[emoji3][emoji3][emoji3]
Tbc1 au Tbc2?Yuko live TBC mkulu
Oyee.Maguu oyeee
Tunaomba Raisi JPM , aombe akatembelee HOSPITALI KUU ya Nairobi...... Mhe. hebu shtukizia hapo !!Nipo Nairobi tayari kuwaletea yanayojiri live bila chenga na bila upendeleo au upotoshaji..
Itinerary:
* Visit of Edoville dairy plant in Karen
* Nairobi's Southern bypass inauguration
* Hosted to a retreat at Nairobi's state house by Uhuru
From the horse himself..
Wenu,
Geza bin Ulole
(kwa hisani ya JF)
Kuna barabara atazindua, nashauri ipewe jina lape "Magufuli road", tuipige deki, halafu apigiwe mizinga 21 ya kijeshi, haalfu Wakenya tujazane kwa maelfu ili kumlaki kisha tumpe mic aseme......
Baada ya hapo nina uhakika mambo yote mnayoyabana yatanyooka
Kuna majitu hayajui kusifia kilasiku kuponda. Jamanu raisi maguu anfanya kazi wacha tumpe sifazakeOyee.
Bukyanagandi nani kamfanania na baba yake usichanganye desa hapo! Kuna watu wa kambi tofauti!
TBC kurusha live kutoka Nairobi mtihani. Live hapa hapa nyumbani inawapa shida.Tbc1 au Tbc2?
Tbc taifa au Tbc Fm?
Weka wazi maana tbc1 hakuna kitu km hicho
Hiyo mijitu ni ile iliyekuwa inazungusha mikono na kupiga deki barabara.Kuna majitu hayajui kusifia kilasiku kuponda. Jamanu raisi maguu anfanya kazi wacha tumpe sifazake
Hiyo ni obvious barabara hiyo itapachikwa jina lake ndiyo maana amealikwa kuifungua - lakini nawatadhalisha msije mkawa carried away kwa kumzonga abarishe mipaka ya Masai Mara ili mu annex Ngorongoro kwa kutoa kisingizio kwamba na sisi tuliwanyanganya Mlima Kilimanjaro - kwani tatizo liko wapi mkiwa Amboseli si Mlima unaonekana wazi wazi tu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hiyo mijitu ni ile iliyekuwa inazungusha mikono na kupiga deki barabara.
Mara zote huwa anaandaliwa, lakini kadri muda unavyosonga mbele ndo hivyo tenaNaombea awe ameandaliwa speech...