John Magufuli maiden official trip to Kenya

Hivi nyie ni manyang'au au MAKAMAU..??
 
Rubbish, Mao wa China aliwatuliza watu wa karba yako
 
Ndio maana kachelewa kumbe bombadier imehusika?
Tuhabarishwe kama bombadier ilikodiwa ama ina safari za dar nairobi.
 
Naskia gari ya Magufuli iliishiwa mafuta akaamua kutembea mpaka ikulu ya UHURU
 
Ndio maana kachelewa kumbe bombadier imehusika?
Tuhabarishwe kama bombadier ilikodiwa ama ina safari za dar nairobi.
Kuchelewa kote ilibidi ku refuel KIA ndio kuunganisha hadi "nusu london"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…