John Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri.
Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8, mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.
Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani
Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.
Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%
Inasemekana ndie General ajae
Picha yake inakuja,
Inaendelea....
Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8, mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.
Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani
Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.
Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%
Inasemekana ndie General ajae
Picha yake inakuja,
Inaendelea....