Endelea kuota ndotoChadema imeanza rasmi safari ya kujifia kama ilivyokua TLP na CUF. Ni suala la muda tu. Huenda hata uchaguzi mkuu wasishiriki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuota ndotoChadema imeanza rasmi safari ya kujifia kama ilivyokua TLP na CUF. Ni suala la muda tu. Huenda hata uchaguzi mkuu wasishiriki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hao wajumbe waliopiga kura kwa mbowe kinyume na msimamo wa wapiga kura hawana maana yeyote na hakuna haja ya kuwahofia.Narusia, hili ni jambo la kulikalia chini na kujadili, kukosekana kwa jitihada za makusudi za kukiunganisha chama ni anguko tunalolitengeneza.
Uzuri wa kuwagawanya watu ili kuwatawala ni kwamba huhitaji tena nguvu ya dola, watapigana wao wenyewe kwa wenyewe.
Mfano; Viongozi wa kikanda, mikoa na wilaya ambao hawakumpigia kura Lissu (asilimia 48% ya viongozi wote) wakiamua kutowahimiza wananchi wao kushiriki uchaguzi au wakiamua kutotoa ushirikiano kwenye mchakato wa uchaguzi for CHADEMA, kuna haja gani ya nguvu ya dola? Mbona tayari kijani wanapenya bila maguvu.
Kama nilivyosema pale mwanzo, tujitafakari bila mihemko.
Wewe uko na akili mingi, CCM ni dude kubwa sana. Walijua Lissu sio kiongozi hawezi kuunganisha chama CCM walikuwa wanachochea moto kupitia makada wao akina Msigwa. CDM itajifikia kilo cha kawaidaNarudia, hili ni jambo la kulikalia chini na kujadili, kukosekana kwa jitihada za makusudi za kukiunganisha chama ni anguko tunalolitengeneza.
Uzuri wa kuwagawanya watu ili kuwatawala ni kwamba huhitaji tena nguvu ya dola, watapigana wao wenyewe kwa wenyewe.
Mfano; Viongozi wa kikanda, mikoa na wilaya ambao hawakumpigia kura Lissu (asilimia 48% ya viongozi wote) wakiamua kutowahimiza wananchi wao kushiriki uchaguzi au wakiamua kutotoa ushirikiano kwenye mchakato wa uchaguzi for CHADEMA, kuna haja gani ya nguvu ya dola? Mbona tayari kijani wanapenya bila maguvu.
Kama nilivyosema pale mwanzo, tujitafakari bila mihemko.
Nashangazwa sana na namna tunavyorahisisha mambo. Kipindi cha uchaguzi ukikosa almost nusu ya viongozi wako wilayani na mikoani, utausimamia vipi uchaguzi ikiwemo shughuli za kampeni na kulinda kura?Hao wajumbe waliopiga kura kwa mbowe kinyume na msimamo wa wapiga kura hawana maana yeyote na hakuna haja ya kuwahofia.
Wanachama wengi wanamuunga mkono Lisu huku site.
Amejibu vizuri. Naamini ana majina ya wajumbe halali waliohudhuria kikao hicho. Yeye ni mtendaji , asiingie katika mtego wa kuona kila anaehoji utendaji wa CDM kuwa ana nia mbaya.Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika, amedai kuwa kuna juhudi za kuhamisha mwelekeo kutoka kwenye kampeni ya 'No Reforms, No Election'. Kupitia ujumbe wake kwenye mtandao wa X, Mnyika amesisitiza kuwa maamuzi ya Baraza Kuu la CHADEMA yaliyofanyika tarehe 22 Januari 2025 ni halali, kwani yalihusisha wajumbe halali 234 kati ya 412, sawa na asilimia 56.8, kwa mujibu wa Katiba ya chama ibara ya 6.2.2.
Pia, Soma: Team Mbowe wajidhatiti kumkwamisha LISSU , wapinga uteuzi wa Wajumbe watano wa kamati kuu aloufanya Lissu, waandika Barua kwa msajili wa Vyama
Aidha, Mnyika ameeleza kuwa kikao hicho kilifanya uthibitishaji kwa mujibu wa Katiba ibara ya 7.7.12 (c) na (e), na hakukuwa na ajenda ya uchaguzi.
Ameeleza kuwa hatua ya kuwasilisha nakala ya barua kwa Msajili wa Vyama vya Siasa inadhihirisha kuwepo kwa nia ovu inayofanyika kwa siri dhidi ya chama hicho.
Hata TLP tuliwaambia hivi hivi wakabisha.Endelea kuota ndoto
yanaanzaga hivi hivi....tatizo ni Lisu and Heche kutoona umuhimu wa reconciliation kwa uharibufu walioufanya wao kwenye kampeni! Ujuaji mwingi usio na maana ....Chadema imeanza rasmi safari ya kujifia kama ilivyokua TLP na CUF. Ni suala la muda tu. Huenda hata uchaguzi mkuu wasishiriki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