Wanafiki,walafi,flankly speaking ubunge wa upinzani ni talking shop hakuna jambo watalipitisha bila CCM.Ni wabunge wa CCM tu au wote? Point yake ilikuwa ni nini na wakati yeye pamoja na viongozi wao waandamizi wakati wapo bungeni hawakuwahi kuombwa kupunguziwa malipo.
Angezikataa ndio ingesaidia nini? Hazikuwa pesa haramu zile hadi azikatae.Kwanì yeye akiwa Mbunge 2015-20 alikuwa analipwa ngapi? Je aliwahi kuzikataa wakati huo?
Hawa akina Heche wametumia nguvu nyingi kuingia uongozi wa CHADEMA lakini hawana agenda. Niko pale nite mbwa
Nadhani kuongeza Mishaara kunatakiwa kuwe kwa level zote za watumishi wa umma, Sio genge la watu wa chache wenye kuzani wana sauti kubwa kuliko wengine ndio waongezewe mishaharahuyo muungwana adicted wa kubeti anapotosha hicho kiwango, kwasababu ni muongo mzoefu
lakini hata hivyo,
posho, mshahara na marupurupu hayo ya wawakilishi wa wananchi inafaa kuongezwa zaidi ili kuendana na uzito wa majukumu na wajibu wa kitaifa walio nao.
ni muhimu sana maslahi haya yakaongezwa ili kuongeza motisha ya kazi nyingi walizonazo kwa wananchi
Halafu wakilaumiwa mbona hiki na kile hawajafanya wanajibu kuwa hiyo sio kazi ya mbunge.huyo muungwana adicted wa kubeti anapotosha hicho kiwango, kwasababu ni muongo mzoefu
lakini hata hivyo,
posho, mshahara na marupurupu hayo ya wawakilishi wa wananchi inafaa kuongezwa zaidi ili kuendana na uzito wa majukumu na wajibu wa kitaifa walio nao.
ni muhimu sana maslahi haya yakaongezwa ili kuongeza motisha ya kazi nyingi walizonazo kwa wananchi
kwa wakati muafaka huko nako ni lazima kupigwe darubini,Nadhani kuongeza Mishaara kunatakiwa kuwe kwa level zote za watumishi wa umma, Sio genge la watu wa chache wenye kuzani wana sauti kubwa kuliko wengine ndio waongezewe mishahara
Kwahiyo ilikuwa sawa kwa Heche kukaa kimya kuhusu mishahara mikubwa kwa wabunge kwasababu wakati huo alikuwa Mbunge? Nijibu hili ili nikijibu vizuri.Hii hoja haina mashiko.
Jiwe huko CCM alikuwa serikalini kwa muda gani?
Mbona alivyokuwa Rais akaanza kulalamika kuwa kuna wafanyakazi hewa etc hakuwa anawaona muda wote? Au alianza kuwaona baada ya kuwa Rais?
Samia kuna kipindi alikuwa analalamika kwamba kuna uonevu katika ukusanyaji wa kodi, kwamba TRA wanaonea wafanyabiashara.
Kwanini hakusema kipindi akiwa Makamu?
Ukinijibu hayo maswali mawili, nitakujibu kwa nini CHADEMA hawakupush hiyo agenda pindi wakiwa bungeni.
Wewe ni pumbu za huyo mbwa uliyemtajaMbwa ww!
Jibu lako lina akisi akili ufupi wa akili uliyonayo ambayo ni kama mkia wa mbuziAngezikataa ndio ingesaidia nini? Hazikuwa pesa haramu zile hadi azikatae.
Hata kuandika kiswahili tu kunakushinda, natilia mashaka kama unaweza kuelewa nachoandika.Jibu lako lina akisi akili ufupi wa akili uliyonayo ambayo ni kama mkia wa mbuzi
Kwa mifumo iliyopo nchi hii itaibiwa sanaWakuu,
Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi
Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa
Soma, Pia: Martin: Wabunge wanalipwa posho zaidi ya TSh. Milioni 86 kwa siku Bungeni Dodoma. Ama kweli Siasa ni Mchongo!
Sasa tushike lipi mara M 20 VS M 18???Wakuu,
Akiwa anaongea siku ya leo, Heche ametaja kiwango ambacho mbunge analipwa kwa mwezi
Heche anasema nchi hii inaibiwa na imedumaa
Soma, Pia: Martin: Wabunge wanalipwa posho zaidi ya TSh. Milioni 86 kwa siku Bungeni Dodoma. Ama kweli Siasa ni Mchongo!