Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Lema siyo msemaji wa CHADEMABig no. Nakumbuka ni wabunge wawili tu waliowahi kukataa kuchukua baadhi ya posho, Zitto na Januari.
Lema akiwa mbunge aliulizwa juu ya posho za dhulma wanazolipwa akajibu kipumbavu sana.
