stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Unatumia simu aina gani?
https://play-lh.googleusercontent.c...NBwuYa2SsK3g1Oj-f_M3xZAsN-ZZgEg=w1440-h757-rw ivi mko serious kwl nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia simu aina gani?
Chadema is next level, ujumbe ukamfikie kingai,Mahita, Good lack, Juma nne, kamati ya siasa TOKA magogoni, mwenyekiti wa ccm,katibu mkuu, na mwenezi, wanaccm wote, na kamati zote za roho mbaya,Mbunge wa zamani wa Chadema jimbo la Tarime amesema hivi sasa chama hicho kimepata mafanikio makubwa kutokana na kampeni ya Chadema digito inayoendelea. Amesema hayo leo tarehe 4 Disemba 2021 kupitia kipindi cha Medani ya Siasa cha Star TV kinachoendeshwa na Odemba. Amesema kupitia kampeni hiyo chama hicho kimesajili wanachama milioni nane.
Aidha amesema kutokana na kuwa na wanachama hao milioni nane ambao wanachangia Shs. 500/= kwa mwezi kila mmoja, Chama kinapata Shs. Bilioni nne kwa mwezi.
Fedha hizo zitakiwezesha Chadema kuendesha shughuli za kiofisi na kujenga ofisi mpya katika majimbo mbalimbali.
Unaweza kudhani watanzania wana matatizo, kumbe wewe ndio mwenye matatizo.
Kuwa brainwashed kubaya sana.
View attachment 2033667
Hata Zambia utawala na wafia tumbo walibeza Sana Rais wao mpya, leo wanajitekenya na kucheka wenyewe, hakuna jipya chin ya juaWanachana milioni 8 lakini ajabu walipoitisha maandamano baada ya uchaguzi hakutoka ata mtu mmoja., ata Tundulisu kiongozi wa upinzani hakuwa jasiri., hakutokeza mahali popote siku ile lakini pia sasa Mwenyekiti wa Chama yupo jela kwa kile wanachodai kabambikiziwa lakini hakuna chochote kinachotokea kwa hao wanachama milioni 8 kwa Mwenyekiti wao ana anaendelea kusota jela.,
Maccm ni mataahira kabisaMagaidi milioni 8.
Umeanza, lakini ulisikia kauli ya mwenyekiti wenu, amewambia Tabia yakutaka muangushia jumba bovu mkome,hmm baba, app ina downloads 10K tu hao mil nane wametoka wap
Kama wewe ni mchumia tumbo utaonekana umenunuliwa tu kwa sababu utapewa nafasi ya kulipwa mshahara, lakini kwa wanaojiweza wananunua nafasi za uongozi!Hivi wanaccm kama kina lowasa, sumaye, nyalandu na wengine walivyohamia chadema nao walinunuliwa na chadema mbona wanachadema wanaohamia ccm wanaonekana wamenunuliwa ila wanaccm wakienda chadema hawaonekani wakinunuliwa hizi propaganda za kinafiki
Tunajenga kwenye bongo za wamachama kwanza. Achana na majengoBillioni 4 kwa mwezi ni fedha nyingi sana wajenge ofisi ya makao makuu sasa kama kweli.
lakini je; wanachama watalipia hiyo ada ya uanachama?
Kwani kujiunga lazima udownload app?? we wa wapi aiseehmm baba, app ina downloads 10K tu hao mil nane wametoka wap
Lkn jini jiwe katangulia. Tena kafa kifo cha kizembe na kishamba sanaKwani wewe hutakufa usijivunie uhai wote tutakufa
kama uotavyo kwa upande wako. Asante sanaNdoto za abnuwasi
Akili yako haina akiliMtekwe na nani nyie na nani awaibie kura chadema imekosa sera na mvuto kwa wananchi mmebakia kutafuta huruma za wananchi na mataifa ya mabeberu hizi za kutekwa, kuibiwa kura, kuuawa ni propaganda za chadema baada ya kushindwa uchaguzi
Kwani kujiunga lazima udownload app?? we wa wapi aisee
Umeanza, lakini ulisikia kauli ya mwenyekiti wenu, amewambia Tabia yakutaka muangushia jumba bovu mkome,
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Dah!Nyumbu millioni 8
Ujue na Mama yako Jana kajiunga digital, hivyo tukana kwa tahadhaliNyumbu millioni 8
Polepole anaulizwa mikutano ya siasa imezuiwa kwa sheria ipi anasema nchi haiongozwi kwa katiba na sheria tu bali pamoja na matamko, amri na utamaduni!
Nasikia ipo na ccm c Sasa ,mwafaaa ccmSisi kama gang hatuna siasa izo wafanya ccm B