John Heche mwenyekiti mpya BAVICHA taifa

John Heche mwenyekiti mpya BAVICHA taifa

Mkuu Regy,...
shikamoo kwanza na habari za siku!
Binafsi sio nilipenda mchange awe mwenyekiti,lakini kwa kua alienguliwa ina
ongeza credit kwenye imani yangu kwamba "TRUST NO POLITICIAN",...

Kwanini unaamini kwamba Heche sio msaliti?
Keep in mind kwamba kuna "professional actors " hujawahi shuhudia,unaweza
gundua ni msaliti baada ya kumaliza mission yake na sio mwanzo,...

All in all,tushukuru mwenyekiti kapatikana,anaipenda vipi chadema tutaona matokeo ya
uongozi wake,mara nyingi naona ni vyema mtu akapewa sifa mwishoni kabisa!

Naungana na wote wanao sifia mtu akifa,hapa wanakua wana fanya summation ya
ni jinsi gani mtu huyu alikua,

Heche tuta mpima uwezo wake wa uongozi na uaminifu wake kwa chama
baada ya mda wake wa uongozi kuisha!

Tulisifia viongozi wengi kweli wanapokua wanaanza kazi zao (JK kwa mfano),ila
matokeo yake ndo kama tunayo ona!

As for now,nampa support yote kufanya kazi yake vyema!

Niachie mwenyewe.Labda nikuulize wewe kwanini humwamini na ukamwamini huyo wa kwako?
 
Ok nimekuelewa....kwa maana hiyo wewe uko kundi la mapacha 3 a.k.a Rachel? Na kwanini wageni waalikwa wawe Chavez,Morales nk?
Duh!..Mzee umenipatia sana hata kujibu siwezi,ngoja niende thread nyingine...umeshinda!!!
 
Bibie hata mimi naku respect na sidhani kama hili linahusu sana ktk kujieleza ama kujenga hoja. Kama hukubaliani nami ni vizuri kunielimisha unavyoelewa wewe ili nami nijipime ktk maelezo yangu. Pengine fafanua haya maneno yako ulikuwa na maana gani?... kwani inanitatiza sana kuelewa ikiwa sintotumia msahafu wa imani ya dini..

lakini kwakuwa chama hiki kina mkono wa MUNGU,MUNGU alitumia njia zake za asili kuwang'amua waliokuwa na nia mbaya.
Mkandara kwa nini unalaumu bila kutuambia hiyo sentensi kwenye red ina udini gani? kutaja Mungu kanisaidia siku hizi ni udini mbona dua ya kuliombea bunge inasema Mungu tusaidie mbona wimbo wa taifa unataja Mungu atubariki udini uko wapi hapo, nafikiri kabla ya kuangalia kibanzi kwenye jicho la mwenzako jiangalie kwanza wewe inawezekana una hisia za udini ndiyo maana mtu akitaja Mungu tu unafikiri ni mdini.

Please tuonyeshe kwanza huo udini uko wapi kwenye hiyo statement vinginevyo tutaku regard una sababu zako.
 
Hizo nia tafasiri zenu tu Wakuu. Hivi Mungu anakomea mpaka upi katika maisha ya Binadamu? Hivyo mnataka kutwambia kwamba Mungu ni miskitini na Makanisani tu basi. Kwa kuwafahamisha tu japo sitaki kuingia kwenye malumbano nanyi lakini kama kuna sehemu muhimu sana ambapo Binadam anamwitaji sana Mwenyezi Mungu au Allah ni katika uongozi na usimamizi wa watu au umma (hii sisi tunasema siasa kama labda mnakwazwa na neno siasa). Habari ya viongozi kusalimia kwa salamu zote za dini sioni tatizo na imekuwa desturi yetu watanzania miaka yote na pale viongozi wanaposalimia watu wote huitikia kwa pamoja kuonyesha umoja na upendo walio nao kwa pamoja miongoni mwao. Sijaona ilipoongelewa IMANI ya mtu hapa labda unipostie nione.

