John Cheyo: Hakuna chama cha upinzani ambacho ni kikubwa kuliko vyama vingine

John Cheyo: Hakuna chama cha upinzani ambacho ni kikubwa kuliko vyama vingine

Mwenyekiti wa Chama cha UDP anasema hakuna chama cha upinzani ambacho ni kikubwa kuliko vingine.

"Tunaona kuna chama tawala na kuna chama kinajiita sisi kikubwa!, hakuna chama cha upinzani kikubwa kuliko vingine, namshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kutaka mchakato wa Katiba mpya uwe Shirikishi maana hatutafuti katiba ya vyama viwili"

"Wanapoanza kuzungumza kwenye mikutano kwamba kuna vyama vingine ni vyama vya mfukoni mara vyama vya namna gani, mara kuna vyama vimeolewa na CCM hii sio sawa, sisi kama UDP hilo tunaona litatugawa".

"Njia nzuri ya kufikia mchakato wa Katiba mpya ni kufuata maelekezo ya Mhe. Rais Samia aliyotoa, kwamba mchakato uwe shirikishi, wote tushirikishwe, na wananchi ndio wapewe kipaumbele sio chama kimoja wala viwili." - Mzee John Momose Cheyo.
CHAMA CHA UPINZANI ni KIMOJA TU hata wewe unakijua CHAMA chako ni TAWI la ccm
 
Mwenyekiti wa Chama cha UDP anasema hakuna chama cha upinzani ambacho ni kikubwa kuliko vingine.

"Tunaona kuna chama tawala na kuna chama kinajiita sisi kikubwa!, hakuna chama cha upinzani kikubwa kuliko vingine, namshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kutaka mchakato wa Katiba mpya uwe Shirikishi maana hatutafuti katiba ya vyama viwili"

"Wanapoanza kuzungumza kwenye mikutano kwamba kuna vyama vingine ni vyama vya mfukoni mara vyama vya namna gani, mara kuna vyama vimeolewa na CCM hii sio sawa, sisi kama UDP hilo tunaona litatugawa".

"Njia nzuri ya kufikia mchakato wa Katiba mpya ni kufuata maelekezo ya Mhe. Rais Samia aliyotoa, kwamba mchakato uwe shirikishi, wote tushirikishwe, na wananchi ndio wapewe kipaumbele sio chama kimoja wala viwili." - Mzee John Momose Cheyo.
Huyu tumsamehe ameshakuwa juha
 
Linapokuja suala la Katiba Vyama vyote vya Siasa ni minute..., Katiba ni nchi ni ya Wananchi hivyo vyama wakiwa wanatengeneza Katiba zao ndio waendekeze ukubwa wao...
 
Mwenyekiti wa Chama cha UDP anasema hakuna chama cha upinzani ambacho ni kikubwa kuliko vingine.

"Tunaona kuna chama tawala na kuna chama kinajiita sisi kikubwa!, hakuna chama cha upinzani kikubwa kuliko vingine, namshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kutaka mchakato wa Katiba mpya uwe Shirikishi maana hatutafuti katiba ya vyama viwili"

"Wanapoanza kuzungumza kwenye mikutano kwamba kuna vyama vingine ni vyama vya mfukoni mara vyama vya namna gani, mara kuna vyama vimeolewa na CCM hii sio sawa, sisi kama UDP hilo tunaona litatugawa".

"Njia nzuri ya kufikia mchakato wa Katiba mpya ni kufuata maelekezo ya Mhe. Rais Samia aliyotoa, kwamba mchakato uwe shirikishi, wote tushirikishwe, na wananchi ndio wapewe kipaumbele sio chama kimoja wala viwili." - Mzee John Momose Cheyo.
Kwa kuwa UDP ni kubwa kuliko CCM basi yuko sawa.
 
Kuna siku ulimsikia Mwendazake akijiapisha lazima UDP ife kama alivyojiapisha kwa Chadema?
Kuna tetesi Mapesa alikuwa anavuta mshiko kwa Hayati sasa anatafuta gia ya kumuingia Dr Samia
 
Mwenyekiti wa Chama cha UDP anasema hakuna chama cha upinzani ambacho ni kikubwa kuliko vingine.

"Tunaona kuna chama tawala na kuna chama kinajiita sisi kikubwa!, hakuna chama cha upinzani kikubwa kuliko vingine, namshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kutaka mchakato wa Katiba mpya uwe Shirikishi maana hatutafuti katiba ya vyama viwili"

"Wanapoanza kuzungumza kwenye mikutano kwamba kuna vyama vingine ni vyama vya mfukoni mara vyama vya namna gani, mara kuna vyama vimeolewa na CCM hii sio sawa, sisi kama UDP hilo tunaona litatugawa".

"Njia nzuri ya kufikia mchakato wa Katiba mpya ni kufuata maelekezo ya Mhe. Rais Samia aliyotoa, kwamba mchakato uwe shirikishi, wote tushirikishwe, na wananchi ndio wapewe kipaumbele sio chama kimoja wala viwili." - Mzee John Momose Cheyo.
Kichaa kinamrudia....
 
LEO NDIO UNAJUA HAYO,HAPO ZAMA ZA KABLA YA SASA"MLITUMIKA KUUNGA JUHUDI TU NA KUPONDA KILA HITAJI LA WENYE NCHI"NA KUBEZA WENGINE..!!,TENA SI VYAMA VYA UPINZANI HATA WANANCHI WASIONA NA VYAMA..LEO UMETIA AKILI,UNAJIRAMBARAMBA KWA MAMA..MBONA WANASIASA WA TZ MNAJIVUA NGUO KWA KUTOANGALIA HATMA YA WA TZ!?.HAYA BWANA KIPINDI CHA BI MKUBWA TUMEWASOMA VYEDI(VIZURI).
 
Back
Top Bottom