Geofrey Maseta
JF-Expert Member
- Nov 24, 2015
- 1,115
- 916
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangawizi,Tanzania ni yetu sote. Tunapenda kusahau hilo. Hakuna dini wala race au kabila litakayoitaifisha mama Tanzania kama hodhi yake binafsi. Tuijenge Tanzania kwa watanzania
Mi nilisoma na mwana hivi anaitwa Paulo john pale iyunga technical mbeya Ila alinitangulia madarasa kama mawili mbele alikuwa chotara chotara hivi .nilisoma na mjukuu wake
Mbona huyo Paul John simkumbuki katika watoto wake!au alikuwa wa mchepuko.Mi nilisoma na mwana hivi anaitwa Paulo john pale iyunga technical mbeya Ila alinitangulia madarasa kama mawili mbele alikuwa chotara chotara hivi .
Siku ya maafali mzee na mkewe walikuja
Kiwelu si alikuwa Luteni Generali mpaka anastaafu hakuwahi kuwa Generali kamili kumbukumbu zangu zinaniambia.Ila nakumbuka utawala wa mkapa aliwapandisha vyeo vya U-Jenerali Sarakikya sikumbuki na nani wakiwa wameshastaafu!
John Barton Walden
Stanley na Adolf pamoja na dada yao wa mwisho Chuchu wapo Uingereza sister wao mkubwa Mariam alikuwa anaishi Tabora akahamia Mwanza, sijui kama bado yupo huko.Nalikuwa namkubali sana huyu commander JB Walden,nilikuwa nawafahamu watoto wake Margreth,Mary,Stella,Stanley na Adolf na mama yao, Sijui wako wapi kwa sasa.
Mjane wa JBW (Angel Adolf) yupo Dar.Nalikuwa namkubali sana huyu commander JB Walden,nilikuwa nawafahamu watoto wake Margreth,Mary,Stella,Stanley na Adolf na mama yao, Sijui wako wapi kwa sasa.