Hapa naona nyie ndo mna tatizo fulani, ".......lakini kwakuwa chama hiki kina mkono wa MUNGU,MUNGU alitumia njia zake za asili kuwang'amua waliokuwa na nia mbaya......" hapa sioni anaposema vyama vingine havina mkono wa Mungu au kwamba Mungu hawabariki watu. Kumbuka unaposema chama unasema watu, CHADEMA au CCM au CUF ni watu. Ukisema Mungu amebariki familia hii au ukoo huu au kabila hili au kazi zetu n.k. hao wote na watu. Au kwa hiyo kwako wewe mtu akikiri uwepo wa mkono wa Mungu au Msaada wa Mungu au Baraka za Mungu bas amemtumia Mungu ovyo. Mungu anatuamru tumkiri yeye kwanza na kumtegemea kwa kila jambo na kisha kumkiri tena kwa kumshukuru baada ya kutufanikisha. Kwa hiyo tuseme hata vikao vya Bunge waache kabisa kuwa wanafungua kwa kumtaja na kumwomba Mungu eti kwa sababu wanafanya kazi ya siasa (UONGOZI), ebu tujaribu kuwa tuna tafakari nini tunaongea sio kutuwekea post za kutuchafulia hali ya hewa. Wapi ambapo umeongelewa udini, kilichoogelewa ni uhusiano kati ya Mungu na uongozi wa mwanadamu, au huu ndo udini unaotaka kulazimisha au udini ni kumwongelea au kumzungumza Mungu ndo udini et!!

WanaCHADEMA ni WATANZANIA NA SIO DINI usichanganye hisia zako na mada.

EBU ONDOENI MITAZAMO YA KIDINI DINI HAPA, WATANZANIA WOTE TUNAHESHIMIANA PAMOJA NA DINI ZETU ZIPO PALE PALE.

Anayway mada ni:-

CHEERS!!! JOHN HECHE!!!
HONGERA SANA!!
Na wewe umeliona hilo inawezekana wana sababu zao labda ni za siku nyingi walikuwa wanatafuta weakpoint ili watoe dukuduku lao lakini loophole yenyewe waliyotumia iko loose.
 
Hebu nipe udini kwenye statement hii na kama kuna udini imebase kwenye dini gani kama haijabase ni general statement hakuna udini hapo kwa taarifa yako tu Mungu hana dini.

Yaani siku hizi udini umekuwa sensitive hadi tuogope kumtaja Mungu NO WAY hatuwezi kuacha kumtaja Mungu kwa kuogopa kuitwa wadini.
Mkuu tatizo lako hupendi kuelewa na nadhani Bibie Regia kanielewa. Sikusema UDINI na wala sizungumzii Udini ktk statement ya Regia isipokuwa nimemkanya au kumuasa asipende sana kutumia imani yake ya dini kuzungumzia maswala ya chama kwa ujumla wake!..

Na labda wewe hupendi kuangalia mbali zaidi ya kauli za mtu ktk ufahamu wako lakini nitakujulisha tu kwamba sasa hivi Chadema ipo ktk wakati mgumu sana kuweza kujitenganisha tuhuma zinachokikabiri chama na sii vizuri kujiweka katika nafasi inayodhihirisha imani yako kufungamana na chama.

Unaposema:- "Lakini kwa kuwa chama hiki kina mkono wa MUNGU, MUNGU alitumia njia zake za asili kuwang'amua waliokuwa na nia mbaya."
Watu watayatafsiri maneno haya kama ndivyo wanachama wa Chadema wanavyoamini maana umekishihirisha chama na mkono wa Mungu ambao kwa njia zake huwang'amua watu wenye nia mbaya!..Haya ni maneno ya kichungaji na yanaweza kabisa kuchukuliwa kama ni kufungamana na kanisa.. Kumtaja ama kumshukuru Mungu inakubalika kwetu sisi binadamu wakati wowote ule isipokuwa kutoa uhakika wa kulindwa na Mungu ni imani ya muumini wa dini jambo ambalo mimi naweza kataa au kupinga kwamba Chadema haina mkono wa Mungu...

Wewe huoni makosa kwa sababu unaamini hivyo na ndio maana nikasema Mungu huwalinda binadamu na sio vyama vya kisiasa. Hizi ni nyenzo za za gospel ya Kaizali hivyo kumshirikisha Mungu kuweka mkono wake inaweza kutoa picha mbaya zaidi kwa waumini wa dini au madhehebu mengine...Sijui kama unakumbuka yale maneno ya mchungaji kuwa - Kikwete ni chaguo la Mungu yalivyopokelewa?...

