Ni Mpumbavu pekee anayeweza kuamini kuwa Chadema ilipata kura 1.2Mkwenye maandamano,kesi ya mbowe wanatokea 10
million 8 lkn wana mbunge mmoja,lissu alipata kura 1.2 millions
heche atakuwa anamaanisha chadema ina wanachama 8,kwenye maandamano hata `10 hamfiki
Na hii ndiyo ilimtisha sana dikteta uchwara akaamua kuuvuruga uchaguzi wa Serikali za mitaa.Kwani CAG hakagui? Hata PCCB walikagua hawakuona ubadhirifu ila ww layman wa JF ndio una doubt??
CHADEMA ilisimamisha wagombea 95% ya mitaa, vijiji na vitongoji alafu unadhani hakijasambaa kama CCM!!?
Yaani unawatukana Bure sukumagang yaani sio ccm Wala Chadema yeyote anaweza kuwachukua ninyi Chadema hamjitambui tyuu hawa Sasa sukumagang wananing'ia Kama mtakuwa na ushawishi mtaweza kuwachukua, kazi kenyuu sasaSukuma gang naona unajipa faraja baada ya jini lenu kufa na Sasa linabagazwa na mama kwamba lilikuwa fisadi
Huo ndio mtaji wa chama; na mkiweza kuutumia vyema mtaji huo hakuna litakaloshindikana mbele yenu.Mbunge wa zamani wa Chadema jimbo la Tarime amesema hivi sasa chama hicho kimepata mafanikio makubwa kutokana na kampeni ya Chadema digito inayoendelea. Amesema hayo leo tarehe 4 Disemba 2021 kupitia kipindi cha Medani ya Siasa cha Star TV kinachoendeshwa na Odemba. Amesema kupitia kampeni hiyo chama hicho kimesajili wanachama milioni nane.
Aidha amesema kutokana na kuwa na wanachama hao milioni nane ambao wanachangia Shs. 500/= kwa mwezi kila mmoja, Chama kinapata Shs. Bilioni nne kwa mwezi.
Fedha hizo zitakiwezesha Chadema kuendesha shughuli za kiofisi na kujenga ofisi mpya katika majimbo mbalimbali.
CCM imebaki kwenye vitabu vya historia tu. Inategemea vyombo vya dola tuwaoneshe mfano kwa kuweka wazi hesabu za makusanyo na matumizi ya chama ikiwezekana kila mwezi...
wanachama 8mil iwe ni halisi na wawe wanapiga kura....kama CDM ina wanachama hai 8mil..CCM itakuwa na wanachama wangapi? maana wanufaika wa CCM ni wengi kuliko tunavyofikiri kuanzia huko mashinani mpaka mikoani kwa viongozi na familia zao...kumbuka CCM imefika kila mahala kuanzia kigonsela, nanyamba mpaka kibirizi na mwandiga kwa ZZK...
CCM imebaki kwenye vitabu vya historia tu. Inategemea vyombo vya dola tu
Kuota ndoto ya kukuza Chama ni heri kuliko kuota kuteka na kununua wapinzani!Anaota baada ya kula kijiti.
Unatumia simu aina gani?hmm baba, app ina downloads 10K tu hao mil nane wametoka wap
Rudi kwenye uchanguzi wa 2015 angalia idara ya wapiga kurawaoneshe mfano kwa kuweka wazi hesabu za makusanyo na matumizi ya chama ikiwezekana kila mwezi...
wanachama 8mil iwe ni halisi na wawe wanapiga kura....kama CDM ina wanachama hai 8mil..CCM itakuwa na wanachama wangapi? maana wanufaika wa CCM ni wengi kuliko tunavyofikiri kuanzia huko mashinani mpaka mikoani kwa viongozi na familia zao...kumbuka CCM imefika kila mahala kuanzia kigonsela, nanyamba mpaka kibirizi na mwandiga kwa ZZK...
Kwanza wajenge makao makuu ya chama.Mbunge wa zamani wa Chadema jimbo la Tarime amesema hivi sasa chama hicho kimepata mafanikio makubwa kutokana na kampeni ya Chadema digito inayoendelea. Amesema hayo leo tarehe 4 Disemba 2021 kupitia kipindi cha Medani ya Siasa cha Star TV kinachoendeshwa na Odemba. Amesema kupitia kampeni hiyo chama hicho kimesajili wanachama milioni nane.
Aidha amesema kutokana na kuwa na wanachama hao milioni nane ambao wanachangia Shs. 500/= kwa mwezi kila mmoja, Chama kinapata Shs. Bilioni nne kwa mwezi.
Fedha hizo zitakiwezesha Chadema kuendesha shughuli za kiofisi na kujenga ofisi mpya katika majimbo mbalimbali.
Ni wazo zuri lakini bila wanachama thabiti ni kazi bure!