Pre GE2025 John Heche kumuunga mkono Lissu asema Lissu ni mkweli, muwazi na muadilifu sana

Pre GE2025 John Heche kumuunga mkono Lissu asema Lissu ni mkweli, muwazi na muadilifu sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Same people same interest same agenda .

Siasa hazina waadilifu na wakweli.

Wakweli na waadilifu wapo kanisani wanahubiri injili .

Heche anatoa certificate of moral authentication kama opinion tu
 
Kumuunga mkono mgombea X ama Y si dhambi - tungoje BOX litasema ukweli.
 
Mbowe alitamani sana kuachia uenyekiti wa Chama kwa heshima na aendelee kuwa mjumbe wa kudumu wa Kamati nyeti. Ila sasa, machawa ambao hawawezi kusurvive bila yeye na baadhi ya watu ndani ya mfumo either wamemconvince aendelee kubaki au wamemtisha kwamba maslahi yake yatakuwa shakani kama ataachia kiti

Hata kama Mbowe atashinda kiti, heshima yake kwa jamii na imani ya wananchi wapenda mabadiliko wasio na kadi za chama chochote cha siasa (ambao ni wengi sana) itapotea kwa Chadema na CCM haitohitaji kuiba kura nyingi hapo October 2025
ABSOLUTELY CORRECT
 
Huyu ndio mlisema juzi yuko mahututi kalishwa sumu?Wacheni uzushi na unafiki.Kila mnalozua halina ushahidi na kwa sababu propoganda zenu hazifanikiwi mpo desperate na kurukia kila jambo.
Jitayarisheni kwa uchaguzi hamtamuweza Mwamba kwa kelele za mitandaoni.Uchaguzi ni numbers sio bla bla.
 
Back
Top Bottom