John Mashaka Ni Mbunge Mtarajiwa!

John Mashaka Ni Mbunge Mtarajiwa!

Status
Not open for further replies.
Haya sasa, wale ambao bado hamjaiona interview yake, hii hapa: Courtesy of DailyNews Tz.


Mjomba kasahau hata kiswahili. Jamani ana foundation muungeni katika jitihada za kulipa fadhila kwa Mungu, kuwasaidie huko nyumbani, mwenzenu anaishi huko lakini roho yake kaacha Tz.......
 
Ronse to Pundit: JM Mbunge Mtarajiwa

I am very sorry to inform you that, of all Tanzanian’s I know, you seem to be one of the linguistic novices who needs something better to do , such as learning how to arrange your sentences, than sitting in blogs to criticize worthwhile ideas.

To make the story short, what have you accomplished in your life so far? I guess you are floating in the same boat as the rest of wazamiaji , and soon will capsize in the high seas.

Get a life man and stop deceiving people in the blogs on how intelligent you are. Using Jargon does not mean you are brilliant it means you are incompetent. Who knows you could be sitting with a dictionary besides you acting like you are so smart??????
Crap, there are people more intelligent than you, you have to realize that by now. Kwa hiyo your time to show off has passed.

Honestly, you had nothing to correct in the article more than showing off, anyway it has back fired and hope you have leant no to do that stupid mistake again
Pundits are talking politics and sense in CNN, FOX, BBC, TELEMUNDO, CNBC, MSNBC, Aljazeera and so forth! The well connected, have special columns in Wall street Journal, Washington post etc. Have you ever been in any of the channels, or are you having any column?

Being a pundit in underground, anonymous forum shows you are semi literate or brain dead along with your surrogates or still day dreaming to be there when you turn 81! Ahhhhhh Ahhhhhhh………………….

The Youngman presented his thoughts on how to save our country. His message is very clear, and my question to you is that, what have you done for Tanzania since you knew all you know……….. Or what are you planning to do? How long have you been in America, and what are you doing. Nursing the old lady? Oops, and what do you know about economics? Nothing!

I am sure JM is younger than you by far, yet centuries ahead of you by his accomplishments. I don’t know John Mashaka, but I do admire his work and courage. You are one of the negative minded people in this forum we must get rid of, and the effort has started due to your negativity.

I have read john’s article which seems to be well written and grammatically correct with a few exceptions we expect from someone who is not a journalist. You are in the first place, an anonymous ghost; perhaps a sore loser who hates to see others do well.

Try to build that destroying; he has not praised himself, neither has he said anything out of context to warrant your stupid and shallow analysis of deceiving the vulnerable,and weak minded


I ran the article into the Fleisher Kincaid and the result came 11.9 level or 95% readability statistics. Do you know what that means?

Did you consider his targeted audience and realized that some of them could not have understood his message should he have used the crammed words out of thesaurus like you? Poor African

If JM chooses to be a politician in whatever capacity, I guess you will be forced to live with that fact because that is his citizenship right. I will vote for him, than voting you because you have proved to be worthless.

He has all the qualities to be a politician if he chooses to do so. He has the financial muscle necessary to clear his way into the parliament, and these could be be some bitter pills for you to swallow, what of you, what are you going to be, a village elder (balozi wa nyumba kumi)?

He is gearing to help even your abandonded childen from your ex wife, now laboring under the weight of want and deprivaton at Tandale kwa mtonga selling tomatoes to survive yet you are bored to death with bud light on your two hands.

Why do you foget so quick, not so long , you used to be a pick pocket in dar, today you are an expert, what a world? Mr. PUNDIT, can we discuss EPA next and your?

I am sure you are done with your dissection of his linguistic flaws; now let’s go into the contents or the substance of the article. How can you sing and praise Obama and can’t even support your fellow countryman trying to caution his people? …………………………………………….. “I cry for my beloved country,It has people praising slavery and cannot compliment their own youth” .

Trust me JM Is far ahead of you in all aspects; splint to catch up! The guy has no intent of becoming a Mbunge. He will be mentally sick to leave his lucrative job to go and work for peanuts.

Call me JM or JM's surrogate but the fact remains that,Ubunge is for psychological and moral FISADI’S like you, his main intent is to change the dynamic of thinking in our nation; transform the corrupted minds like you for a better Tanzania, Africa and the world at large

I am Chinga Mzalendo, and I support (JM )because he is for the good of my country !
 
CM you don't know JM but you know his accomplishments!

Thank you.
 