Sasa binafsi nimeshindwa kuelewa hao waliokuwa na nia mbaya na Chadema ni kina nani? Je, ni wanaCCM au wana Chadema wale walioshindwa uchaguzi? maanake Regia katanguliza kauli hii kutokana na mtu wake kuchaguliwa wakati kuna majungu na tuhuma za Udini zilzotangulia kuenguliwa kwa baadhi ya wagombea...

Amini maneno yangu mkuu wangu kwani kuishi kwingi ni kuona mengi.. Wewe hapo ulipo huyaoni na hujawahi kuyaona haya ila utakuja yaona baada ya kutokea, na ndipo utajifunza na pengine inaweza kuwa too late ku justify kauli kama hizi..
 
Hapana wana haki ya kutoa mchango wao kama vyama vya upinzani.
CCM, CUF, NCCR, UPDP, UDP vyote ni vyama vya upinzani Tanzania. Hadi leo CCM haijaamini kuwa imefanikiwa kuchakachua kura na kujiweka madarakani. Wanaendelea kufanya siasa kama chama cha upinzani.
Polepole watazoea. Dhambi ya kula nyama ya mtu....

Swala ni kushirikiana wapi, kwenye issue zenye maslahi kwa watanzania Sina tatizo na comments zao lakini cha kushangaza ni kuingilia mambo ndani ya CDM, kama kuwalazimisha wanaCDM wamchague mtu fulani awe mwenyekiti, au waungane nao.

Hilo ndilo tatizo langu kwa hawa jamaa.
 
Acaha kutafuta sifa za kijinga. Nani anamuda wakufuatilia uchaguzi wa uongozi wa chadema? Kweli ujinga ni mzigo.
Naona umeanza, mbona sijakutaja? una tabia hiyo nini? au nimeingilia maslahi yako?
 
sio heche kashinda sema mbowe wewe,dk slaa hamkubali heche koz anakaz yakumuandalia urais mbowe tu pale
 
Dah,siasa si hasa kweli!
me ntakua shabiki siku zote sichezi ng'o!
 
Mkuu tatizo lako hupendi kuelewa na nadhani Bibie Regia kanielewa.
Regia amekujibu hivi
Asante kwa mtazamo wako na si kila mmoja atakubalina na hoja yako.Kwa hili tunaweza kupingana mpaka asubuhi.Mi nadhani tukubaliane kutokukubaliana.I respect you alot ndio maana sitaki kubishana na wewe.

Unaposema:- "Lakini kwa kuwa chama hiki kina mkono wa MUNGU, MUNGU alitumia njia zake za asili kuwang'amua waliokuwa na nia mbaya."
Watu watayatafsiri maneno haya kama ndivyo wanachama wa Chadema wanavyoamini maana umekishihirisha chama na mkono wa Mungu ambao kwa njia zake huwang'amua watu wenye nia mbaya!..Haya ni maneno ya kichungaji na yanaweza kabisa kuchukuliwa kama ni kufungamana na kanisa..
Unafurahisha sana Mkandara unasema si maneno ya udini eti ni ya kichungaji ha ha haaa, nimekuambia watu kama nyie wenye hisia za udini udini tabia zenu zinafanana nani kakuambia hayo ni maneno ya kichungaji kwa nini yasiwe maneno ya imam tuseme hujawahi kusikia imamu au shehe akisema maneno hayo kuwa 'Mungu alitumia njia zake kuwang'amua wenye nia mbaya' tena huwa wanaongeza na ya husuda, acha hizo Mkandara nafikiri kwa hili umekosa hoja ya kumpin point Regia kilichobaki ni kulazimisha tu, kwa heri.
 
Wakuu,

Habari ndio hiyo Heche amechaguliwa kuwa Mwenyekiti Taifa wa Bavicha baada ya kupata 53% ya kura zote, akiwaacha kwa mbali wagombea wengine 5,, uchaguzi umeisha alfajiri hii
Mwenye picha ya Heche atubandikie basi! nasikia ni kijana jasiri sana moyo wake wote CDM.
 
ulipotoa pochi yako wakat huo tumekutana pale nje ya frndskona hotel, nikakuuliza vp tena hyo sikadi ya kijana wa kijani kaka? na c rangi yetu ya cdm?ukanijb kaka haya maisha ya kisiasa siku inaweza ikabuma cdm c wez kuacha siasa safar itaendelea.magrit thinka mpaka leo cjui mr heche alimanisha nn na sasa kapewa hlo jukumu kubwa, narudia kuwaambia mtek kea cdm
 
Back
Top Bottom