Tetesi: John Heche kumrithi Freeman Mbowe Uenyekiti CHADEMA

Tetesi: John Heche kumrithi Freeman Mbowe Uenyekiti CHADEMA

Bezecky

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
494
Reaction score
897

IMG-20241011-WA0686.jpg

Mwenyekiti wa wakati wote na wakudumu wa Chama kikuu Cha Upinzani nchini Tanzania Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Freeman Aikael Mbowe huenda akang'atuka kwenye nafasi hiyo ya ngazi ya Taifa aliyoihudumu kwa zaidi ya miongo mitatu mapema mwezi ujao.

Habari za chini chini toka CHADEMA zinasema huenda Freeman Aikael Mbowe atakuwa na imani zaidi endapo tu atakiacha chama hicho chini ya Kijana John Heche Mkurya toka Tarime na kiongozi jasiri wa muda mrefu mwenye misimamo thabiti isiyoyumba wala kutetereka au kutetereshwa hasa katika kusimamia haki na rasilimali za Watanzania bila kujali itikadi zao.

Duru za kisiasa nchini Tanzania zinasema John Heche ambae pia ni Mbunge mstaafu wa Jimbo la Uchaguzi la Tarime Vijijini ndio kijana pekee kati ya Vijana wote waliorithishwa nafasi ya uenyekiti wa BAVICHA( wing ya vijana) na Freeman Mbowe aliyeweza kuiongoza taasisi hiyo kwa Mafanikio zaidi na kuifanya BAVICHA | CHADEMA kupata imani na ufuasi mkubwa toka kwa makundi na watu mbalimbali hasa ya Vijana waishio nje na ndani ya Tanzania.

Taarifa zinaonesha John Heche ndio mwanasiasa pekee wa Upinzani aliyeahidiwa na kutamanishwa mambo mengi na mazuri zaidi ikiwemo nafasi ya Uwaziri na aliyewahi kuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya tano Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli huku matokeo yakionesha jamaa alikataa kata ofa zote hizo zilizoelekezwa kwake ili kuihama na kuisaliti CHADEMA.

Mwanasiasa John Heche anatazamwa na WanaChadema walio wengi nchini Tanzania kama mtu pekee anayeweza kuhamasisha kundi kubwa la watu hasa vijana wasio na ajira na mafukara wa vipato kujiunga na Chama hicho na hatimaye 2025 kiweze kushinda na kuongoza Serikali | Dola 2025-2030 kupitia Uchaguzi huru na haki utakaofanyika nchini Tanzania baadae mwakani huku Upinzani mkali ukitarajiwa kati ya Tundu AM Lissu wa CHADEMA na Rais wa Sasa wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan toka chama tawala cha CCM.

Soma Pia: Ni kweli Mbowe hawataki Lissu, Heche, Lema, Msigwa na Wenje ndani ya CHADEMA?

John Heche anayetajwa kuwa swaiba mkubwa wa Ndg Tundu AM Lissu na mwanasiasa asiye na chembe ya woga wa ama kufa ama kuishi duniani anaonekana kuwa mwiba mkali na mchungu kwa Upande wa pili wa Chama Cha Mapinduzi CCM kiasi Cha CCM kumtamani Freeman Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho kwa muhula mwingine tena wa miaka mitano ( 2024-2029 ) huku Tundu AM Lissu akisalia kuwa Makamu wake na Mgombea wa Urais 2025 kama alivyokwisha kutangaza nia yake hiyo mapema.

Hata hivyo vijana wanaotaka mabadiliko ndani ya CHADEMA hasa wasomi wameendelea kumsihi Freeman Mbowe akae pembeni ili kupisha damu changa na zaidi sana kuionesha Dunia demokrasia wanayoihubiri nje na ndani ya Chama hicho kwa vitendo.

