Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Wewe ndiye huna akiliMakonda hana akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiye huna akiliMakonda hana akili
Utauliwa wewe na mibangi yako kichwani unayojifukiza muda wote kama kichaa au mwendawazimuKuna mmoja atauliwa mapema
Heche kusema anataka mdahalo lazima huko CCM muandae watu wa sampuli ya Mzee Warioba waje kuwasaidia kujibu, lakini kusema Makonda yupo tayari kwa hilo, huo ni utani. 📌🔨
Unatafuta cheo kwa makonda kinguvu yaani Ile takataka isiyojielewa ambayo mara nyingi uwa mnaikana mkisema sio taarifa za chama Leo ikakae na vichwa kina lissu na heche ijenge hoja punguza ujinga kichwaniSasa kwa akili yako kisoda unafirikiri CHADEMA wanaweza kuhimili uzito wa hoja za Mheshimiwa Makonda? Unafikiri wana ubavu na uwezo huo? Au unafikiri mdahalo ni kama mazungumzo ya walevi wa pombe za kienyeji kubishana habari za simba na yanga?
naunga mkono mdahalo ila ufanyike baada ya maandamano ili tusikie waandamanaji watavyokua wanatamka baadhi ya maneno mathalani, thatha badala ya sasa, wathuu wameumidhwa badala ya watu wameumizwa 🐒Ndugu zangu Watanzania,
Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA na mbunge wa zamani Mheshimiwa John Heche amesema wao wapo tayari kufanya mdahalo na CCM, kwa kuwa ni CCM yenye majibu ya maswali na mambo yote ambayo wanayazungumza wao CHADEMA.
Ameyasema hayo kupitia East Afrika redio &Tv siku moja baada ya katibu wa itikadi ,uenezi na mafunzo wa CCM Mheshimiwa Paul Makonda kutaka mdahalo na viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mbowe Mwenyewe.
Rai yangu ni kuwa Wao CHADEMA wajikusanye tu na wakishakamilika basi wampe taarifa Mheshimiwa Paul Makonda ambaye yeye tayari ameshajiandaa na kujipanga tayari na anamajibu yote mkononi mwake juu ya mambo mbalimbali wanayoyazungumzia CHADEMA.
Huo ndio ukomavu na siyo ule utoto wa kususa susa kama watoto waliodekezwa na wazazi wao.siasa ni hoja. leteni hoja zishindanishwe mezani na siyo kukimbia kimbi tu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Acha uzushi wako hapa wewe.taaarifa ipi iliyotolewa na Mheshimiwa Makonda ambayo tulisema siyo ya chama?Unatafuta cheo kwa makonda kinguvu yaani Ile takataka isiyojielewa ambayo mara nyingi uwa mnaikana mkisema sio taarifa za chama Leo ikakae na vichwa kina lissu na heche ijenge hoja punguza ujinga kichwani
Jitu liuaji lifanye mdahalo na wajinga wenzie wa CCMMwandishi: Tundu Lisu anakutaja wewe kama muhusika wa sakata lake la kupigwa risasi Dodoma
Mwenezi: Hilo swali kamuulize mama ako
Mtu kama huyu unaweza kufanya nae mdahalo gani sasa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Huna akili wewe, teuzi zinaisha hivyo utabaki kuwa PS mpk mwishoUtauliwa wewe na mibangi yako kichwani unayojifukiza muda wote kama kichaa au mwendawazimu
UWT mlikuwa Dar kwenye kikao?Wewe ndiye huna akili
Ndio akili za wajinga wa ccm mnaoongozwa na mtu aliyeforge cheti kwa jina LA makonda.Makonda katumia kauli moja tu.. ameshawatoa chadema kwenye mchezo.. Mawazo yameshatoka kwenye kwenye maandamano yamehamia kwenye mdaharo... Kuweni makini CDM
Chadema wanaulizia alipo Makonda wamfuate hapo alipo na mdahalo uanze mara mojaNinyi nendeni kwenye mdahalo na siyo kuanza kupiga porojo porojo na blaa blaa tu
Mjinga wewe . Hujui hata maana ya mdahalo. Unabweka tu ili upate pa kuandika namba za simu. Chawa mchafu malayaNinyi jiandaeni kamati kuu nzima mkafanye mdahalo na mheshimiwa Makonda ili mkafundishwe maana ya siasa.
Wao CHADEMA waseme tu kama tayari wameshajikusanya na kujiandaa.Chadema wanaulizia alipo Makonda wamfuate hapo alipo na mdahalo uanze mara moja
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nyie njooni kamati kuu yenu yote mpewe elimu bure kabisa.kikubwa njooni na madaftariMwashamba ni mgonjwa na kitaalam ugonjwa huu unaitwa ccmiasis ni tangu lini makoñda akawa na hoja? Mimi nawapumzisha viongozi wote wa chadema NAMTAKA MAKONDA KWENYEMDAHALI kikubwa asije na migobole kama Ile alovamia clouds
Makonda kama anataka kiki labda afanye mdahalo na Lucas Mwashambwa siyo Lissu, Mbowe wala Henche, ataishia aibu.Chadema wanaulizia alipo Makonda wamfuate hapo alipo na mdahalo uanze mara moja
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Acheni uoga wewe ninyi leteni timu uwanjaniMakonda kama anataka kiki labda afanye mdahalo na Lucas Mwashambwa siyo Lissu, Mbowe wala Henche, ataishia aibu.
Mmeshaambiwa njooni kwenye mdahalo mkiongozwa na mbowe. Sasa blaa blaa za nini tena?Hivi mdahalo ukiwepo kweli je ccm watamleta nani?
Napata kigugumizi sana kumpata mtu 'clean" ndani ya ccm!
Nahisi ccm watachomoa "waya wa betri"