John Heche: CHADEMA ina wanachama milioni nane

Kwani CAG hakagui? Hata PCCB walikagua hawakuona ubadhirifu ila ww layman wa JF ndio una doubt??

CHADEMA ilisimamisha wagombea 95% ya mitaa, vijiji na vitongoji alafu unadhani hakijasambaa kama CCM!!?
Na hii ndiyo ilimtisha sana dikteta uchwara akaamua kuuvuruga uchaguzi wa Serikali za mitaa.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Sukuma gang naona unajipa faraja baada ya jini lenu kufa na Sasa linabagazwa na mama kwamba lilikuwa fisadi
Yaani unawatukana Bure sukumagang yaani sio ccm Wala Chadema yeyote anaweza kuwachukua ninyi Chadema hamjitambui tyuu hawa Sasa sukumagang wananing'ia Kama mtakuwa na ushawishi mtaweza kuwachukua, kazi kenyuu sasa
 
Huo ndio mtaji wa chama; na mkiweza kuutumia vyema mtaji huo hakuna litakaloshindikana mbele yenu.

Hakuna anayeweza kuchezea kura za watu milioni nane, hata awe na jeshi kubwa kiasi gani. Kazi mliyobaki kuifanya nyinyi viongozi ni jinsi ya kuwaongoza hao wanachama wenu kukataa kudhurumiwa haki zao.
 
CCM imebaki kwenye vitabu vya historia tu. Inategemea vyombo vya dola tu
 
CCM imebaki kwenye vitabu vya historia tu. Inategemea vyombo vya dola tu

tuendelee kuishi kwa kufikiri baada ya kuwa more practical tukilala na kuota...
 
hmm baba, app ina downloads 10K tu hao mil nane wametoka wap
 
Rudi kwenye uchanguzi wa 2015 angalia idara ya wapiga kura

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza wajenge makao makuu ya chama.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…