Pamoja na hayo vijana wanufaika wa Bwana Freeman Mbowe kama ilivyokuwa kwa vijana wa Hayati Mwl Julius Nyerere walivyomgomea Mwl Nyerere kung'atuka madarakani kwa kisingizio kuwa nchi ni changa ndivyo hivyo ilivyo leo kwa vijana wa Freeman Mbowe wanamwambia kuwa asithubutu kuachia Chama kwa sasa kwani chama bado ni kichanga sana huku baadhi yao wakiwatazama wao na familia zao kuwa ndio wachanga ila si CHADEMA hasa wakati huu ambapo chama hicho kikiendelea kuzorota siku baada ya siku kiasi Cha wanachama kugoma hata kuandamana jambo ambalo halijawahi kushuhudiwa tangu kuasisiwa kwa Chama hicho nchini Tanzania chini ya mamlaka hizo hizo za Serikali ya Tanzania (Polisi )

Kijana John Heche anatajwa kama kijana mwenye mvuto zaidi ndani na nje ya CHADEMA kwa Sasa na huenda ndio mtu pekee atakayeweza kumwangusha Freeman Mbowe kwenye sanduku la kura mapema mwezi ujao endapo tu Freeman Mbowe atasalia kuwa king'ang'anizi wa kiti hicho kwa miaka mingine mitano ili kutimiza mihula sita inayofanya jumla ya miaka 30 uongozini akivunja rekodi ya Hayati Augustino Lyatonga Mrema aliyefia madarakani.

[CHADEMA tunawatakia kila lenye heri kuelekea uchaguzi wenu huu Mkuu wa Chama na Serikali sisi tusio na chama tunahitaji kuona Upinzani imara ili kujenga Serikali madhubuti ya Tanzania]

IMG-20241011-WA0571.jpg

Huyu ndie John Heche Mwenyekiti mtarajiwa wa CHADEMA 2024-2029 katika moja ya mikutano yake.


Pia soma CHADEMA ijifunze kwa RENAMO ya Msumbiji


 
View attachment 3121911

Hatimaye Mwenyekiti wa wakati wote na wakudumu wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe ameamua kuachia ngazi Uenyekiti wa Taifa CHADEMA,

Habari toka CHADEMA zinasema Freeman Mbowe atakuwa na imani endapo tu atakiacha chama hicho chini ya Mkurya mwenye misimamo isiyoyumba Bwana John Heche.

John Heche ndio kijana pekee aliyeachiwa Uenyekiti wa BAVICHA na Freema Mbowe taasisi aliyoiongoza kwa Mafanikio makubwa zaidi na kuifanya CHADEMA kupata Imani Toka makundi mbalimbali ya Vijana wa nje na ndani ya Tanzania.

John Heche ndio mwanasiasa pekee aliyeahidiwa mambo mengi na mazuri ikiwemo Uwaziri na aliyewahi kuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano Hatati Dkt John John Joseph Magufuli lakini akakataa kata kata.

John Heche anatazamwa na WanaChadema wengi kama mtu pekee anayeweza kuhamasisha kundi kubwa la watu hasa vijana wasio na Ajira kujiunga na CHADEMA na hatimaye 2025 CHADEMA kushinda na kuongoza Serikali/Dola

John Heche swaiba mkubwa wa Mhe Tundu AM Lissu na mwanasiasa asiye na chembe ya Uoga wa ama kufa au kuishi duniani anaonekana kuwa ni mwiba mchungu kwa CCM kiasi Cha kutamani Freeman Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa kipindi kingine Cha miaka mitano ( 2024-2029 )

Hata hivyo vijana wanaotaka mabadiliko ndani ya CHADEMA wameendelea kumsihi Freeman Mbowe akae pembeni ili kupisha damu changa na zaidi sana kuionesha demokrasia kwa Vitendo.

Hata hivyo vijana watiifu wa Mbowe kama walivyokuwa wale vijana watiifu wa Mwl Nyerere waliomkataza Nyerere kung'atuka madaraka kwa kisingizio Cha Nchi kuwa changa ndivyo hivyo ilivyo kwa vijana wa Mbowe Leo wanamwambia kuwa asisubutu kuachia Chama kwani chama bado kichanga sana.

John Heche anatajwa kama kijana mwenye mvuto zaidi ndani ya CHADEMA kwa Sasa na ndio mtu pekee atakayeweza kumwangusha Freeman Mbowe kwenye sanduku la kupigia kura mapema mwezi ujao endapo Mbowe atasalia kuwa king'ang'anizi kwa miaka mingine mitano ili kutimiza mihula sita ya miaka 30.

