John Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri MAGOGONI

John Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri MAGOGONI

Nkololo Kijiji hiki noma Kuna fisi balaa mwaka Jana nilienda field huko kusoma ramani za mashamba ya vitunguu nikakaribishwa nyuma 1 Haina mlango fisi balaa mlango hakuna nikaambiwa na wenyeji wangu nisiwe na wasi nikalala siku 3 salama salmin, ulozi nao usiseme
 
John Mduma mwenye umri wa miaka 35 ndio mlinzi pekee alieaminiwa na serikali za awamu zote 6? Mtu mwenye umri wa miaka 35, ina maana amezaliwa mwaka 87 wakati huo raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa mzee wetu mzee Ally Hassani Mwinyi. Sasa hiyo awamu ya kwanza ambapo alikuwa hajazaliwa aliaminiwa vipi, awamu ya pili Mwinyi aling'atuka Mduma akiwa na miaka 8 pia aliaminika vipi? Awamu ya tatu je? Endelea kuvuta lkn angalia cha ukucha kisikubabue vidole.
Huyu itakuwa kapewa kile kilichochangwa na mavi ya mbuzi.
 
John Mduma,mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6,Muuza samaki Feri,

Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8,mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.

Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani

Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.

Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%

Inasemekana ndie General ajae

Picha yake inakuja,

Inaendelea....
Picha.
 
John Mduma,mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6,Muuza samaki Feri,

Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8,mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.

Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani

Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.

Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%

Inasemekana ndie General ajae

Picha yake inakuja,

Inaendelea....
Pambaf!
Mtu wala haja balehe ati kafanyakazi na Awamu zote 6.
 
John Mduma mwenye umri wa miaka 35 ndio mlinzi pekee alieaminiwa na serikali za awamu zote 6? Mtu mwenye umri wa miaka 35, ina maana amezaliwa mwaka 87 wakati huo raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa mzee wetu mzee Ally Hassani Mwinyi. Sasa hiyo awamu ya kwanza ambapo alikuwa hajazaliwa aliaminiwa vipi, awamu ya pili Mwinyi aling'atuka Mduma akiwa na miaka 8 pia aliaminika vipi? Awamu ya tatu je? Endelea kuvuta lkn angalia cha ukucha kisikubabue vidole.
Aisee hapa umemaliza kila kitu. Na akirudi kujibu maswali yako nitag.
 
John Mduma,mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6,Muuza samaki Feri,

Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8,mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.

Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani

Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.

Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%

Inasemekana ndie General ajae

Picha yake inakuja,

Inaendelea....
Acha uongo miaka 8? Na ajira akipata serikalini
 
Umri wake unakataza yeye kuwa CDF,35yrs ol

John Mduma,mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6,Muuza samaki Feri,

Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8,mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.

Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani

Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.

Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%

Inasemekana ndie General ajae

Picha yake inakuja,

Inaendelea....
Atakuwa general wanini kama elimuyake haijulikani.
 
Upuuzi tu kasaidia nini nchi kama nchi tukiachana na maslahi ya wanasiasa?

Vyombo vyetu visaidie nchi sio watu walioko madarakani

Watu wa vyombo mko humu najua mnasoma comment za JF saidieni nchi, saidieni future ya nchi dhidi ya wahuni na walaji walioko kwenye mamlaka mbalimbali za serikali
Ninakubaliana nawe, mkuu.

Tatizo ni moja, wote hawa wamekuwa ni CCM.

WaTanzania wakifanikiwa kuiweka CCM pembeni, angalau kwa muda, hawa watu wataanza kufanya kazi zao ipasavyo tena.
Unawaona akina Kipilimba wanavyojibaraguza!
 
Kama ana miaka 35, atakuwa alizaliwa mwaka 1987 na kukuta awamu ya kwanza imeng'atuka.

ameanza kazi akiwa na miaka 8, itakuwa 1995 kama ni kusoma baraza litakuwa la awamu ya tatu.


wewe jamaa unatumia vigezo gan kudanganya wana nkololo hapa jamvini.
Hata mtoto wa Malaika hawezi kuanza kazi akiwa na miaka 8. Mleta mada ni chenga sana.
 
John Mduma,mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6,Muuza samaki Feri,

Huyu ndio jasusi pekee aliwahi kufanya kazi Rasmi akiwa na miaka 8,mpaka Leo akiwa na miaka 35 akiwa ndio mpanga ratiba mkuu wa ziara za Mtukufu ndani ya nchi.

Amezaliwa Kijiji Cha nkololo bariadi, historia ya elimu yake haijulikani

Ndie kijana pekee anaemthibitishia Rais cabinet aitangazayo ipo makini.

Ukiona Far ipo salama huyu jamaa anamchango wake 89%

Inasemekana ndie General ajae

Picha yake inakuja,

Inaendelea....
Mzee unajitahidi kutohoa.

Lakini kuna missing link inabidi uielewe kwanza kabla ya kuasisi msambao
 
Wengi tusichokijua ni kuwa huu uzi umejaa wavaa viatu wa kutosha.
Wameweka subscription notification kabisaaa.
 
Back
Top Bottom