Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #21
Wewe jiandae na kamati kuu yenu mkapambane na mheshimiwa MakondaCcm na midahalo wapi na wapi
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jiandae na kamati kuu yenu mkapambane na mheshimiwa MakondaCcm na midahalo wapi na wapi
Ova
Tumeshasema njooni kamati kuu yenu nzima na maswali yenu yote na hoja zenu zote mtamkuta Mheshimiwa Makonda anawasubiri na majibu ya kila swali mlilo nalo.Wakati mnakusanya majibu ya hoja za cdm, hakikisheni Makonda awe jela kabisa.
Ndio maana hata makamu wao Tundu amekimbia maandamano..Makonda ni Mwamba wa siasa za kisayansi na kisasa.kwa sasa CHADEMA wanakimbizana na kukwepana .hawajui nani aende akakabiliane na mheshimiwa Makonda katika mdahalo maana wanajuwa uwezo mkubwa wa kihoja alionao mheshimiwa Makonda.
Unaweza pinga kwa kutumia lugha ya kistaarabu kama mama samia alivoshauriMbowe ni wazi toto la kudekadeka kwa walezi wake.
Ni kweli mbowe ni kama toto lililodekezwa tu.anapenda kudeka deka tu na kutaka kubembelezwa. Muda huo haupo kwa sasa.Unaweza pinga kwa kutumia lugha ya kistaarabu kama mama samia alivoshauri
Nimejibu kilichoandikwa, siyo yangu hayo.Unaweza pinga kwa kutumia lugha ya kistaarabu kama mama samia alivoshauri
Polisi na mahakama ni sehemu ya huu uhalifu hapa nchini.Polisi hupajuwi? Mahakama huzijuwi? Wanasheria huwajuwi?
Unangoja nini kulianzisha? Au na wewe mradi umeandika tu?
Maswali yapo hadharani, ni juu yenu kumchagua mwenye uwezo wa kuyajibu, ni aidha bibi mkojani, au huyo muhalifu.Tumeshasema njooni kamati kuu yenu nzima na maswali yenu yote na hoja zenu zote mtamkuta Mheshimiwa Makonda anawasubiri na majibu ya kila swali mlilo nalo.
Ninyi njooni kamati kuu yenu yote ya CHADEMA mkutane na mwamba mwenyewe Paul Makonda ili mfundishwe na kupewa darasa la siasa .kikubwa mje na madaftari.Maswali yapo hadharani, ni juu yenu kumchagua mwenye uwezo wa kuyajibu, ni aidha bibi mkojani, au huyo muhalifu.
Tukiamua tufanye siasa za hivo tutaanza kuitana wote hivo kwa pamoja tutaitwa nchi isiyo na uungwana .Ni kweli mbowe ni kama toto lililodekezwa tu.anapenda kudeka deka tu na kutaka kubembelezwa. Muda huo haupo kwa sasa.
Narudia tena, ni juu yenu kumchagua muhalifu mnayeona anafaa, hoja tayari ziko hadharani.Ninyi njooni kamati kuu yenu yote ya CHADEMA mkutane na mwamba mwenyewe Paul Makonda ili mfundishwe na kupewa darasa la siasa .kikubwa mje na madaftari.
Mtu anawajukuu unamwita anadeka deka na mtoto.je nao wakianza kukomalia zile kashfa za tabia za faragha zile za mama nanii?Nimejibu kilichoandikwa, siyo yangu hayo.
Jinga wewe, haya angalau Nchimbi ni mtu anaejielewa amekuwa katibu mkuu mpya, mwaga upupu wako kama ataendana na huyo mropokaji mwenzio. Makonda hana kichwa cha kumkabili Lissu au unadhani kuna kwenda na bunduki kwenye mdahalo?Sasa kwa akili yako kisoda unafirikiri CHADEMA wanaweza kuhimili uzito wa hoja za Mheshimiwa Makonda? Unafikiri wana ubavu na uwezo huo? Au unafikiri mdahalo ni kama mazungumzo ya walevi wa pombe za kienyeji kubishana habari za simba na yanga?
Nchimbi hapo safi kwanza hutamsikia akiropoka kama yule asie na degreeJinga wewe, haya angalau Nchimbi ni mtu anaejielewa amekuwa katibu mkuu mpya, mwaga upupu wako kama ataendana na huyo mropokaji mwenzio. Makonda hana kichwa cha kumkabili Lissu au unadhani kuna kwenda na bunduki kwenye mdahalo?
Tutolee uchizi wako hapa makonda anaenuka dam za watu ndio akafanye mdahalo na watu wenye heshima kama heche mbowe haya si matumizi mabaya ya fikiraNdugu zangu Watanzania,
Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA na mbunge wa zamani Mheshimiwa John Heche amesema wao wapo tayari kufanya mdahalo na CCM, kwa kuwa ni CCM yenye majibu ya maswali na mambo yote ambayo wanayazungumza wao CHADEMA.
Ameyasema hayo kupitia East Afrika redio &Tv siku moja baada ya katibu wa itikadi ,uenezi na mafunzo wa CCM Mheshimiwa Paul Makonda kutaka mdahalo na viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mbowe Mwenyewe.
Rai yangu ni kuwa Wao CHADEMA wajikusanye tu na wakishakamilika basi wampe taarifa Mheshimiwa Paul Makonda ambaye yeye tayari ameshajiandaa na kujipanga tayari na anamajibu yote mkononi mwake juu ya mambo mbalimbali wanayoyazungumzia CHADEMA.
Huo ndio ukomavu na siyo ule utoto wa kususa susa kama watoto waliodekezwa na wazazi wao.siasa ni hoja. leteni hoja zishindanishwe mezani na siyo kukimbia kimbi tu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Mwenye kuongoza kwa figisu na kuwaundia wenzie mizengwe ameletewa mtu anaekijua chama na siasa. Nafikiri huu utakuwa mwisho wa maigizo ya Bashite.Nchimbi hapo safi kwanza hutamsikia akiropoka kama yule asie na degree
Ninyi nendeni kwenye mdahalo na siyo kuanza kupiga porojo porojo na blaa blaa tuMwandishi: Tundu Lisu anakutaja wewe kama muhusika wa sakata lake la kupigwa risasi Dodoma
Mwenezi: Hilo swali kamuulize mama ako
Mtu kama huyu unaweza kufanya nae mdahalo gani sasa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Makonda hana akiliHeche kusema anataka mdahalo lazima huko CCM muandae watu wa sampuli ya Mzee Warioba waje kuwasaidia kujibu, lakini kusema Makonda yupo tayari kwa hilo, huo ni utani.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kuna mmoja atauliwa mapemaMwenye kuongoza kwa figisu na kuwaundia wenzie mizengwe ameletewa mtu anaekijua chama na siasa. Nafikiri huu utakuwa mwisho wa maigizo ya Bashite.