Pre GE2025 John Heche kumuunga mkono Lissu asema Lissu ni mkweli, muwazi na muadilifu sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapana sio kweli, enzi za zitto zaidi ya 70% ya chadema tuliside na Mbowe. Angalia humu hard-core chadema wote tulikua Team Mbowe ila kwa sasa sisi tuliokuwa kiherehere kuisemea chadema tumesema "inatosha".

Nakuhakikishia Mbowe akichaguliwa utakuja kuniambia kama kuna chadema ataenda mkutanoni au kupiga kura. Take it from me
 
Safi sana
 
Tarime tamka kama anavyotamka wakurya! 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…