Pre GE2025 John Heche kumuunga mkono Lissu asema Lissu ni mkweli, muwazi na muadilifu sana

Pre GE2025 John Heche kumuunga mkono Lissu asema Lissu ni mkweli, muwazi na muadilifu sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
==
Mhe John Heche anasema yeye waziwazi anamuunga mkono Mhe Tundu Lissu kwa sababu ni mtu mkweli sana ni muadilifu sana na anachukia rushwa kwa moyo na nguvu zake zote.

Mhe John Heche ilitarajiwa na wengi kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa lakini baada ya Mhe Tundu Lissu kuamua kugombea yeye ameamua kumpisha Tundu Lissu kwani anaamini nafasi hiyo ya Uenyekiti anaiweza zaidi na ndio sababu ya kumuunga mkono.

Mpaka sasa haijafahamika kama John Heche atagombea nafasi yoyote ndani ya chama au atabaki pembeni kumuunga mkono Tundu Lissu,

Tusubiri tuone mpaka hiyo tarehe 05.01.2025 ambae ndio mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu Kwa mujibu wa kalenda ya Uchaguzi ya chama.

View attachment 3189380

==
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (@ChademaTz), @HecheJohn, ameonesha dhamira yake ya kuendelea kupigania mustakabali wa chama hicho na Taifa kwa ujumla.

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (zamani Twitter) leo Jumanne Desemba 31, 2024,
Heche ameandika ujumbe mzito akisisitiza umuhimu wa CHADEMA kama taasisi muhimu kwa maslahi ya taifa na wananchi wa Tanzania.

"Tuna taasisi ya kuilinda, tuna nchi ya kutetea, tuna Watanzania wa kupigania. CHADEMA ikifa madhara yake ni makubwa mno kwa nchi yetu," aliandika Heche.

Katika ujumbe huo, Heche amemuelezea mwanasiasa mashuhuri na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara @TunduALissu, kama kiongozi mwadilifu, mkweli, na mwenye uwazi wa hali ya juu.

"Lissu sio muongo ni mkweli, muadilifu na muwazi," aliandika, akionesha imani yake kubwa kwa Lissu.

Lissu, ambaye kwa sasa ni mmoja wa wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, ameendelea kuungwa mkono na viongozi na wafuasi wa chama hicho.

Uchaguzi wa nafasi hiyo unatarajiwa kufanyika tarehe 21.02.2025.
Machawa wa mboe wanamchafuwa sana
 
Mbowe alitamani sana kuachia uenyekiti wa Chama kwa heshima na aendelee kuwa mjumbe wa kudumu wa Kamati nyeti. Ila sasa, machawa ambao hawawezi kusurvive bila yeye na baadhi ya watu ndani ya mfumo either wamemconvince aendelee kubaki au wamemtisha kwamba maslahi yake yatakuwa shakani kama ataachia kiti

Hata kama Mbowe atashinda kiti, heshima yake kwa jamii na imani ya wananchi wapenda mabadiliko wasio na kadi za chama chochote cha siasa (ambao ni wengi sana) itapotea kwa Chadema na CCM haitohitaji kuiba kura nyingi hapo October 2025
Kwanini Mbowe aachie uenyekiti, hizo taarifa ulidanganywa Mbowe hajawahi kufikiria hivyo? Na isitoshe ile nafasi inagombewa kwa uchaguzi kama huu unaokuja, hivyo kuachia tu isingekuwa busara kwa mtu anayeifahamu haja na haki, na demokrasia ya kuchaguana.

Wako wawili lazima tumchague mmoja.

Sasa hivi humuheshimu, sasa ungemuheshimu vipi baada ya kuwa hana madaraka yoyote?

Halafu kuhusu ccm kushinda imekuwa ikishinda miaka yote, October 2025 itashinda tena awe Mbowe awe lisu, hakuna jipya katika hilo usitudanganye.
 
AMESHAJICHIMBIA KABURI KWA MTU AMBAYE HATASHINDA UENYEKITI SIJUI WATAKIMBILIA WAPI MBOWE HANA CHA KUPOTEZA AKISHINDA HATA CHAMA KIKIFA HANA SHIDA ATAKUWA AMEWANYOOSHA HAO WANAOMKATAA SASAHIVI
Hana chochote cha kuwafanya, labda ashinde urais, maana ukiwa rais nchi hii ndio unaweza kuunda hadi kundi la watu wasiojulikana.
 
