Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndani ya hilo kundi la nyani kuna nyumbu 97%Mkuu Benja, hizo takwimu za Bongo ama wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani ya hilo kundi la nyani kuna nyumbu 97%Mkuu Benja, hizo takwimu za Bongo ama wapi?
Mkuu,hawa si ndo wakati wa kusimamia kura wanapewa elfu tano tano,kuruhusu uchafuzi...shame on them pour brainTUfanye sawa. Wakati huo sisi wananchi tumefanya nini?
Heche yupo sahii sana , leo ccm ma machawa wake imekua ya wavaa mabango,Makamu Mwenyekiti CHADEMA, John Heche alikuwa na haya kuhusu Kada ya Ualimu
"Hakuna mtu anayeweza kuja akaniambia kwamba hatuwezi kuajiri walimu. Jana nimeona walimu wanapewa vitenge, wao hawahitaji vitenge, wanahitaji mishahara mikubwa wanunue vitenge wanavyovihitaji"
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wakati huu jeshi la polisi lipo wapi, jeshi la wananchi lipo wapi, wale usalama wa taifa wapo wapi, wale wa tume ya uchaguzi na wakurugenzi wako wapi na mwisho kabisa sisi wananchi kwa ujumla tuko wapi?Mkuu,hawa si ndo wakati wa kusimamia kura wanapewa elfu tano tano,kuruhusu uchafuzi...shame on them pour brain
Nyie si ndio mnagombaniaga posho ya kusimamia uchaguzi.Walimu mnatuonea tu, hii nchi hakuna anayejitambua aisee!
Fafanua wanagombaniaje mkuuNyie si ndio mnagombaniaga posho ya kusimamia uchaguzi.
Nyumbu nyie,na ndo mnasaidizana na Mkurugenzi wa Mnchwari kuchakachua kura
Watanzania wengi ni pretenders tu! wanajitambua sana! uoga ndio sana, nadhani kwa sababu ya siasa za Ujamaa zilizowapumbaza na kupandikiza watu kuwa Waoga!Watanzania 90% ni nyani lakini walimu 97% ni nyumbu
No reforms no electionjamaa ana stres sana,
alipoteza pension yote ya ubunge kwenye kubet,
inasikitisha, inafedhehesha sana aise![]()
Waalimu wasenge sana.
Ndo wanaoongoza kugombania posho ya kusimamia UCHAGUZI.
Na ndo huwa wanashirikiana na Mkurugenzi wa Monchwari kuchakachua kura za wapiga kura.
Si wanajiona kuwa Serikali inawapa kipaumbele,na washukuru mikopo tofauti na hapo😂😂😂😂😂.
Wanatumikopo flani hivi,akijitahidi anamiriki gari.Hapo ametoboa
UpofuWakati huu jeshi la polisi lipo wapi, jeshi la wananchi lipo wapi, wale usalama wa taifa wapo wapi, wale wa tume ya uchaguzi na wakurugenzi wako wapi na mwisho kabisa sisi wananchi kwa ujumla tuko wapi?
Mimi nasema umeona hayo makundi yote nilitaja hapo juu, ukichukua kundi moja la walimu itakua upofu
Au sio!! Then nyie ambao sio nyumbu mkayajua hayo, mlifanya nini?Nyie si ndio mnagombaniaga posho ya kusimamia uchaguzi.
Nyumbu nyie,na ndo mnasaidizana na Mkurugenzi wa Mnchwari kuchakachua kura
Kama unajitambua huwezi kuwa muogaWatanzania wengi ni pretenders tu! wanajitambua sana! uoga ndio sana, nadhani kwa sababu ya siasa za Ujamaa zilizowapumbaza na kupandikiza watu kuwa Waoga!
Walimu wanaataabika wanadharauliwa 😄jamaa ana stres sana,
alipoteza pension yote ya ubunge kwenye kubet,
inasikitisha, inafedhehesha sana aise![]()
Heche una hoja, ila ht mwl angelipwa 6M akatae kupokea zawadi?Makamu Mwenyekiti CHADEMA, John Heche alikuwa na haya kuhusu Kada ya Ualimu
"Hakuna mtu anayeweza kuja akaniambia kwamba hatuwezi kuajiri walimu. Jana nimeona walimu wanapewa vitenge, wao hawahitaji vitenge, wanahitaji mishahara mikubwa wanunue vitenge wanavyovihitaji"
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Gentleman,Walimu wanaataabika wanadharauliwa 😄
Wanatumika kama toilet paper
Ova

Ndo moto mabosi wenu wanapelekewa mpaka wanatafutana.Au sio!! Then nyie ambao sio nyumbu mkayajua hayo, mlifanya nini?
Kati ya 1000,Ambal ni waalimu na sio waganga njaA ni 70.Wengine ni kwao,Bora uzima.Hao waliobak ukiingia kwao utakuta wanakadi za ccm kwa uoga na sio kutoka moyoniGentleman,
acheni kudharau walimu,
ni muhimu sana kuwaheshimu,
na hakuna haja kujaribu kuwahadaa au kujaribu kuwachonganisha na kupotosha. Haina maana yoyote.
acheni wafanye kazi zao kwa amani![]()
Huo moto mmewapelekea wapi🤣🤣🤣Ndo moto mabosi wenu wanapelekewa mpaka wanatafutana.
Nyie,zenu ni kikubwa uzima🤔