Ronse to Pundit: JM Mbunge Mtarajiwa

I am very sorry to inform you that, of all Tanzanian’s I know, you seem to be one of the linguistic novices who needs something better to do , such as learning how to arrange your sentences, than sitting in blogs to criticize worthwhile ideas.

To make the story short, what have you accomplished in your life so far? I guess you are floating in the same boat as the rest of wazamiaji , and soon will capsize in the high seas.

Get a life man and stop deceiving people in the blogs on how intelligent you are. Using Jargon does not mean you are brilliant it means you are incompetent. Who knows you could be sitting with a dictionary besides you acting like you are so smart??????
Crap, there are people more intelligent than you, you have to realize that by now. Kwa hiyo your time to show off has passed.

Honestly, you had nothing to correct in the article more than showing off, anyway it has back fired and hope you have leant no to do that stupid mistake again
Pundits are talking politics and sense in CNN, FOX, BBC, TELEMUNDO, CNBC, MSNBC, Aljazeera and so forth! The well connected, have special columns in Wall street Journal, Washington post etc. Have you ever been in any of the channels, or are you having any column?

Being a pundit in underground, anonymous forum shows you are semi literate or brain dead along with your surrogates or still day dreaming to be there when you turn 81! Ahhhhhh Ahhhhhhh………………….

The Youngman presented his thoughts on how to save our country. His message is very clear, and my question to you is that, what have you done for Tanzania since you knew all you know……….. Or what are you planning to do? How long have you been in America, and what are you doing. Nursing the old lady? Oops, and what do you know about economics? Nothing!

I am sure JM is younger than you by far, yet centuries ahead of you by his accomplishments. I don’t know John Mashaka, but I do admire his work and courage. You are one of the negative minded people in this forum we must get rid of, and the effort has started due to your negativity.

I have read john’s article which seems to be well written and grammatically correct with a few exceptions we expect from someone who is not a journalist. You are in the first place, an anonymous ghost; perhaps a sore loser who hates to see others do well.

Try to build that destroying; he has not praised himself, neither has he said anything out of context to warrant your stupid and shallow analysis of deceiving the vulnerable,
deceiving the weak minded.

I ran the article into the Fleisher Kincaid and the result came 11.9 level or 95% readability statistics. Do you know what that means?

Did you consider his targeted audience and realized that some of them could not have understood his message should he have used the crammed words out of thesaurus like you? Poor African

If JM chooses to be a politician in whatever capacity, I guess you will be forced to live with that fact because that is his citizenship right. I will vote for him, than voting you because you have proved to be worthless.

He has all the qualities to be a politician if he chooses to do so. He has the financial muscle necessary to clear his way into the parliament, and these could be be some bitter pills for you to swallow, what of you, what are you going to be, a village elder (blozi wa nyumba kumi)?

I am sure you are done with your dissection of his linguistic flaws; now let’s go into the contents or the substance of the article. How can you sing and praise Obama and can’t even support your fellow countryman trying to caution his people? …………………………………………….. “I cry for my beloved country,It has people praising slavery and cannot compliment their own youth” .

Trust me JM Is far ahead of you in all aspects; splint to catch up! The guy has no intent of becoming a Mbunge. He will be mentally sick to leave his lucrative job to go and work for peanuts.

Call me JM or JM's surrogate but the fact remains that,Ubunge is for psychological and moral FISADI’S like you, his main intent is to change the dynamic of thinking in our nation; transform the corrupted minds like you for a better Tanzania, Africa and the world at large

Chinga Mzalendo

mimi sio mtaalamu wa lugha ila changa mzalendo nawe umeteleza
 
Mpaka hivi sasa kwa wale wote wanaosikiliza na kusoma habari za nyumbani, sidhanii kuna mmoja ambaye hajasikia habari za JM
 
Mama, sometimes we have to be constructive that being so destructive without any basis. The article is excellent linguistically sasa sijui kelele zote za Pundit zilikuwa ni za nini au alikuwa anataka kufungua chupi za watu humu ndani? God save his soul !

Kwanza tungejiuliza Pundit alikuwa na lengo gani kwa mwenzie, na kusema kweli lugha ya jamaa ni bomba kweli. Nadhani kuna wivu kiasi fulani kwenye jamii yetu ya kitanzania dhidi ya wachache wanaotokea kufanikiwa ughaibuni.

Mimi kadhalika ni mwalimu, mshahara wangu ni mdogo lakini vile vile nafurahi kuwaona vijana wanaofanikiwa majuu na kutumia mafanikio yao kuwasaidia wenzetu tanzania. Hii ndio pointi yangu.

