Pre GE2025 John Heche: CHADEMA Kujenga Chuo cha Uongozi na Ukumbi wa Mikutano Kupitia Kampeni ya "Tone Tone"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwenda zako, bila elimu watanzania wataendelea kunyonywa na magabachori wa ccm. Move nzuri hii itawauma magabachori tu km wewe
 
UWT mmeuamia haswa
 
Sasa nimeelewa kwa nini umejipa jina la mwanaume na mbaya zaidi Netanyahu. Stupid as stupid does.

Amandla...
Wajinga wakubwa nyie, wenzenu hawana pakuiba nyie mmeshindwa kujenga ofisi pamoja na kuiba mali za umma waziwazi, acheni wenzenu wafanye maendeleo wanayoona yanafaa
 
This idea is beautiful..... Go on Brothers
 
Wajinga wakubwa nyie, wenzenu hawana pakuiba nyie mmeshindwa kujenga ofisi pamoja na kuiba mali za umma waziwazi, acheni wenzenu wafanye maendeleo wanayoona yanafaa
Ndio maana nasema stupid as stupid does. Hao wenzetu ni wakina nani na sisi ni wakina nani? Na maendeleo yapi ambayo tunazuia?

Amandla...
 
Wewe UWT tulia kakate viuno na wanawake wenzio kwa Wasira
Hapo ndio umejitahidi kujenga hoja! Vijana wajinga wajinga ndio mnaamini kumuita mtu mwanamke ni kumtukana! Wakati huo hao ndio waliowazaa na kuwalea mpaka hapo mlipo. Kweli "stupid as stupid does ".

Amandla...
 
kwamba pesa hizo zimebadilishwa matumizi tena sio ya kuendeshea chama kinachopitia ukata wa fedha wa kutisha, ni kwaajili ya ujenzi wa ukumbi na chuo right?🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…