Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Ukitaka kusema uwongo "ujipange".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Story za vijiwe vya kahawaJohn Mduma,mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6,Muuza samaki Feri,
Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8,mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.
Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani
Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.
Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%
Inasemekana ndie General ajae
Picha yake inakuja,
Inaendelea....
Maelezo hayaeleweki kabisaJohn Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri.
Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8, mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.
Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani
Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.
Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%
Inasemekana ndie General ajae
Picha yake inakuja,
Inaendelea....
Umemuaribia lakin mkuu ,John Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri.
Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8, mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.
Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani
Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.
Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%
Inasemekana ndie General ajae
Picha yake inakuja,
Inaendelea....
Mkuu usineshe Kuna binti namfaham ,miaka Iyo Kama ya jamaa, tena akisoma shule ya msingi bado alikua anapiga KAZI taasis MOJA hivi, na ilikua akiitajika anaombewa full order ,nchi ngum Sana hiiPambaf!
Mtu wala haja balehe ati kafanyakazi na Awamu zote 6.
Naona umetumia sixth sense of organMkuu usineshe Kuna binti namfaham ,miaka Iyo Kama ya jamaa, tena akisoma shule ya msingi bado alikua anapiga KAZI taasis MOJA hivi, na ilikua akiitajika anaombewa full order ,nchi ngum Sana hii
Hukiwa JF tumia jicho la 3, sio Kila kitu lazima uweke comment yako,mengine angalia Kama huna Cha kuandika pita
Siongei na " Senior member"Maelezo hayaeleweki kabisa
Mtoto wa juzi Joseph:,-, angalia aliepost uzi huu ni nan?Ukitaka kusema uwongo "ujipange".
Chief ukiona nimeandika jambo, litizame kwa Jicho kipekee sanaNadhani hutarudi tena upuuzi wako huo
HahahahahahahahaWengi tusichokijua ni kuwa huu uzi umejaa wavaa viatu wa kutosha.
Wameweka subscription notification kabisaaa.
Unatumia kilevi gani? Viroba bado vinapatikana huko kwenu?John Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri.
Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8, mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.
Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani
Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.
Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%
Inasemekana ndie General ajae
Picha yake inakuja,
Inaendelea....