AMESHAJICHIMBIA KABURI KWA MTU AMBAYE HATASHINDA UENYEKITI SIJUI WATAKIMBILIA WAPI MBOWE HANA CHA KUPOTEZA AKISHINDA HATA CHAMA KIKIFA HANA SHIDA ATAKUWA AMEWANYOOSHA HAO WANAOMKATAA SASAHIVI
Unadhani Lissu ni maskini kama wewe? Jaribu na wewe kwa nafasi yako Abdul akupe rushwa.
Unasema chadema ikifa Mbowe hana cha kupoteza? Unaujua utamu wa ruzuku wewe? Au utamu wa kusafisha rungu kwa viti maalum!
 
==
Mhe John Heche anasema yeye waziwazi anamuunga mkono Mhe Tundu Lissu kwa sababu ni mtu mkweli sana ni muadilifu sana na anachukia rushwa kwa moyo na nguvu zake zote.

Mhe John Heche ilitarajiwa na wengi kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa lakini baada ya Mhe Tundu Lissu kuamua kugombea yeye ameamua kumpisha Tundu Lissu kwani anaamini nafasi hiyo ya Uenyekiti anaiweza zaidi na ndio sababu ya kumuunga mkono.

Mpaka sasa haijafahamika kama John Heche atagombea nafasi yoyote ndani ya chama au atabaki pembeni kumuunga mkono Tundu Lissu,

Tusubiri tuone mpaka hiyo tarehe 05.01.2025 ambae ndio mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu Kwa mujibu wa kalenda ya Uchaguzi ya chama.

View attachment 3189380

==
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (@ChademaTz), @HecheJohn, ameonesha dhamira yake ya kuendelea kupigania mustakabali wa chama hicho na Taifa kwa ujumla.

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (zamani Twitter) leo Jumanne Desemba 31, 2024,
Heche ameandika ujumbe mzito akisisitiza umuhimu wa CHADEMA kama taasisi muhimu kwa maslahi ya taifa na wananchi wa Tanzania.

"Tuna taasisi ya kuilinda, tuna nchi ya kutetea, tuna Watanzania wa kupigania. CHADEMA ikifa madhara yake ni makubwa mno kwa nchi yetu," aliandika Heche.

Katika ujumbe huo, Heche amemuelezea mwanasiasa mashuhuri na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara @TunduALissu, kama kiongozi mwadilifu, mkweli, na mwenye uwazi wa hali ya juu.

"Lissu sio muongo ni mkweli, muadilifu na muwazi," aliandika, akionesha imani yake kubwa kwa Lissu.

Lissu, ambaye kwa sasa ni mmoja wa wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, ameendelea kuungwa mkono na viongozi na wafuasi wa chama hicho.

Uchaguzi wa nafasi hiyo unatarajiwa kufanyika tarehe 21.02.2025.
Heche for makamu mwenyekiti.
 
Huyu aliyenunuliwa matrekta na Abdul akajengewa na nyumba Mwanza kule Nyegezi?
Yaani huyu Heche asivyokubalika na majirani zake hapa Majengo, Nyegezi unashangaa. Keishagombana na majirani wote kisa ujuaji!
 
==
Mhe John Heche anasema yeye waziwazi anamuunga mkono Mhe Tundu Lissu kwa sababu ni mtu mkweli sana ni muadilifu sana na anachukia rushwa kwa moyo na nguvu zake zote.

Mhe John Heche ilitarajiwa na wengi kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa lakini baada ya Mhe Tundu Lissu kuamua kugombea yeye ameamua kumpisha Tundu Lissu kwani anaamini nafasi hiyo ya Uenyekiti anaiweza zaidi na ndio sababu ya kumuunga mkono.

Mpaka sasa haijafahamika kama John Heche atagombea nafasi yoyote ndani ya chama au atabaki pembeni kumuunga mkono Tundu Lissu,

Tusubiri tuone mpaka hiyo tarehe 05.01.2025 ambae ndio mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu Kwa mujibu wa kalenda ya Uchaguzi ya chama.

View attachment 3189380

==
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (@ChademaTz), @HecheJohn, ameonesha dhamira yake ya kuendelea kupigania mustakabali wa chama hicho na Taifa kwa ujumla.

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (zamani Twitter) leo Jumanne Desemba 31, 2024,
Heche ameandika ujumbe mzito akisisitiza umuhimu wa CHADEMA kama taasisi muhimu kwa maslahi ya taifa na wananchi wa Tanzania.

"Tuna taasisi ya kuilinda, tuna nchi ya kutetea, tuna Watanzania wa kupigania. CHADEMA ikifa madhara yake ni makubwa mno kwa nchi yetu," aliandika Heche.

Katika ujumbe huo, Heche amemuelezea mwanasiasa mashuhuri na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara @TunduALissu, kama kiongozi mwadilifu, mkweli, na mwenye uwazi wa hali ya juu.

