Ccm ni laana kwa TaifaWakuu,
Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi
Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa
Pointi yake ni matumizi makubwa sana ya serikali kwenye mambo ambayo sio ya muhimu.Ni wabunge wa CCM tu au wote? Point yake ilikuwa ni nini na wakati yeye pamoja na viongozi wao waandamizi wakati wapo bungeni hawakuwahi kuombwa kupunguziwa malipo.
Sahihi.....hiyo mijinga itasema Heche ana wivu kumbe hata haielewi pointi ya Makamu Mwenyekiti HechePointi yake ni matumizi makubwa sana ya serikali kwenye mambo ambayo sio ya muhimu.
Matumizi makubwa ya serikali yetu huenda kwenye mambo yasiyo na tija ama yasiyo na faida kwa wananchi.
Blablablablaaa tu😔😔😔Wakuu,
Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi
Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa
Kwanì yeye akiwa Mbunge 2015-20 alikuwa analipwa ngapi? Je aliwahi kuzikataa wakati huo?Wakuu,
Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi
Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa
aliwahi kuomba hilo fuatiliaNi wabunge wa CCM tu au wote? Point yake ilikuwa ni nini na wakati yeye pamoja na viongozi wao waandamizi wakati wapo bungeni hawakuwahi kuombwa kupunguziwa malipo.
Wameongea mara nyingi, hata Zitto ameongea sanaNi wabunge wa CCM tu au wote? Point yake ilikuwa ni nini na wakati yeye pamoja na viongozi wao waandamizi wakati wapo bungeni hawakuwahi kuombwa kupunguziwa malipo.
ALitamka, ofisi ya spika ikamwambia anatoa siri za Bunge. Kumbe mishahara ya wafanyakazi wa umma huwa ni siri eeeNi wabunge wa CCM tu au wote? Point yake ilikuwa ni nini na wakati yeye pamoja na viongozi wao waandamizi wakati wapo bungeni hawakuwahi kuombwa kupunguziwa malipo.
Heche hana jipyaWakuu,
Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi
Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa
Soma, Pia: Martin: Wabunge wanalipwa posho zaidi ya TSh. Milioni 86 kwa siku Bungeni Dodoma. Ama kweli Siasa ni Mchongo!