S Samson Ngomboli JF-Expert Member Joined Oct 30, 2019 Posts 1,598 Reaction score 2,710 Nov 27, 2023 #21 Watoto wa mnyaazi kwa kujifariji hamjambo,sasa mtu kakufurusha kwako na bado unasema kashindwa,mpaka sasa hao Hamas wapo kwenye mashimo kama fuko.
Watoto wa mnyaazi kwa kujifariji hamjambo,sasa mtu kakufurusha kwako na bado unasema kashindwa,mpaka sasa hao Hamas wapo kwenye mashimo kama fuko.
Mr Slim JF-Expert Member Joined Sep 11, 2018 Posts 2,652 Reaction score 5,242 Nov 28, 2023 #22 wangatala said: Mjanja mjanja flani hivi WA mjini,anaelimu kuubwa ya kwenye makaratasi kama mossad na idf,Rudi kwenye utekelezaji ni sifuri. Israel imevuliwa nguo. Click to expand... Nina mavitabu software ya Mossad, nimeyafuta yote...hamna kitu pale
wangatala said: Mjanja mjanja flani hivi WA mjini,anaelimu kuubwa ya kwenye makaratasi kama mossad na idf,Rudi kwenye utekelezaji ni sifuri. Israel imevuliwa nguo. Click to expand... Nina mavitabu software ya Mossad, nimeyafuta yote...hamna kitu pale
Nyambiza jr JF-Expert Member Joined Oct 5, 2018 Posts 1,033 Reaction score 1,841 Nov 28, 2023 #23 Netanyau anatumia bunduki kumuua Mbu [emoji3][emoji3][emoji3]
L luvyandi Member Joined Jan 12, 2023 Posts 6 Reaction score 10 Nov 28, 2023 #24 kama israel kapigwa na hamas bas Tanzania tunampiga kwa wiki Israel Tena anachakaa
W wangatala JF-Expert Member Joined Apr 4, 2022 Posts 3,606 Reaction score 7,671 Nov 28, 2023 #25 Mr Slim said: Nina mavitabu software ya Mossad, nimeyafuta yote...hamna kitu pale Click to expand...
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 28, 2023 #26 Ahsante kwa taarifa...