Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,000
- 7,336
Lissu anakula maisha huku Kijogoodi Countrywide Stroke Magonjwa Mtambuka na lumumba bk7 wengine wakitaabika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma kweli yaani !!Lissu anakula maisha huku Kijogoodi Countrywide Stroke Magonjwa Mtambuka na lumumba bk7 wengine wakitaabika.
Huyo aliekuambia tumelipwa bilioni 700 muulize zile trillion 360 ziliyeyukia wapi
Mungu zidi kuibariki CHADEMA [emoji1752][emoji1545]Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na mmoja wa wawakilishi wa Chadema kwenye Mazungumzo ya Maridhiano , John Heche , Amekutana na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu Nchini Italia .
View attachment 2368707View attachment 2368708
Mpaka sasa bado haijafahamika ajenda ya kukutana kwao , Bali vikao vizito vimeonekana kuendelea kati yao .
Endelea kututegea sikio hapahapa JF kwa Taarifa zaidi .
Mungu zidi kuibariki CHADEMA [emoji1752][emoji1545]
Achana na mbwembwe za Mwigulu. CAG report ya 2020/2021 inaonesha deni bado lipo.Tukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA alisikika Lisu msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania lakini badala yake tukaja kulipwa billion 700 na Acacia ikafutwa na ikaundwa kampuni mpya ya Twiga ambayo Tanzania tuna hisa 16% na kwenye top management ya kampuni wapo watanzania.
Kupitia kampuni mpya ya Twiga Watanzania wameendelea kupata gawio la mabilioni ya fedha kila mwaka zinazotokana na mauzo ya madini. Lisu alilipwa na nani kuwadanganya Watanzania?
Lisu ni msaliti anayejiamini sana
YOU KNOW less chimba zaidi uoneTukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA alisikika Lisu msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania lakini badala yake tukaja kulipwa billion 700 na Acacia ikafutwa na ikaundwa kampuni mpya ya Twiga ambayo Tanzania tuna hisa 16% na kwenye top management ya kampuni wapo watanzania.
Kupitia kampuni mpya ya Twiga Watanzania wameendelea kupata gawio la mabilioni ya fedha kila mwaka zinazotokana na mauzo ya madini. Lisu alilipwa na nani kuwadanganya Watanzania?
Lisu ni msaliti anayejiamini sana
TRAB na TRAT.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na mmoja wa wawakilishi wa Chadema kwenye Mazungumzo ya Maridhiano , John Heche , Amekutana na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu Nchini Italia .
View attachment 2368707View attachment 2368708
Mpaka sasa bado haijafahamika ajenda ya kukutana kwao , Bali vikao vizito vimeonekana kuendelea kati yao .
Endelea kututegea sikio hapahapa JF kwa Taarifa zaidi .
Naona lisu anamtafutia heche mabwana huko italia. Nina maana mabwana wa kumgeuza kibaraka wa kuwafanyia kazi mabeberu wa magharibi kama alivyo yeye mwenyewe. Of cause kuna yule dalali shoga amsterdam anawashauri jinsi ya kutumika vizuri kama vibaraka wa ubeberu.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na mmoja wa wawakilishi wa Chadema kwenye Mazungumzo ya Maridhiano , John Heche , Amekutana na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu Nchini Italia .
View attachment 2368707View attachment 2368708
Mpaka sasa bado haijafahamika ajenda ya kukutana kwao , Bali vikao vizito vimeonekana kuendelea kati yao .
Endelea kututegea sikio hapahapa JF kwa Taarifa zaidi .
Anakula maisha kwa kulelewa na wanaume wengine?Lissu anakula maisha huku Kijogoodi Countrywide Stroke Magonjwa Mtambuka na lumumba bk7 wengine wakitaabika.
Mama yako ni Bora angekunya kinyesi kuliko kutuzalia takataka kama weweWanataka kumpindua mwenyekiti wao. Chadema kuweni makini Kuna mapinduzi ya uongozi yanaandaliwa na kuratibuwa na heche. Taarifa za ndani tunazo
Siungi mkono uenyekiti wa mbowe lakini siungi mkono mapinduzi yoyote, mbowe anapaswa kuondolewa kwa amani. Lissu amesaliti taifa anataka kusaliti na chama chake.
JPM na Samia wameshindwa pamoja na majeshi yote ndio aweze Heche? acheni porojo zisizo na kichwa Wala miguu!! Jipangeni 2025 sijui mtawaambia nini wananchi maana hakuna mlichofanya ilihali mna bunge, serikali, na madiwani woteee!Wanataka kumpindua mwenyekiti wao. Chadema kuweni makini Kuna mapinduzi ya uongozi yanaandaliwa na kuratibuwa na heche. Taarifa za ndani tunazo
Siungi mkono uenyekiti wa mbowe lakini siungi mkono mapinduzi yoyote, mbowe anapaswa kuondolewa kwa amani. Lissu amesaliti taifa anataka kusaliti na chama chake.
Kwani wewe Pambalu ni team wangwe au mbowe?Uongo hautakusaidia chochote
ya kutunga kutoka kwenye fuvu lako ?Unaunga mkono mapinduzi?
Unazungumzia wananchi wapi? Mbowe miezi 8 jela, uliona hata panya wakiandamana?JPM na Samia wameshindwa pamoja na majeshi yote ndio aweze Heche? acheni porojo zisizo na kichwa Wala miguu!! Jipangeni 2025 sijui mtawaambia nini wananchi maana hakuna mlichofanya ilihali mna bunge, serikali, na madiwani woteee!
Kuna fukuto ndani ya chama.ya kutunga kutoka kwenye fuvu lako ?
Duuh wacha apate therapy maana amepitia Nyakati ngumu sanaLissu anakula maisha huku Kijogoodi Countrywide Stroke Magonjwa Mtambuka na lumumba bk7 wengine wakitaabika.
Wewe hakika ni kiazi kabisa kama unaamini hivyo kuwa hicho kiasi tulicholipwa kama unavyodai kinaendana na madai halisi nadhani siyo bure utakuwa matatizo kichwani jichunguze Mkuu unaweza ukawa miongoni mwawatanzania wachache wenyeugonjwa wa akili AminiTukiwagusa Acacia tutashitakiwa MIGA alisikika Lisu msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania lakini badala yake tukaja kulipwa billion 700 na Acacia ikafutwa na ikaundwa kampuni mpya ya Twiga ambayo Tanzania tuna hisa 16% na kwenye top management ya kampuni wapo watanzania.
Kupitia kampuni mpya ya Twiga Watanzania wameendelea kupata gawio la mabilioni ya fedha kila mwaka zinazotokana na mauzo ya madini. Lisu alilipwa na nani kuwadanganya Watanzania?
Lisu ni msaliti anayejiamini sana
Endelea kutunga ili ulipwe elfu 7Kuna fukuto ndani ya chama.