hauko mbali sana [emoji28]
 
Utopolo embu mtuache...hangaikeni na Li timu lenu.

Li timu lenu Lina Miaka 24 Halijaingia Makundi CAF Champion.....!

Kuna Mizee pale inakula Pensheni Ya Bure kbs MNAIFUGA.. !
Juma Shabani.
Kisinda
Aucho
Bangala
Yanga ikitaka mafanikio Hawa wote timua Leta damu Changa.....!
 
Ni kocha mchezaji.
Anaenda kuwaelekeza wachezaji uwanjani.
Kama Hassan Haffif.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Yaani unaacha kumuingiza Kapama unamuingiza mtu ambae hata kukimbia ni tatizo!!
Mgunda nae michosho saa nyingine
Inasikitisha, akina kyombo wanakaa nje anaingizwa mzee.
 
Amecheza mechi mbili za kimataifa msimu huu sawa na dk 42 na ana goli moja hivyo usimdharau
Amefunga baada ya kukutana na mpira kwenye njia. Game za sasa zinahitaji mwili flexible na wenye nguvu. Magoli rahisi kama yale hayatakuwepo huko mbele tunakoenda.
 
Utopolo embu mtuache...hangaikeni na Li timu lenu.

Li timu lenu Lina Miaka 24 Halijaingia Makundi CAF Champion.....!

Kuna Mizee pale inakula Pensheni Ya Bure kbs MNAIFUGA.. !
Juma Shabani.
Kisinda
Aucho
Bangala
Yanga ikitaka mafanikio Hawa wote timua Leta damu Changa.....!
Wewe mgeni hapa jf? Mimi ni fan mkubwa wa Simba. Bocco ameshapitwa na wakati kwa game za kasi na nguvu kama za cafcl. Tuache kuongea kishabiki.
 
Back
Top Bottom