Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka ushahidi tafadhali.Huyu aliyehongwa nyumba Nyegezi, fedha iliyobaki akanunulia matrekta akaanza kulima ufuta
Yeye ana ushahidi wa aliyoyasema? Siasa haihitaji ushahidi wa kiwango cha mahakama au sayansiWeka ushahidi tafadhali.
Huna hoja ondoa Propaganda zako za Lumumba.Yeye ana ushahidi wa aliyoyasema? Siasa haihitaji ushahidi wa kiwango cha mahakama au sayansi
Mimi ufipa, kwa sasa MikocheniHuna hoja ondoa Propaganda zako za Lumumba.
Mbowe aliyeijenga Chadema kwa Jasho na damu miaka zaidi ya 20, Leo unamuona Heche ni zaidi ya Mbowe??Unataka kumfananisha Mbowe na Heche?😆😆
Mbowe hawezi kushinda UchaguziMbowe aliyeijenga Chadema kwa Jasho na damu miaka zaidi ya 20, Leo unamuona Heche ni zaidi ya Mbowe??
Lissu hawezi kufikisha hata kura Mia mbili, na atahama chama siku chache kabla au baada ya uchaguzi.Mbowe hawezi kushinda Uchaguzi
John Heche asema atamuunga mkono Tundu Lissu kwa sababu ni mkweli sana ni muadilifu sana na anachukia rushwa sana
View attachment 3189380
Lemma pia ni LissuKwa sasa Heche kaisha onyesha upande wake tuna Msubilia Lema.
ABSOLUTELY CORRECTMbowe alitamani sana kuachia uenyekiti wa Chama kwa heshima na aendelee kuwa mjumbe wa kudumu wa Kamati nyeti. Ila sasa, machawa ambao hawawezi kusurvive bila yeye na baadhi ya watu ndani ya mfumo either wamemconvince aendelee kubaki au wamemtisha kwamba maslahi yake yatakuwa shakani kama ataachia kiti
Hata kama Mbowe atashinda kiti, heshima yake kwa jamii na imani ya wananchi wapenda mabadiliko wasio na kadi za chama chochote cha siasa (ambao ni wengi sana) itapotea kwa Chadema na CCM haitohitaji kuiba kura nyingi hapo October 2025
Ataipa poooKazi IPO kwa Mbowe