Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
- #21
Mkuu malawi alifanya nini? Maana nakumbuka alikutana na mpira akafunga. Game za cafcl zinataka mapambano ambayo bocco hayawezi tena.Kuna washabiki hawajui mpira wanafuata mkumbo tu..wamesahau kule Malawi alichokifanya.