Tetesi: John Heche kahujumiwa na chama chake CHADEMA

Zote mbwembwe, tunataka utuhabarishe yafuatayo:-
Je ni wanachama wangapi walizuiwa kuingia kwenye chumba cha kupigia kura?
Je kulikuwa na rushwa zilizotembezwa ili kuhakikisha Heche anaangukia Pua, je Heche aliwahi kuwajulisha TAKUKURU ama Police?
Je tangu zoezi la kujinadi, Upigaji kura, Kuhesabu kura na kutangaza matokeo - mazoezi yote haya yalikuwa na figisu ama yalikuwa ya haki? Je Mh. Heche alilalamika popote - chama kina ngazi za rufaa..nk
Je Mh. Henche ndiyo kakutuma kwa niamba yake uje kutuhabarisha? yeye hana uwezo wa kuitisha press?
Kama Salum na Matiko wanatoka wewe inakuhusu nini? au ulitaka Salum atoke na wewe amwache Matiko? yaani mantiki yako ilikuwa nini tufafanulie...wivu ama?

Kama huna majibu ya haya basi ni MAJUNGU tu kama kawaida ya Lumumba - kiwanda cha kutengeneza majungu & fitna.
 
Wewe ccm una maslahi gani na uchaguzi wa Chadema, haya basi mwambieni huyo msajili kibaraka chenu. It's nothing but another rubbish for a trashcan.
Nyie mkawasumbue akina Davutwa tu ndio size yenu.
 
Hivi ni lini ilikua mara ya mwisho kwetu CCM kufanya uchaguzi wa kumchagua Mwenyekiti wa Chama ngazi taifa?
Kuna mwana CCM anayekumbuka karatasi ya kura ya kumchagua mwenyekiti wa Chama taifa inavyo fanana?
Kwamba unataka kusema mwenyekiti hapigiwi kura?
 
Uwezo wa Mvowe mkubwa wakati CHADEMA Inamfia mkononi mwake
 
Hizo ni siasa tu asikudanganye
Hata baada ya uchaguzi huo, Heche wakati wa kutoa shukrani, alisema kuwa, yeye Heche alikuwa mstari wa mbele kumshawishi Mbowe agombee hiyo nafasi ya Uenyekiti.
 
Wenye akili na wajanja tunakubaliana na hili andiko
 
Lazima Mbiwe ajadiliwe ni Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.
 
Naona hapa ni Ant-Mbowe Syndrome inavyoitesa CCM na Serikali yake.
 
"Mbowe akaamuru
kuwa wajumbe na Msimamizi wa uchaguzi kuwa
wahakikishe Heche aangushwe kwa gharama
yoyote ile."
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukiwa kwenye heat unachachawa saaaaana.
 
mimi sina hasara, hata akinipiga risasi kama alivyompiga Lissu haina shida kabisa

Dah! Your sensational narrative had some hint of plausibility, but this? Kweli wewe ni mtengeneza propaganda wa kulipwa wa awamu ya 5 (sio CCM). Jitahidi tu upunguze jazba kwenye hoja/maelezo yako. Nilianza kuona kitu (substance) ndani ya bandiko lako, lakini ulichoandika hapa kimefuta kila kitu.
 
Remmy Cameroon!

Kuna mambo huyafahamu Heche Si Team KKs Heche ni team Mbowe,

Mbowe ni miongoni mwa watu walioumia kwa Heche kushindwa Uchaguzi,

Kwa Haya machache angalia ulipokwama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…