Wewe mgombea wako wa urais 2025 alichukua fomu wapi ? Kwa nini apitishwe bila kufuata utaratibu?naona timbwili la utekaji likirejea wakati wa uteuzi wa mgombea urais, wabunge, madiwani na viti maalumu ndani ya chadema ikiwa hata katibu mkuu ameanza kupiga mayowe ya uhujuma mapema hivi 🐒
nje ya mada hapo yanjadiriwa ya chadema ya ccm yanatoka wapi? chadem inaendakuharibika soonHao timu mbowe kama wanaijua sana katiba,wajiunge na ccm. Wakiwa humo ccm wahoji namna mgombea urais 2025 wa ccm alivyopatikana kama ni halali au la kwa mujibu wa katiba ya ccm. Wao walishaona wapi mgombea urais anapitishwa bila kuchukua fomu!!!,waende wakahoji haya ndani ya ccm.
Hakuna kitu wewe fisi tope.binafsi nilisema mapema kwamba,
kwa aina ya kampeni za chuki uhasama na mgawanyiko ilivyokua kabla ya uchaguzi,
yeyote atakaeshinda uenyekiti wa Chadema uchaguzi huo, atahujumiwa vilivyo katika kila agenda na mpango mkakati wa kua relevant katika medani ya siasa ya Tanzania.
Na huo ni mwanzo tu,
kwenye uteuzi wa mgombea urais, wabunge, madiwani na viti maalumu timbwili litakua ni noma zaid 🐒
Una sound kama mjinga, ujinga wako unajidhiilisha kwenye maandishi yakoChama kishakufa wehuntu wamebakia mle ndani wasiteseke hameni
mbona weo gentleman,Wewe mgombea wako wa urais 2025 alichukua fomu wapi ? Kwa nini apitishwe bila kufuata utaratibu?
Uko busy kufuatilia mambo ya chadema wakati ndani kwako ccm kunawaka moto!!!
mbona weo kasongo mobali na yeee?Hakuna kitu wewe fisi tope.
Ndo mnavyojidanganya?Chadema imeanza rasmi safari ya kujifia kama ilivyokua TLP na CUF. Ni suala la muda tu. Huenda hata uchaguzi mkuu wasishiriki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nadhani huna maana, kuna wengine walishasema hivo, wao ndio wakafa kabla mapema kuliko muda waioutabili chadema kufa..utakufa wewe kwanza na chadema itafuatiaChadema imeanza rasmi safari ya kujifia kama ilivyokua TLP na CUF. Ni suala la muda tu. Huenda hata uchaguzi mkuu wasishiriki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kampeni za kujazana chuki na kwenda kwenye media kuongeleana bila staha zimeleta mpasuko ndani ya chama, maamuzi ya 56% ya baraza kuu yanaweza kuwa halali, ila siyo jambo la kujivunia.binafsi nilisema mapema kwamba,
kwa aina ya kampeni za chuki uhasama na mgawanyiko ilivyokua kabla ya uchaguzi,
yeyote atakaeshinda uenyekiti wa Chadema uchaguzi huo, atahujumiwa vilivyo katika kila agenda na mpango mkakati wa kua relevant katika medani ya siasa ya Tanzania.
Na huo ni mwanzo tu,
kwenye uteuzi wa mgombea urais, wabunge, madiwani na viti maalumu timbwili litakua ni noma zaid 🐒
Mzee Mbowe alaaniwe aisee ,kungania madaraka imesababisha hiki chama kuonekana ni cha ovyo sanChadema imeanza rasmi safari ya kujifia kama ilivyokua TLP na CUF. Ni suala la muda tu. Huenda hata uchaguzi mkuu wasishiriki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe hukuwa unajua?Kumbe mbowe ni jinga hivi🤔🤔
Mwehu vuyo. Achana naye atakuumiza kichwa mkuu.Wewe mgombea wako wa urais 2025 alichukua fomu wapi ? Kwa nini apitishwe bila kufuata utaratibu?
Uko busy kufuatilia mambo ya chadema wakati ndani kwako ccm kunawaka moto!!!
dah,Kampeni za kujazana chuki na kwenda kwenye media kuongeleana bila staha zimeleta mpasuko ndani ya chama, maamuzi ya 56% ya baraza kuu yanaweza kuwa halali, ila siyo jambo la kujivunia.
Jitihada kubwa baada ya uchaguzi zingeenda kwenye kukiunganisha tena chama na wagombea wote kukaa mezani, kuombana msamaha na kutoa maazimio ya pamoja ili kuvunja makundi. Ila Ego na mamluki wa kila upande wamewatia upofu viongozi wetu.
Ukirudi kwenye historia utaona "Ego ndiyo downfall ya wanasiasa wengi duniani", ni wakati wa kuweka hisia pembeni na kujitafakari.
hakuna wakutishwa na mahakama ya mamayoMahakama itaamua