Gamic
JF-Expert Member
- Jun 24, 2021
- 1,156
- 2,271
Wewe mgombea wako wa urais 2025 alichukua fomu wapi ? Kwa nini apitishwe bila kufuata utaratibu?naona timbwili la utekaji likirejea wakati wa uteuzi wa mgombea urais, wabunge, madiwani na viti maalumu ndani ya chadema ikiwa hata katibu mkuu ameanza kupiga mayowe ya uhujuma mapema hivi š
Uko busy kufuatilia mambo ya chadema wakati ndani kwako ccm kunawaka moto!!!

