Pre GE2025 John Heche: Walimu walipwe vizuri, wasipewe vitenge vya 'Mama' bure, haya ni matusi kwa Walimu kuvaa mabango

Pre GE2025 John Heche: Walimu walipwe vizuri, wasipewe vitenge vya 'Mama' bure, haya ni matusi kwa Walimu kuvaa mabango

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
K

Kati ya 1000,Ambal ni waalimu na sio waganga njaA ni 70.Wengine ni kwao,Bora uzima.Hao waliobak ukiingia kwao utakuta wanakadi za ccm kwa uoga na sio kutoka moyoni
ualimu ni wito sio mshahara mkubwa na maisha mazuri, ni muhimu sana kuelewa na kufahamu hili,

Porojo za wanasiasa haziwezi kusaidia chochote wakati walimu wenyewe wanaendelea kuchapa kazi zao vizur tu na ufaulu wa watoto wetu unaongezeka mwaka hadi mwaka 🐒
 
Back
Top Bottom