Uzalendo
 
Naona tunaandikia mate.

Kasema hivi:

``Livingstone’s student body is composed of young men and women from all walks of life, ranging from sub-Saharan Africa Bush-men (which includes me) to New York’s Bronx. As a former member of the jungle, it has not entered my mind to go back and chase animals in the wilderness of Africa. My dream is to return there someday and transform tens of thousands of people in my society to modernity. ´´

Kwanza tupate facts, nini kilitoka mdomoni mwake, halafu tuongelee hiyo context.

Anasema:
  1. Yeye ni Bushman,
  2. Asingependa - hataki hata kufikiria - kurudi kufukuzana na wanyama kwenye nyika za Afrika.

Sawa ? Hayo ndiyo aliyosema. Sasa twende kwenye "context" yako sasa unayoongelea:

Jamaa anasema, ndoto yake ni kufanya mambo, kufanya kweli, ili atakaporudi kwao, kwa ma-Bushman (South Africa, the last time I checked) aibadilishe iwe katika modernity badala ya kurudi kujikuta anafanya alichokuwa anafanya zamani, kufukuza ngiri, kuchonga vipago vya kuwindia visota na shorwe bwenzi, kukimbia mbwa mwitu, kuingiliwa ndani na chui usiku. That stone age life!!

Maisha ya nyikani. Mwituni. Hardscrabble lion-fighting jungle life!!

Now he wants to change that. To modernity. Ha aa aaa aaaa!

So, so, the self-made Wall Street investment banker alitoka kwenye the jungles of Savanna grassland in the hinterland of South Africa and by his own bootstraps, rose to the ranks of "Senior Investment Banker" in Wall Street down in Charlotte, North Carolina!!

Bushman to Broker-man to philanthropist story! Ha haa aaaaa!

I mean, you couldn't write a better script.

Hivi kwa busara zako,kuna dhambi gani kwa mtu aliyetoka ghetto akiwa na mawazo ya kui-transform?Nilisoma mahala flani kuhusu reviews za American Gangster ya Jay-Z,ambapo mmoja wa critics alimlaumu rapper huyo kwamba kwa alipofikia anawajibika zaidi kuwapa moyo (as opposed to glorifying) wale wanaoendeleza mambo ya drugs,crime,etc.And that's exactly Mashaka anachozungumzia.Ametoka kwenye jamii iliyo nyuma,na asingependa iendelee kuwa hivyo,and hence his ambition to transform it into modernity.Dont tell me you are happy to see jamii inaendelea kuishi as if tuko kwenye zama za mawe,unless wewe si muumini wa mabadiliko na maendeleo.

It's too early to judge kwamba hiyo philanthropic zeal has anything to do with political ambitions kwa vile mwenyewe hajatamka bayana kuwa ana nia hiyo.Kuendelea kuiandama career yake kunaweza kutafsiriwa kuwa some critics are sheer haters wanaofurahi zaidi kuona flani yuko ovyo na si mtu kupata publicity kwa mazuri anayoifanyia jamii.By the way,when was the last time you guys did a fraction of what Mashaka did to jamii (neglecting misaada kwa family thru western union)?
 
Kuhani, I think that sound like Obama to me, born to a white Mother from Kansas and a father from Kenya who................. what goats? Became a community organizer and finally a US president. Any similarity?
 
Mama, sometimes we have to be constructive that being so destructive without any basis. The article is excellent linguistically sasa sijui kelele zote za Pundit zilikuwa ni za nini au alikuwa anataka kufungua chupi za watu humu ndani? God save his soul !

Kwanza tungejiuliza Pundit alikuwa na lengo gani kwa mwenzie, na kusema kweli lugha ya jamaa ni bomba kweli. Nadhani kuna wivu kiasi fulani kwenye jamii yetu ya kitanzania dhidi ya wachache wanaotokea kufanikiwa ughaibuni.

Mimi kadhalika ni mwalimu, mshahara wangu ni mdogo lakini vile vile nafurahi kuwaona vijana wanaofanikiwa majuu na kutumia mafanikio yao kuwasaidia wenzetu tanzania. Hii ndio pointi yangu.

Uzalendo

The article is excellent to you, not necessarily to everyone else. Hii sio mara ya kwanza Pundit kuchambua, huchambua hata michango ya members humu, nachelea asijekuchambua na wewe.

Hapa ni JF, people dare to talk openly, ukibore unaambiwa, ukiwa sawa unaambiwa vile vile. Mambo ya wivu ni kwenye kitchen party, sio hapa JF.

