John Heche: CHADEMA ina wanachama milioni nane

Chadema is next level, ujumbe ukamfikie kingai,Mahita, Good lack, Juma nne, kamati ya siasa TOKA magogoni, mwenyekiti wa ccm,katibu mkuu, na mwenezi, wanaccm wote, na kamati zote za roho mbaya,

Watujua wanajua kumbe hawajui,
 
Hivi wanaccm kama kina lowasa, sumaye, nyalandu na wengine walivyohamia chadema nao walinunuliwa na chadema mbona wanachadema wanaohamia ccm wanaonekana wamenunuliwa ila wanaccm wakienda chadema hawaonekani wakinunuliwa hizi propaganda za kinafiki
 
Hata Zambia utawala na wafia tumbo walibeza Sana Rais wao mpya, leo wanajitekenya na kucheka wenyewe, hakuna jipya chin ya jua
 
Hivi wanaccm kama kina lowasa, sumaye, nyalandu na wengine walivyohamia chadema nao walinunuliwa na chadema mbona wanachadema wanaohamia ccm wanaonekana wamenunuliwa ila wanaccm wakienda chadema hawaonekani wakinunuliwa hizi propaganda za kinafiki
Kama wewe ni mchumia tumbo utaonekana umenunuliwa tu kwa sababu utapewa nafasi ya kulipwa mshahara, lakini kwa wanaojiweza wananunua nafasi za uongozi!
 
Billioni 4 kwa mwezi ni fedha nyingi sana wajenge ofisi ya makao makuu sasa kama kweli.


lakini je; wanachama watalipia hiyo ada ya uanachama?
Tunajenga kwenye bongo za wamachama kwanza. Achana na majengo
 
Mtekwe na nani nyie na nani awaibie kura chadema imekosa sera na mvuto kwa wananchi mmebakia kutafuta huruma za wananchi na mataifa ya mabeberu hizi za kutekwa, kuibiwa kura, kuuawa ni propaganda za chadema baada ya kushindwa uchaguzi
Akili yako haina akili
 
Polepole anaulizwa mikutano ya siasa imezuiwa kwa sheria ipi anasema nchi haiongozwi kwa katiba na sheria tu bali pamoja na matamko, amri na utamaduni!

Pole pole hana jipya ndiyo maana hata sikutaka kumsikiliza ,sasa nchi haingozwi kwa sheria bali matamko sasa kila kiongozi akitoa matamko itakuwaje? Pole pole ni KANJUNJU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…