Pre GE2025 John Heche: Mbunge analipwa Milioni 20 kwa mwezi na posho ya laki 6 kwa siku. Nchi hii inaibiwa sana!

Pre GE2025 John Heche: Mbunge analipwa Milioni 20 kwa mwezi na posho ya laki 6 kwa siku. Nchi hii inaibiwa sana!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi

Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa

Soma, Pia: Martin: Wabunge wanalipwa posho zaidi ya TSh. Milioni 86 kwa siku Bungeni Dodoma. Ama kweli Siasa ni Mchongo!
Kuna mwingine juzi kati kasema wanalipwa sh. milioni 16. Halafu, huyu alipokuwa Mbunge aliwahi kulalamika analipwa hela nyingi? Au ndio muendelezo wa unafiki wa Lissu na genge lake??
 
Kuna mwingine juzi kati kasema wanalipwa sh. milioni 16. Halafu, huyu alipokuwa Mbunge aliwahi kulalamika analipwa hela nyingi? Au ndio muendelezo wa unafiki wa Lissu na genge lake??

Hii hoja haina mashiko.

Jiwe huko CCM alikuwa serikalini kwa muda gani?

Mbona alivyokuwa Rais akaanza kulalamika kuwa kuna wafanyakazi hewa etc hakuwa anawaona muda wote? Au alianza kuwaona baada ya kuwa Rais?

Samia kuna kipindi alikuwa analalamika kwamba kuna uonevu katika ukusanyaji wa kodi, kwamba TRA wanaonea wafanyabiashara.

Kwanini hakusema kipindi akiwa Makamu?

Ukinijibu hayo maswali mawili, nitakujibu kwa nini CHADEMA hawakupush hiyo agenda pindi wakiwa bungeni.
 
Kuna watu siotu kula keki ya taifa Bali Wana kula mkate wa Wataifa.

Ndio tatizo la Bara la Africa hasa nchi za Waafrica weusi ndio shida kabisa.

Viongozi wanajifikiria wao na familia za na ma chawa wao tumepitwa na Waafrica waarabu maana wao wamejitambua.
 
aache unafiki, umasikini si kitu cha kusifia
 
Wakuu,

Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi

Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa

Soma, Pia: Martin: Wabunge wanalipwa posho zaidi ya TSh. Milioni 86 kwa siku Bungeni Dodoma. Ama kweli Siasa ni Mchongo!
Kwenye ilani ya uchaguzi waweke mapendekezo
Wameongea mara nyingi, hata Zitto ameongea sana
Kabisa hata Mimi Hawa waheshimiwa niliwahi wasikia wakilisema Hilo .
 
Yapo malipo ambayo hulipwa kwa watu na serekali ambayo hukatisha tamaa hata walipa kodi
Niliwahi kusema hapa, ubunge isiwe ni kazi ya malipo ya anasa, iwe ni shughuli ambayo ni ya kiuwajibikaji zaidi na kizalendo na mshahara wake usizidi 5ml.hii itafanya yule nayehitaji ubunge atakuwa ni mwenye uchungu wa dhati kwa Jamii yake katika maendeleo ya jamii yake, ubunge unawekewa malipo makubwa that mean utawaingiza watu ambao wanaozifuata fedha na sio maendeleo ya jamii zao, ndio hawa sasa wanaoanza kurudi majimboni dakika za majeruhi.
 
hiyo sio mishahara ni hongo mana wanacholipwa na wanachofanya ni mambo mawili tofauti
 
Ni wabunge wa CCM tu au wote? Point yake ilikuwa ni nini na wakati yeye pamoja na viongozi wao waandamizi wakati wapo bungeni hawakuwahi kuombwa kupunguziwa malipo.
Tatizo hapo ni ...wanalipwa kwa kazi gani wanayo fanya zaidi ya kazi ya kula na ku💩💩 tu bungeni ...au wenzangu mnajua kazi yoyote ya maana ya wabungu tulio nao
 
Yapo malipo ambayo hulipwa kwa watu na serekali ambayo hukatisha tamaa hata walipa kodi
Niliwahi kusema hapa, ubunge isiwe ni kazi ya malipo ya anasa, iwe ni shughuli ambayo ni ya kiuwajibikaji zaidi na kizalendo na mshahara wake usizidi 5ml.hii itafanya yule nayehitaji ubunge atakuwa ni mwenye uchungu wa dhati kwa Jamii yake katika maendeleo ya jamii yake, ubunge unawekewa malipo makubwa that mean utawaingiza watu ambao wanaozifuata fedha na sio maendeleo ya jamii zao, ndio hawa sasa wanaoanza kurudi majimboni dakika za majeruhi.
Kuna wakati huwa unaongea ukweli na kuweka itikadi pembeni
 
Hii hoja haina mashiko.

Jiwe huko CCM alikuwa serikalini kwa muda gani?

Mbona alivyokuwa Rais akaanza kulalamika kuwa kuna wafanyakazi hewa etc hakuwa anawaona muda wote? Au alianza kuwaona baada ya kuwa Rais?

Samia kuna kipindi alikuwa analalamika kwamba kuna uonevu katika ukusanyaji wa kodi, kwamba TRA wanaonea wafanyabiashara.

Kwanini hakusema kipindi akiwa Makamu?

Ukinijibu hayo maswali mawili, nitakujibu kwa nini CHADEMA hawakupush hiyo agenda pindi wakiwa bungeni.
CHADEMA walipush sn tu sema CCM wameteka mifumo yote
 
Ni wabunge wa CCM tu au wote? Point yake ilikuwa ni nini na wakati yeye pamoja na viongozi wao waandamizi wakati wapo bungeni hawakuwahi kuombwa kupunguziwa malipo.
Waiweke kwenye ilani yao mwaka huu kwamba wakishika serikali watapunguza mishahara ya wabunge na posho, mshahara wa rais na mawaziri, na kufuta malipo wanayolipwa kina Salma.
 
Back
Top Bottom