John Bolton, mgomvi wa Trump na mshauri wa masuala ya ulinzi asema Israel imeshindwa vita

Watoto wa mnyaazi kwa kujifariji hamjambo,sasa mtu kakufurusha kwako na bado unasema kashindwa,mpaka sasa hao Hamas wapo kwenye mashimo kama fuko.
 
Mjanja mjanja flani hivi WA mjini,anaelimu kuubwa ya kwenye makaratasi kama mossad na idf,Rudi kwenye utekelezaji ni sifuri.

Israel imevuliwa nguo.
Nina mavitabu software ya Mossad, nimeyafuta yote...hamna kitu pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…