Inategemea na kipimo chako cha mafanikio. Kipimo kinaweza kuonyesha best kwako kwa mwenzio kikawa least. Una uhakika gani kama huyo Pundit hasaidii watanzania wenzake, au hadi atangaze?

Mind you, katika dunia ya leo hakuna utakachofanya umridhishe kila mmoja, kila mtu na mtazamo wake. Mtu akinicriticise cha kwanza nitakachofanya ni kumshukuru. Kwa sababu gani? najua mtu huyo ananijenga. Nitachukua hizo critics kama challenge ya kunifanya nijitahidi ili nifanye vizuri zaidi na sio kunikatisha tamaa.
 
@ # 12^(2),

Did I say 12^(2) = 144?

I like this Matcher of Hon. Pundit..

Naomba vita ikianza wengine msiingilie wajameni..mpaka kieleweke!

Dudes, I love JF.
 
All I can recall from Mwananchi and Majira articles, they mentioned something in the Tsh 8.2 million range which he donated to a center in Morogoro in September 2008. Thre are other places mentioned such as gongolamboto etc.....Na pia nikikumbuka, nadhani alikuwa anashirikiana na wizara ya maji kuchimba visima huko musoma, the value I have no idea, but was quoted as the sole sponsor and the ministry was going to render technical support
 
All I can recall from Mwananchi and Majira articles, they mentioned something in the Tsh 8.2 million range which he donated to a center in Morogoro in September 2008. Thre are other places mentioned such as gongolamboto etc.....Na pia nikikumbuka, nadhani alikuwa anashirikiana na wizara ya maji kuchimba visima huko musoma, the value I have no idea, but was quoted as the sole sponsor and the ministry was going to render technical support


Na umesahau aliwasponsor mitindo house kule Mkuranga na pia kuna watu walimfananisha na mother Theresa. Hata kama amedonate 100$, sio sababu ya kumfanya yeye asiguswe.

Ningekuwa wewe ningechukua kalamu na karatasi na kuanza kujiuliza kwa nini huyu kaandika hivi na kwanini yule kaandika vile. Ningefanya mchanganuo na kujibu mapigo kwa vitendo, kwa mfano kutovaa tena miwani na kofia ya namna ile wakati wa interview na media. Muonekano wako tu unaweza kuonyesha character yako at the first place.
 
Hapana hizo za Mkuranga sina habari nazo. Ila nakumbuka nyingine in 2005 alopotoa vitu vingi sana New-Life orphanage ya magomeni. wali mention generator, pampu ya kisima, magodoro 50, mablanketi 100, na vyakula vingi. thamani sijui. vile vile walimnukuu kufunga kula (fasting) kwa siku tano akiwa analala chini ya mti.........
 
Hapana hizo za Mkuranga sina habari nazo. Ila nakumbuka nyingine in 2005 alopotoa vitu vingi sana New-Life orphanage ya magomeni. wali mention generator, pampu ya kisima, magodoro 50, mablanketi 100, na vyakula vingi. thamani sijui. vile vile walimnukuu kufunga kula (fasting) kwa siku tano akiwa analala chini ya mti.........


Ok, hivi inakuwaje watu wanayajua mambo yake mengi kama sio yote? hadi kufunga siku tano akiwa analala chini ya mti?(hii hata mimi sijawahi kusikia)
 
Kuhani is not only retarded but must have been riding in a small school bus for a long time and forgot his destination (embarking point)

They are completely blowing this out of its CONTEXT. Are these the types of analysts we are producing? Shame on us!

I think we are on the verge to correct the status quo, which made some believe that they are invicible in this JF. I think from now on we need substance and not just empty talks.

Kuhani, can you tell us something about EPA?

Mama:
December 2006 Business Week Magazine article featured this guy, and had lot of his accoplishments.......... and if you do read tanzania papers on line, you will stumble on his stories.
 
Kuhani is not only retarded but must have been riding in a small school bus for a long time and forgot his destination (embarking point)

They are completely blowing this out of its CONTEXT. Are these the types of analysts we are producing? Shame on us!

I think we are on the verge to correct the status quo, which made some believe that they are invicible in this JF. I think from now on we need substance and not just empty talks.

Kuhani, can you tell us something about EPA?


ha ha hahaaa, have you ever been out of context? yes, here you are.

Kwa heri!
 
Ok, hivi inakuwaje watu wanayajua mambo yake mengi kama sio yote? hadi kufunga siku tano akiwa analala chini ya mti?(hii hata mimi sijawahi kusikia)

Mama nimefurahishwa na hii post yako. Mbona hata mimi nayajua mambo yako mengi....just kidding!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom