Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Basi Ndugu yangu, naomba tusibishane, UKo Sahihi!!Kuna chuo gani duniani ambacho hakilengi ajira? Haujui kuwa hata research ni ajira? Na mara nyingi waajiri ndio wanachangia Chuo?
Amandla...
Chamani na taifani,hata kijani mtaruhusiwa kuja kujifunza uzalendo kwa manufaa ya taifa letu.Wahitimu wa chuo hicho watafanya kazi wapi? Kwa nini wanataka kujenga chuo wakati kuna surplus ya wasomi nchini. Badala ya kujenga chuo chao waongeze juhudi katika kuimarisha matawi yao kwenye vyuo vilivyopo na ku identify wale ambao watawafaa. Na wanafunzi wanaosoma katika vyuo ambavyo vina mgongano wa itikadi ndio vinatoa wahitimu walioiva. Wakina Heche walifundwa katika vyuo public na kazi ya CDM ili ni kukomaza vipaji vyao. Hili ni wazo baya sana. Ni kama waanzishe biashara ya mabasi ya Chadema. Hata wazo la kujenga ukumbi nalo ni baya. Watatoa wapi wateja?
Amandla...
Na mpaka wamefika hapa kilipo kimezalisha wangapi? CDM wanawaiga CCM ambao bila kuwa chama dola hivyo vyuo vyao vyote vingekufa. Hivi mnataka kutuambia CDM imekosa wataalam mpaka imeona kuna haja ya kujenga na kuendesha chuo chao? Watakaofurahia upuuzi huu ni CCM.Hizi akili za mbumbumbu ambae haelewi chama kinahitaji taasisi za kuzalisha wataalam kutoka kwenye mifumo yake!
Uzalendo haufundishwi chuoni. Hakuna stashahada ya uzalendo.Chamani na taifani,hata kijani mtaruhusiwa kuja kujifunza uzalendo kwa manufaa ya taifa letu.
Je vipi nayo manyasi ya rangi ya majanichadema hakuna hata mmoja mwenyue akili yote mavuvuzela tu
Huna akiliTayari wameanza kupoteza FOCUS, matamkumbuka Freeman Mbowe mbwa nyinyi!!
Yaani mukajenge ukumbi na chuo cha mafunzo ili mupate nini? Nyie pambanieni kuchukua dola kwa kushiriki chaguzi ndogo ndogo, za kati hadi Ubunge ili siku moja muweze kushinda Urais.
Kwakweli nakuunga mkono hapo wanapoteza focus mimi nilitamani nichangie lakini naanza kupoteza morali, (munkali), wajifunze kuhusu 'SMART goal settings'Tayari wameanza kupoteza FOCUS, matamkumbuka Freeman Mbowe mbwa nyinyi!!
Yaani mukajenge ukumbi na chuo cha mafunzo ili mupate nini? Nyie pambanieni kuchukua dola kwa kushiriki chaguzi ndogo ndogo, za kati hadi Ubunge ili siku moja muweze kushinda Urais.
Kwa hali ilivyo hivi sasa,kijani yeyote anayomengi ya kujifunzakubali kataa.Uzalendo haufundishwi chuoni. Hakuna stashahada ya uzalendo.
Amandla..
Labda nikufundishe wewe pimbi hizo silabi, istlahi, mofimu, fonimu na vishaziKajifunze silabi na istilahi kwanza ili ukija kuandika siku nyingine ueleweke 😂😂😂
Kama CHADEMA itazalisha wataalamu, je kazi ya vyuo vikuu itakuwa ni nini?Hizi akili za mbumbumbu ambae haelewi chama kinahitaji taasisi za kuzalisha wataalam kutoka kwenye mifumo yake!
Kivipi, njoo na hojaHuna akili
Kwani ni vyuo vikuu tu ndio vinazalisha wataalamu? Halafu pia sio mbaya kwa chama kikiwa na miradi inayoigusa jamii moja kwa moja!Kama CHADEMA itazalisha wataalamu, je kazi ya vyuo vikuu itakuwa ni nini?
Hujui misingi ya biasharaKwani ni vyuo vikuu tu ndio vinazalisha wataalamu? Halafu pia sio mbaya kwa chama kikiwa na miradi inayoigusa jamii moja kwa moja!
biashara gani? Kama ya ccm kumiliki viwanja vya mipira?Hujui misingi ya biashara
Au kama kumiliki shule ya meta-mbeya, inayomilikiwa na uwt-ccm?biashara gani? Kama ya ccm kumiliki viwanja vya mipira?
Mitoto ya Samia hiyoTayari wameanza kupoteza FOCUS, mtamkumbuka Freeman Mbowe mbwa nyinyi!!
Yaani mkajenge ukumbi na chuo cha mafunzo ili mupate nini? Nyie pambanieni kuchukua dola kwa kushiriki chaguzi ndogo ndogo, za kati hadi Ubunge ili siku moja muweze kushinda Urais.
Elezeni kwanza mamilioni aliyowapa msrehemu Sabodo muweke vitega 8chumi Chadema mlipeleka wapi hizo pesa?Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amesema chama hicho kinatarajia kujenga chuo maalum cha uongozi na kujenga ukumbi mkubwa wa mikutano katika eneo la Soga, kwa kutumia fedha zinazoendelea kuchangwa na wadau kupitia kampeni inayoitwa “tone tone”.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025
Hawana maarifa wataangamiaTayari wameanza kupoteza FOCUS, mtamkumbuka Freeman Mbowe mbwa nyinyi!!
Yaani mkajenge ukumbi na chuo cha mafunzo ili mupate nini? Nyie pambanieni kuchukua dola kwa kushiriki chaguzi ndogo ndogo, za kati hadi Ubunge ili siku moja muweze kushinda Urais.