"Lissu sio muongo ni mkweli, muadilifu na muwazi," aliandika, akionesha imani yake kubwa kwa Lissu.

Lissu, ambaye kwa sasa ni mmoja wa wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, ameendelea kuungwa mkono na viongozi na wafuasi wa chama hicho.

Uchaguzi wa nafasi hiyo unatarajiwa kufanyika tarehe 21.02.2025.
Ni kweli ila watu hawali ukweli na uadilifu na in fact wanachukia hivyo vitu hata kama wanajifanya kuigiza.

Dunia haiendani na hivyo vitu.
 
Huyu ndio mlisema juzi yuko mahututi kalishwa sumu?Wacheni uzushi na unafiki.Kila mnalozua halina ushahidi na kwa sababu propoganda zenu hazifanikiwi mpo desperate na kurukia kila jambo.
Jitayarisheni kwa uchaguzi hamtamuweza Mwamba kwa kelele za mitandaoni.Uchaguzi ni numbers sio bla bla.
Ni hivi akishinda Mbowe ndio 50% ya wapiga kura watasusa kupigia chadema tena. We angalia tu humu JF ID zote kongwe zilizosupport chadema zimeshaonyesha kujitoa kama atarudi Mbowe ndio sembuse huko mtaani!!

Tawi letu tumeshaapa akiletwa Mbowe tunarudisha kadi tubaki kama Dr Slaa tu
 
Ni hivi akishinda Mbowe ndio 50% ya wapiga kura watasusa kupigia chadema tena. We angalia tu humu JF ID zote kongwe zilizosupport chadema zimeshaonyesha kujitoa kama atarudi Mbowe ndio sembuse huko mtaani!!

Tawi letu tumeshaapa akiletwa Mbowe tunarudisha kadi tubaki kama Dr Slaa tu
Hiyo ni too low even for somebody like you.Hoja kama hizo zilitolewa wakati Zitto Kabwe anafukuzwa.Vijana wengi walitishia nyau kwamba watahama Chadema hakuna cha maana kilichotokea.Huwezi kutoa Ultimatum kwenye uchaguzi kwamba asipopita ninayemtaka nahama Chama ni hoja ya kitoto sana.
Uchaguzi ni mchakato sio udikteta.Usipopata unachotaka ujue demokrasia ndio ilivyo.You win or you lose ndio siasa sio mikwara mbuzi.
 
==
Mhe John Heche anasema yeye waziwazi anamuunga mkono Mhe Tundu Lissu kwa sababu ni mtu mkweli sana ni muadilifu sana na anachukia rushwa kwa moyo na nguvu zake zote.

Mhe John Heche ilitarajiwa na wengi kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa lakini baada ya Mhe Tundu Lissu kuamua kugombea yeye ameamua kumpisha Tundu Lissu kwani anaamini nafasi hiyo ya Uenyekiti anaiweza zaidi na ndio sababu ya kumuunga mkono.

Mpaka sasa haijafahamika kama John Heche atagombea nafasi yoyote ndani ya chama au atabaki pembeni kumuunga mkono Tundu Lissu,

Tusubiri tuone mpaka hiyo tarehe 05.01.2025 ambae ndio mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu Kwa mujibu wa kalenda ya Uchaguzi ya chama.

View attachment 3189380

==
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (@ChademaTz), @HecheJohn, ameonesha dhamira yake ya kuendelea kupigania mustakabali wa chama hicho na Taifa kwa ujumla.

Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X (zamani Twitter) leo Jumanne Desemba 31, 2024,
Heche ameandika ujumbe mzito akisisitiza umuhimu wa CHADEMA kama taasisi muhimu kwa maslahi ya taifa na wananchi wa Tanzania.

"Tuna taasisi ya kuilinda, tuna nchi ya kutetea, tuna Watanzania wa kupigania. CHADEMA ikifa madhara yake ni makubwa mno kwa nchi yetu," aliandika Heche.

Katika ujumbe huo, Heche amemuelezea mwanasiasa mashuhuri na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara @TunduALissu, kama kiongozi mwadilifu, mkweli, na mwenye uwazi wa hali ya juu.

"Lissu sio muongo ni mkweli, muadilifu na muwazi," aliandika, akionesha imani yake kubwa kwa Lissu.

Lissu, ambaye kwa sasa ni mmoja wa wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, ameendelea kuungwa mkono na viongozi na wafuasi wa chama hicho.

Uchaguzi wa nafasi hiyo unatarajiwa kufanyika tarehe 21.02.2025.
Choosing to be on the right side.
Heche choose the right side.
 
Back
Top Bottom