Pre GE2025 John Heche: CHADEMA Kujenga Chuo cha Uongozi na Ukumbi wa Mikutano Kupitia Kampeni ya "Tone Tone"

Pre GE2025 John Heche: CHADEMA Kujenga Chuo cha Uongozi na Ukumbi wa Mikutano Kupitia Kampeni ya "Tone Tone"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kwamba pesa hizo zimebadilishwa matumizi tena sio ya kuendeshea chama kinachopitia ukata wa fedha wa kutisha, ni kwaajili ya ujenzi wa ukumbi na chuo right?šŸ’
Hapo akina Heche na bosi wake wamechungulia fursa ya upigaji kwa kupitia kandarasi za ujenzi.

Hela zenyewe mpaka last wee zilikuwa Tsh 65 Milioni, ndiyo hawa mabwege wanataka wazipeleke kujenga chuo na ukumbi wa mikutano!!
 
Kwa umri wangu naweza kuwa baba yako kwa kukuzaa. Jiheshimu
Umri ni namba tu. Kitu hukujaaliwa ni akili na umefanana na matoto ya mama. Kukuita toto la mama wala siyo kosa.
 
Zoezi la tone tone lipelekeni kwenye uongozi wa kanda wakishirikiana na wenyeviti Mikoa. Wekeni asilimia kadhaa za mapato yatakayokunywa yanarudi kandani kusaidia kazi. Jinsi Kanda itakavyokusanya mapato ndivyo itapata mgao wake.
 
Labda nikufundishe wewe pimbi hizo silabi, istlahi, mofimu, fonimu na vishazi
Kamfundishe babu yako Makamu mwenyekiti kwanza inaonekana kichwani ukitoa nywele hakuna kingine kinachobaki kwenye fuvu
 
Back
Top Bottom