John Heche akutana na Tundu Lissu Nchini Italia

John Heche akutana na Tundu Lissu Nchini Italia

Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na mmoja wa wawakilishi wa Chadema kwenye Mazungumzo ya Maridhiano , John Heche , Amekutana na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu Nchini Italia .

View attachment 2368707View attachment 2368708

Mpaka sasa bado haijafahamika ajenda ya kukutana kwao , Bali vikao vizito vimeonekana kuendelea kati yao .

Endelea kututegea sikio hapahapa JF kwa Taarifa zaidi .
Mungu zidi kuibariki CHADEMA [emoji1752][emoji1545]
 
Mungu zidi kuibariki CHADEMA [emoji1752][emoji1545]
JamiiForums753274111.jpg
 
Tukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA alisikika Lisu msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania lakini badala yake tukaja kulipwa billion 700 na Acacia ikafutwa na ikaundwa kampuni mpya ya Twiga ambayo Tanzania tuna hisa 16% na kwenye top management ya kampuni wapo watanzania.

Kupitia kampuni mpya ya Twiga Watanzania wameendelea kupata gawio la mabilioni ya fedha kila mwaka zinazotokana na mauzo ya madini. Lisu alilipwa na nani kuwadanganya Watanzania?

Lisu ni msaliti anayejiamini sana
Achana na mbwembwe za Mwigulu. CAG report ya 2020/2021 inaonesha deni bado lipo.
 
Tukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA alisikika Lisu msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania lakini badala yake tukaja kulipwa billion 700 na Acacia ikafutwa na ikaundwa kampuni mpya ya Twiga ambayo Tanzania tuna hisa 16% na kwenye top management ya kampuni wapo watanzania.

Kupitia kampuni mpya ya Twiga Watanzania wameendelea kupata gawio la mabilioni ya fedha kila mwaka zinazotokana na mauzo ya madini. Lisu alilipwa na nani kuwadanganya Watanzania?

Lisu ni msaliti anayejiamini sana
YOU KNOW less chimba zaidi uone
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na mmoja wa wawakilishi wa Chadema kwenye Mazungumzo ya Maridhiano , John Heche , Amekutana na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu Nchini Italia .

View attachment 2368707View attachment 2368708

Mpaka sasa bado haijafahamika ajenda ya kukutana kwao , Bali vikao vizito vimeonekana kuendelea kati yao .

Endelea kututegea sikio hapahapa JF kwa Taarifa zaidi .
TRAB na TRAT.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na mmoja wa wawakilishi wa Chadema kwenye Mazungumzo ya Maridhiano , John Heche , Amekutana na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu Nchini Italia .

View attachment 2368707View attachment 2368708

Mpaka sasa bado haijafahamika ajenda ya kukutana kwao , Bali vikao vizito vimeonekana kuendelea kati yao .

Endelea kututegea sikio hapahapa JF kwa Taarifa zaidi .
Naona lisu anamtafutia heche mabwana huko italia. Nina maana mabwana wa kumgeuza kibaraka wa kuwafanyia kazi mabeberu wa magharibi kama alivyo yeye mwenyewe. Of cause kuna yule dalali shoga amsterdam anawashauri jinsi ya kutumika vizuri kama vibaraka wa ubeberu.
 
Wanataka kumpindua mwenyekiti wao. Chadema kuweni makini Kuna mapinduzi ya uongozi yanaandaliwa na kuratibuwa na heche. Taarifa za ndani tunazo

Siungi mkono uenyekiti wa mbowe lakini siungi mkono mapinduzi yoyote, mbowe anapaswa kuondolewa kwa amani. Lissu amesaliti taifa anataka kusaliti na chama chake.
Mama yako ni Bora angekunya kinyesi kuliko kutuzalia takataka kama wewe
 
Wanataka kumpindua mwenyekiti wao. Chadema kuweni makini Kuna mapinduzi ya uongozi yanaandaliwa na kuratibuwa na heche. Taarifa za ndani tunazo

Siungi mkono uenyekiti wa mbowe lakini siungi mkono mapinduzi yoyote, mbowe anapaswa kuondolewa kwa amani. Lissu amesaliti taifa anataka kusaliti na chama chake.
JPM na Samia wameshindwa pamoja na majeshi yote ndio aweze Heche? acheni porojo zisizo na kichwa Wala miguu!! Jipangeni 2025 sijui mtawaambia nini wananchi maana hakuna mlichofanya ilihali mna bunge, serikali, na madiwani woteee!
 
JPM na Samia wameshindwa pamoja na majeshi yote ndio aweze Heche? acheni porojo zisizo na kichwa Wala miguu!! Jipangeni 2025 sijui mtawaambia nini wananchi maana hakuna mlichofanya ilihali mna bunge, serikali, na madiwani woteee!
Unazungumzia wananchi wapi? Mbowe miezi 8 jela, uliona hata panya wakiandamana?
 
Tukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA alisikika Lisu msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania lakini badala yake tukaja kulipwa billion 700 na Acacia ikafutwa na ikaundwa kampuni mpya ya Twiga ambayo Tanzania tuna hisa 16% na kwenye top management ya kampuni wapo watanzania.

Kupitia kampuni mpya ya Twiga Watanzania wameendelea kupata gawio la mabilioni ya fedha kila mwaka zinazotokana na mauzo ya madini. Lisu alilipwa na nani kuwadanganya Watanzania?

Lisu ni msaliti anayejiamini sana
Wewe hakika ni kiazi kabisa kama unaamini hivyo kuwa hicho kiasi tulicholipwa kama unavyodai kinaendana na madai halisi nadhani siyo bure utakuwa matatizo kichwani jichunguze Mkuu unaweza ukawa miongoni mwawatanzania wachache wenyeugonjwa wa akili Amini
 
Back
Top Bottom