John Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri MAGOGONI

John Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri MAGOGONI

Hiki kipupwe twende nacho kwa staha la sivyo Milembe itazidiwa. Mtoto wa miaka 8 anamlindaje Rais?
 
John Mduma,mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6,Muuza samaki Feri,

Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8,mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.

Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani

Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.

Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%

Inasemekana ndie General ajae

Picha yake inakuja,

Inaendelea....
Story za vijiwe vya kahawa
 
John Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri.

Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8, mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.

Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani

Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.

Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%

Inasemekana ndie General ajae

Picha yake inakuja,

Inaendelea....
Maelezo hayaeleweki kabisa
 
John Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri.

Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8, mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.

Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani

Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.

Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%

Inasemekana ndie General ajae

Picha yake inakuja,

Inaendelea....
Umemuaribia lakin mkuu ,
 
Pambaf!
Mtu wala haja balehe ati kafanyakazi na Awamu zote 6.
Mkuu usineshe Kuna binti namfaham ,miaka Iyo Kama ya jamaa, tena akisoma shule ya msingi bado alikua anapiga KAZI taasis MOJA hivi, na ilikua akiitajika anaombewa full order ,nchi ngum Sana hii
 
Mkuu usineshe Kuna binti namfaham ,miaka Iyo Kama ya jamaa, tena akisoma shule ya msingi bado alikua anapiga KAZI taasis MOJA hivi, na ilikua akiitajika anaombewa full order ,nchi ngum Sana hii
Naona umetumia sixth sense of organ
 
Hizo awamu 6 zimepatikanaje kwa mtu mwenye umri wa miaka 35?
 
John Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri.

Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8, mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.

Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani

Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.

Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%

Inasemekana ndie General ajae

Picha yake inakuja,

Inaendelea....
Unatumia kilevi gani? Viroba bado vinapatikana huko kwenu?
 
Back
Top Bottom