Pre GE2025 John Heche: CHADEMA wapo tayari kufanya mdahalo na CCM hata leo jioni

Pre GE2025 John Heche: CHADEMA wapo tayari kufanya mdahalo na CCM hata leo jioni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe jiandae na kamati kuu yenu mkapambane na mheshimiwa Makonda
Ivi mwanakamati mmoja wa chadema akiuliza swali kwamba kwann nauli za usafir wa umma zimepanda December na cyo July na zimepanda kwa asilimia kubwa hivi hao ccm watajibu nn?
Mwingine aulize kwamm sukari na bidhaa nyingine muhimu zinapanda bei kila kukicha huku serikali ya ccm ikiwa imesinzia wa ccm atajibu nn?
Usicheze na mdahalo wewe endelea kusambaza namba za cmu wakuone tu
 
Back
Top Bottom