John Malecela: Sioni Hoja ya Wanaopinga Uwekezaji wa DP World Bandarini

John Malecela: Sioni Hoja ya Wanaopinga Uwekezaji wa DP World Bandarini

Kwanini unamtukanisha mzee. Na atatukanwa na kudharaulika mno. Waacheni wapumzike
Mkuu,kwanini mtu amtukane mzee wa watu? au yeye hakupaswa kutumia uhuru wake wa kutoa maoni?


Kila siku humu watu wanalilia uhuru wa kutoa maoni ila mtu akitoa maoni ambayo wao hayawapendezi wanaishia kumtukana! huo ndio uhuru wa maoni?
 
Mzee kasema ukweli! Wengi wanasumbuliwa na chuki, wivu na udini tu. Hawana hoja kabisa wachache makuwadi wa wakenya wanaotaka bandari zetu zisiwe vizuri
-kwamba DPworld apewe bandari zote hata za ziwani
-kwamba mkataba ni wakudumu bila ukomo mpaka kazi zitakapo Isha
-kwamba haturuhusiwi kuingia mkataba na wengine bila kibari cha dp world
-mzee hapa anaona ni sawa
 
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).


Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.

Malecela amesema haoni shida ya uwekezaji huo na amewashangaa wanaopinga akisema ndio demokrasia inavyowaruhusu.

"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.

Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mwananchi
Walking dead, watu ubongo unaoza huku wakihema, kumbe bora wasiheme ubongo ukiwa hai.
 
-kwamba DPworld apewe bandari zote hata za ziwani
-kwamba mkataba ni wakudumu bila ukomo mpaka kazi zitakapo Isha
-kwamba haturuhusiwi kuingia mkataba na wengine bila kibari cha dp world
-mzee hapa anaona ni sawa
Wapi imeandikwa hivyo?
 
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).


Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.

Malecela amesema haoni shida ya uwekezaji huo na amewashangaa wanaopinga akisema ndio demokrasia inavyowaruhusu.

"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.

Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mwananchi
Kila mtu anataka uwekezaji wa bandari ila tunataka mkataba unaoonyesha waarabu wataendesha bandari muda gani. Siyo kuwa silent. Pia vifungu vingine vijadiliwe
 
Kwanza mzee mwenyewe ni Dakika ya 87 muda wwte game kwishine. Asitupangie wengine ni Dakika ya 13 ya mchezo.
Tunataka Bandari yetu
 
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).


Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.

Malecela amesema haoni shida ya uwekezaji huo na amewashangaa wanaopinga akisema ndio demokrasia inavyowaruhusu.

"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.

Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mwananchi
Mzee Pumzika kula Pensheni yako haya Mengine yaacheni yapite
 
Huyu si ndo alibadil Dini kuwa muislamu Ili mradi awe Raisi...siyo wazee wote Wana busara..
HuwezI ukaenda Msoga kupata ushauri afu urudi na kitu cha Maana
Nimecheka sana,maana yake nikuwa hata wahuni wanazeeka. Mfano hata chi Benz kuna siku atazeeka,hata Gardiner Habash atazeeka,hata Bashite atazeeka,hata Sabaya atazeeka
 
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).


Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.

Malecela amesema haoni shida ya uwekezaji huo na amewashangaa wanaopinga akisema ndio demokrasia inavyowaruhusu.

"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.

Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mwananchi
Angekufa huyu mzee akabaki yule kijana wake.
 
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).


Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.

Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mwananchi

Touchee.jpeg


Ndugu Jumanne na Bwana Aziz
 
Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Malecela ametoa kauli kuhusu sakata la makubaliano ya uwekezaji wa bandari nchini na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya Dubai Port World (DPW).


Malecela ametoa kauli hiyo leo Jumapili Juni 25, 2023 baada ya kuulizwa swali kuhusiana na uwekezaji huo unaohusisha Serikali hizo mbili.

Malecela amesema haoni shida ya uwekezaji huo na amewashangaa wanaopinga akisema ndio demokrasia inavyowaruhusu.

"Kwanza wako wachache wanaopinga na sioni hoja yao," amesema Malecela ambaye ni Waziri Mkuu wa saba wa Tanzania akipokea nafasi hiyo kutoka kwa Jaji Joseph Warioba.

Leo, Malecela amekutana na waandishi wa habari nyumbani kwake eneo la Kilimani jijini Dodoma akielezea kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo unaotanywa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mwananchi
Wazee kama awa ni wa kuupuuza kwanza hawana miaka 20 mbele,
 
Back
Top Bottom