John Heche: CHADEMA ina wanachama milioni nane

Anaota baada ya kula kijiti.
 
Wanachana milioni 8 lakini ajabu walipoitisha maandamano baada ya uchaguzi hakutoka ata mtu mmoja., ata Tundulisu kiongozi wa upinzani hakuwa jasiri., hakutokeza mahali popote siku ile lakini pia sasa Mwenyekiti wa Chama yupo jela kwa kile wanachodai kabambikiziwa lakini hakuna chochote kinachotokea kwa hao wanachama milioni 8 kwa Mwenyekiti wao ana anaendelea kusota jela.,
 
heche atakuwa anamaanisha chadema ina wanachama 8,kwenye maandamano hata `10 hamfiki
Kama ndio hivyo kwa nini huwa mnaweweseka huko lumumba na kujinyea nyea mnapo sikia CHADEMA wew Kibwetele?
 

Nimemsikiliza kwa makini sana maana anatema madini tupu.

Mimi ni mpenzi wa The Big Agenda ila kwa ijumaa sijakitazama kwakuwa alikuwa polepole hakuna cha maana angekisema zaidi ya tantalila na mipasho mtu mwenye ndimi mbili(popo) haaminiki.
 
Hao mil 8 ni wale wasioogopa kutekwa wala kulogwa na vile vizee vyao , wako waliojificha zaidi ya 10mil wanaunga mkono chadema
 
Povu kama lote, unateseka kusikia Chadema inaishi bila kutegemea ruzuku.
na bado MaCCM mtatembea uchi mkisikia tumegonga milion 10:
 
Hao mil 8 ni wale wasioogopa kutekwa wala kulogwa na vile vizee vyao , wako waliojificha zaidi ya 10mil wanaunga mkono chadema
8M kwa usawa huu. Kumbe Tz More than 15 M wapiga kura ni Chadema. Maana mazingira yenyewe yanatisha
 
Nimemsikiliza kwa makini sana maana anatema madini tupu.

Mimi ni mpenzi wa The Big Agenda ila kwa ijumaa sijakitazama kwakuwa alikuwa polepole hakuna cha maana angekisema zaidi ya tantalila na mipasho mtu mwenye ndimi mbili(popo) haaminiki.
Alibaki kuwatukana wahuni wenzake tu.
 
Nchi ina Watanzania more than 60M
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…