Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Good idea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda zako, bila elimu watanzania wataendelea kunyonywa na magabachori wa ccm. Move nzuri hii itawauma magabachori tu km weweTayari wameanza kupoteza FOCUS, mtamkumbuka Freeman Mbowe mbwa nyinyi!!
Yaani mkajenge ukumbi na chuo cha mafunzo ili mupate nini? Nyie pambanieni kuchukua dola kwa kushiriki chaguzi ndogo ndogo, za kati hadi Ubunge ili siku moja muweze kushinda Urais.
CCM imetengeneza watu wajinga haswaHahahahaa kila ukisikia CHUO unawaza AJIRA, dah maskini Tanzania Dah, nilitaka kucheka nikajikuta naumia! Hawa ndio Vijana tegemezi wa CCM
UWT mmeuamia haswaWamefanya feasibility study kwa ajili ya miradi hii? Kwa miaka mingi CDM ilikuwa inaoperate kutoka kwenye kajumba Ufipa. Na walikijenga chama chao kutoka ka jumba hako hako badala ya kukimbilia mjengo wa kifahari. Walikuwa focused. Hiki wanachokifanya sasa hivi ni kupoteza focus.
Amandla...
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake usije ukafanana nae!!!Mbwa mwenyewe,Mama yako na baba yako na ukoo wako ndiyo mbwa wote, kama unamtaka Mbowe akuoe sema tu,huna adabu kabisa
mwanzo walisema chama, hakina ofisi sasa hawana hojaUWT mmeuamia haswa
Wajinga wakubwa haomwanzo walisema chama, hakina ofisi sasa hawana hoja
Sasa nimeelewa kwa nini umejipa jina la mwanaume na mbaya zaidi Netanyahu. Stupid as stupid does.UWT mmeuamia haswa
Wajinga wakubwa nyie, wenzenu hawana pakuiba nyie mmeshindwa kujenga ofisi pamoja na kuiba mali za umma waziwazi, acheni wenzenu wafanye maendeleo wanayoona yanafaaSasa nimeelewa kwa nini umejipa jina la mwanaume na mbaya zaidi Netanyahu. Stupid as stupid does.
Amandla...
This idea is beautiful..... Go on BrothersMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amesema chama hicho kinatarajia kujenga chuo maalum cha uongozi na kujenga ukumbi mkubwa wa mikutano katika eneo la Soga, kwa kutumia fedha zinazoendelea kuchangwa na wadau kupitia kampeni inayoitwa “tone tone”.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025
Mkuu kinachokuuma ni nini?Sasa nimeelewa kwa nini umejipa jina la mwanaume na mbaya zaidi Netanyahu. Stupid as stupid does.
Amandla...
Ndio maana nasema stupid as stupid does. Hao wenzetu ni wakina nani na sisi ni wakina nani? Na maendeleo yapi ambayo tunazuia?Wajinga wakubwa nyie, wenzenu hawana pakuiba nyie mmeshindwa kujenga ofisi pamoja na kuiba mali za umma waziwazi, acheni wenzenu wafanye maendeleo wanayoona yanafaa
Wewe UWT tulia kakate viuno na wanawake wenzio kwa WasiraNdio maana nasema stupid as stupid does. Hao wenzetu ni wakina nani na sisi ni wakina nani? Na maendeleo yapi ambayo tunazuia?
Amandla...
Nini kinachokufanya uamini kuwa nimeumia? Hapo nilikuwa namjibu aliyeniletea maneno ya shombo. Au ndio wewe una ID tofauti tofauti?Mkuu kinachokuuma ni nini?
Hapo ndio umejitahidi kujenga hoja! Vijana wajinga wajinga ndio mnaamini kumuita mtu mwanamke ni kumtukana! Wakati huo hao ndio waliowazaa na kuwalea mpaka hapo mlipo. Kweli "stupid as stupid does ".Wewe UWT tulia kakate viuno na wanawake wenzio kwa Wasira
YapHapo ndio umejitahidi kujenga hoja!
Amandla...
Sasa ukiona sikujibu ujue kuwa uko kwenye " ignore list" kwa hiyo chochote utakachoandika sitakiona.
Kwa umri wangu naweza kuwa baba yako kwa kukuzaa. JiheshimuMitoto ya Samia hiyo
kwamba pesa hizo zimebadilishwa matumizi tena sio ya kuendeshea chama kinachopitia ukata wa fedha wa kutisha, ni kwaajili ya ujenzi wa ukumbi na chuo right?🐒Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche amesema chama hicho kinatarajia kujenga chuo maalum cha uongozi na kujenga ukumbi mkubwa wa mikutano katika eneo la Soga, kwa kutumia fedha zinazoendelea kuchangwa na wadau kupitia kampeni inayoitwa “tone tone”.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025