Tetesi: John Heche kumrithi Freeman Mbowe Uenyekiti CHADEMA

CHADEMA ni chama Cha ukoo kama ulikuwa hujui
 
Ndoto hizi
 
Sidhani!
 
Sema wamachame kwa maana wachagga tupo na tunashangaa sana wale ambao wamkubali kuwa misukule ya huyu mzee?πŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
Wewe kuwa tu msukule wa majani mbogamboga.
 
Misukule imeishiwa haina lolote! Kupanga uongozi ni jukumu la Chadema sio la kwenu! Mbona Bi Kizmkazi kazidiwa umaarufu na Mafwele hatusemi?
 
Misukule imeishiwa haina lolote! Kupanga uongozi ni jukumu la Chadema sio la kwenu! Mbona Bi Kizmkazi kazidiwa umaarufu na Mafwele hatusemi?
Acha porojo misukule iko chadema tu na si pengine ,mmekubaki kuuishi kinyumenyume(hamtaki wasomi kwenye chama)SHAME
 
Mleta uzi acha upuuzi. Chama cha familia anapewaje mtu baki kama Heche? Hujui kuna James Mbowe na yule binti aliyejitokeza kwenye maandamano juzi? James na dada yake wakishindwa kuna John Mrema. Huyo Heche aendelee kuwa mwanaharakati kama mdude.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…