CHADEMA tunawatakia kila lenye heri kuelekea uchaguzi wenu mkuu wa Chama sisi tusio na chama tunahitaji kuona Upinzani imara ili kujenga Serikali imara.



Kumrithi siyo kumridhi,kwani shuleni siku hizi hamfundishwi kiswahili?!
 
View attachment 3121911

Hatimaye Mwenyekiti wa wakati wote na wakudumu wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe ameamua kuachia ngazi Uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,

Habari toka CHADEMA zinasema Freeman Mbowe atakuwa na imani endapo tu atakiacha chama hicho chini ya Mkurya huyo mwenye misimamo isiyoyumba Mhe John Heche.

John Heche ndio kijana pekee aliyeachiwa Uenyekiti wa BAVICHA na Freema Mbowe taasisi aliyoiongoza kwa Mafanikio makubwa zaidi na kuifanya CHADEMA kupata imani toka makundi mbalimbali hasa ya Vijana waishio nje na ndani ya Tanzania.

John Heche ndio mwanasiasa pekee aliyeahidiwa mambo mengi na mazuri ikiwemo Uwaziri na aliyewahi kuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano Hayati Dkt John John Joseph Magufuli lakini akakataa kata kata ova zote.

John Heche anatazamwa na WanaChadema walio wengi kama mtu pekee anayeweza kuhamasisha kundi kubwa la watu hasa vijana wasio na Ajira na mafukura kujiunga na CHADEMA na hatimaye 2025 CHADEMA iweze kushinda na kuongoza Serikali/Dola 2025-2030.

John Heche swaiba mkubwa wa Mhe Tundu AM Lissu na mwanasiasa asiye na chembe ya Uoga wa ama kufa ama kuishi duniani anaonekana kuwa mwiba mchungu kwa Chama Cha Mapinduzi CCM kiasi Cha kutamani Freeman Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa kipindi kingine Cha miaka mitano ( 2024-2029 )

Hata hivyo vijana wanaotaka mabadiliko ndani ya CHADEMA wameendelea kumsihi Freeman Mbowe akae pembeni ili kupisha damu changa na zaidi sana kuionesha demokrasia ndani ya CHADEMA kwa Vitendo.

Hata hivyo vijana watiifu wa Mbowe kama walivyokuwa wale vijana watiifu wa Hayati Mwl Julius Nyerere waliomkataza Nyerere kung'atuka madaraka kwa kisingizio Cha Nchi kuwa changa ndivyo hivyo ilivyo kwa vijana wa Freeman Mbowe Leo wanamwambia kuwa asisubutu kuachia Chama kwani chama bado ni kichanga sana.

John Heche anatajwa kama kijana mwenye mvuto zaidi ndani ya CHADEMA kwa Sasa na ndio mtu pekee atakayeweza kumwangusha Freeman Mbowe kwenye sanduku la kupigia kura mapema mwezi ujao endapo Freeman Mbowe atasalia kuwa king'ang'anizi kwa miaka mingine mitano ili kutimiza mihula sita iyofanya jumla ya miaka 30.

CHADEMA tunawatakia kila lenye heri kuelekea uchaguzi wenu mkuu wa Chama sisi tusio na chama tunahitaji kuona Upinzani imara ili kujenga Serikali imara.



Huyu Mbowe kapoteza sana mvuto
Heche ni sawa japo CCM baba lao
 
Habari toka CHADEMA zinasema Freeman Mbowe atakuwa na imani endapo tu atakiacha chama hicho chini ya Mkurya huyo mwenye misimamo isiyoyumba Mhe John Heche.
Hata haifahamiki kama taarifa hii ni kweli, ama ndiyo zushi zinazoibuka kila siku humu JF.

Kama kuna ukweli wowote juu yake, itakuwa ni hatua nzuri isipokuwa huko kwa yeye kuchagua mrithi.
Heche; pamoja na kutokuwa na pingamizi juu yake; lakini siyo kazi ya Mbowe kuchagua nani aongoze chama hicho baada ya yeye kuachia ngazi.
Aache taratibu za chama zifanyike na wanachama waamue nani aongoze hicho chama.
 
