John Mduma, mlinzi pekee wa Rais alieaminiwa na serikali zote 6, Muuza samaki Feri MAGOGONI

Nkololo Kijiji hiki noma Kuna fisi balaa mwaka Jana nilienda field huko kusoma ramani za mashamba ya vitunguu nikakaribishwa nyuma 1 Haina mlango fisi balaa mlango hakuna nikaambiwa na wenyeji wangu nisiwe na wasi nikalala siku 3 salama salmin, ulozi nao usiseme
 
Huyu itakuwa kapewa kile kilichochangwa na mavi ya mbuzi.
 
Picha.
 
Pambaf!
Mtu wala haja balehe ati kafanyakazi na Awamu zote 6.
 
Aisee hapa umemaliza kila kitu. Na akirudi kujibu maswali yako nitag.
 
Acha uongo miaka 8? Na ajira akipata serikalini
 
Umri wake unakataza yeye kuwa CDF,35yrs ol

Atakuwa general wanini kama elimuyake haijulikani.
 
Ninakubaliana nawe, mkuu.

Tatizo ni moja, wote hawa wamekuwa ni CCM.

WaTanzania wakifanikiwa kuiweka CCM pembeni, angalau kwa muda, hawa watu wataanza kufanya kazi zao ipasavyo tena.
Unawaona akina Kipilimba wanavyojibaraguza!
 
Hata mtoto wa Malaika hawezi kuanza kazi akiwa na miaka 8. Mleta mada ni chenga sana.
 
Mzee unajitahidi kutohoa.

Lakini kuna missing link inabidi uielewe kwanza kabla ya kuasisi msambao
 
Wengi tusichokijua ni kuwa huu uzi umejaa wavaa viatu wa kutosha.
Wameweka subscription notification kabisaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…