Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Lema siyo msemaji wa CHADEMABig no. Nakumbuka ni wabunge wawili tu waliowahi kukataa kuchukua baadhi ya posho, Zitto na Januari.
Lema akiwa mbunge aliulizwa juu ya posho za dhulma wanazolipwa akajibu kipumbavu sana.
Wewe umeuliza kama aliwahi kuyasema,nimekujibu ndio.Alikataa kupokea?
Heche nae target yake ni kwenda bungeni kuendelea kuwanyonya wananchi hakuna wa kumkomboa mwananchi maskini!Wakuu,
Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi
Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa
Soma, Pia: Martin: Wabunge wanalipwa posho zaidi ya TSh. Milioni 86 kwa siku Bungeni Dodoma. Ama kweli Siasa ni Mchongo!
Acheni tuendelee kuwanyonya mpaka mfe nyie ni kondoo wetu na hamna namna ya kutuondoa madarakani mpaka Yesu arudi.Pointi yake ni matumizi makubwa sana ya serikali kwenye mambo ambayo sio ya muhimu.
Matumizi makubwa ya serikali yetu huenda kwenye mambo yasiyo na tija ama yasiyo na faida kwa wananchi.
Zitto inajulikana. Ila hao kenge wa CHADEMA hawajawahi kutaka maslahi ya wabunge yapunguzwe. Lema alimdhihaki Zitto na kumwona mnafiki.Wameongea mara nyingi, hata Zitto ameongea sana
Maisha sio fair kabisa unakuta muuguzi anakesha anaona watu wanakata moto anafariji familia... ila ndio hivyo tena ni mfumo tuliochaguliwa🐼Kwahiyo kuna mtu analipwa 600K kwa kuoiga mwayo kwa siku na mwingine 600K kwa mwezi kwa kuhangaika na wagonjwa
Huyu mngese alivyokuwa bungeni aliwahi peleka hoja ya kupunguziwa mishahara? Aache unafiki na wivu kwa sababu hayuko bungeni.
Wakuu,
Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi
Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa
Soma, Pia: Martin: Wabunge wanalipwa posho zaidi ya TSh. Milioni 86 kwa siku Bungeni Dodoma. Ama kweli Siasa ni Mchongo!
Irrelevant example.Samia akiwa Rais alisema kuwa wafanyabiashara wanateswa na TRA kwa kulipishwa kodi kwa nguvu
Kwanini hakusema hayo maneno kipindi akiwa Rais?
Mkuu kwasababu wizi na ufisadi ni utamaduni wetu kwahiyo tumezoea kuiba hilo sio jipya, mhhhh haya bwnHeche hana jipya
Sema watu amfatilii tu Mambo Dr Slaa akiwa mbunge aliwai kupeleka hoja bungeni ya kupitia upya mishaara ya Rais, wabunge na mawaziri ikatupwa kabatini kipindi hicho Kikwete analipwa dollar laki 2 per year bila Kodi!;Heche ajiwa Mbunge kapokea huo mshahara. angeukataa
Mbwa ww!Kwanì yeye akiwa Mbunge 2015-20 alikuwa analipwa ngapi? Je aliwahi kuzikataa wakati huo?
Hawa akina Heche wametumia nguvu nyingi kuingia uongozi wa CHADEMA lakini hawana agenda. Niko pale nite mbwa
inaumiza sanaNiliumia sana siku nilipomuona mke wa alieyekuwa mbunge ktk serikali ya Mwinyi, akaja kuwa waziri ktk awamu ya mkapa, akaja kuwa raisi Wa awamu ya Nne, akaja kuwa mstaafu na mwenye keto wa chuo kikuu cha dar anaelipwa fedha lukuki, eti kasimama bungeni na kuomba wake wa viongozi waliwe😭na bila aibu sheria ikatungwa. SISIEMU MLAAANIWE
Oouh.... kwa hiyo aliyeanzishiwa uzi ni Dr Slaa.Sema watu amfatilii tu Mambo Dr Slaa akiwa mbunge aliwai kupeleka hoja bungeni ya kupitia upya mishaara ya Rais, wabunge na mawaziri ikatupwa kabatini kipindi hicho Kikwete analipwa dollar laki 2 per year bila Kodi!;
huyo muungwana adicted wa kubeti anapotosha hicho kiwango, kwasababu ni muongo mzoefuWakuu,
Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi
Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa
Soma, Pia: Martin: Wabunge wanalipwa posho zaidi ya TSh. Milioni 86 kwa siku Bungeni Dodoma. Ama kweli Siasa ni Mchongo!