View attachment 3121911

Hatimaye Mwenyekiti wa wakati wote na wakudumu wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe ameamua kuachia ngazi Uenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,

Habari toka CHADEMA zinasema Freeman Mbowe atakuwa na imani endapo tu atakiacha chama hicho chini ya Mkurya huyo mwenye misimamo isiyoyumba Mhe John Heche.

John Heche ndio kijana pekee aliyeachiwa Uenyekiti wa BAVICHA na Freema Mbowe taasisi aliyoiongoza kwa Mafanikio makubwa zaidi na kuifanya CHADEMA kupata imani toka makundi mbalimbali hasa ya Vijana waishio nje na ndani ya Tanzania.

John Heche ndio mwanasiasa pekee aliyeahidiwa mambo mengi na mazuri ikiwemo Uwaziri na aliyewahi kuwa Rais wa Tanzania awamu ya tano Hayati Dkt John John Joseph Magufuli lakini akakataa kata kata ova zote.

John Heche anatazamwa na WanaChadema walio wengi kama mtu pekee anayeweza kuhamasisha kundi kubwa la watu hasa vijana wasio na Ajira na mafukura kujiunga na CHADEMA na hatimaye 2025 CHADEMA iweze kushinda na kuongoza Serikali/Dola 2025-2030.

John Heche swaiba mkubwa wa Mhe Tundu AM Lissu na mwanasiasa asiye na chembe ya Uoga wa ama kufa ama kuishi duniani anaonekana kuwa mwiba mchungu kwa Chama Cha Mapinduzi CCM kiasi Cha kutamani Freeman Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa kipindi kingine Cha miaka mitano ( 2024-2029 )

Hata hivyo vijana wanaotaka mabadiliko ndani ya CHADEMA wameendelea kumsihi Freeman Mbowe akae pembeni ili kupisha damu changa na zaidi sana kuionesha demokrasia ndani ya CHADEMA kwa Vitendo.

Hata hivyo vijana watiifu wa Mbowe kama walivyokuwa wale vijana watiifu wa Hayati Mwl Julius Nyerere waliomkataza Nyerere kung'atuka madaraka kwa kisingizio Cha Nchi kuwa changa ndivyo hivyo ilivyo kwa vijana wa Freeman Mbowe Leo wanamwambia kuwa asisubutu kuachia Chama kwani chama bado ni kichanga sana.

John Heche anatajwa kama kijana mwenye mvuto zaidi ndani ya CHADEMA kwa Sasa na ndio mtu pekee atakayeweza kumwangusha Freeman Mbowe kwenye sanduku la kupigia kura mapema mwezi ujao endapo Freeman Mbowe atasalia kuwa king'ang'anizi kwa miaka mingine mitano ili kutimiza mihula sita iyofanya jumla ya miaka 30.

CHADEMA tunawatakia kila lenye heri kuelekea uchaguzi wenu mkuu wa Chama sisi tusio na chama tunahitaji kuona Upinzani imara ili kujenga Serikali imara.



🤣🤣🤣🤣 hivi nyie watu!! Mbona hamlalamiki uenyekiti wa HASHIM RUNGWE?? John MOMOSE CHEYO???

hivyo ni vichekesho na woga wa kumuogopae MBOWEE ambaye HANA BEI huwezi kumnunua
 
😂😂😂😂😂 CHADEMA uenyekiti mnaachiana kama urithi, yaani hiki Chama kilishapoteza dira miaka mingi sana..!!
 
Huyu Mbowe kapoteza sana mvuto
Heche ni sawa japo CCM baba lao
Nadhani kwa Freeman Mbowe kupoteza mvuto CHADEMA , bila shaka ndiyo ingekuwa furaha ya CCM...

Lakini cha ajabu tunaona kupagawa na frustration zisikokuwa za kawaida kiasi cha Mbowe kuwa wimbo wa CCM na sasa mnaanza kupanga safu ya uongozi. Wajinga nyie...!!
 
Back
Top Bottom