Pre GE2025 John Mnyika adai kuna hujuma za kuyumbisha harakati za 'No Reforms No Election' kufuatia pingamizi la uteuzi wa vigogo nane CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hao wajumbe waliopiga kura kwa mbowe kinyume na msimamo wa wapiga kura hawana maana yeyote na hakuna haja ya kuwahofia.
Wanachama wengi wanamuunga mkono Lisu huku site.
 
Wewe uko na akili mingi, CCM ni dude kubwa sana. Walijua Lissu sio kiongozi hawezi kuunganisha chama CCM walikuwa wanachochea moto kupitia makada wao akina Msigwa. CDM itajifikia kilo cha kawaida
 
Hao wajumbe waliopiga kura kwa mbowe kinyume na msimamo wa wapiga kura hawana maana yeyote na hakuna haja ya kuwahofia.
Wanachama wengi wanamuunga mkono Lisu huku site.
Nashangazwa sana na namna tunavyorahisisha mambo. Kipindi cha uchaguzi ukikosa almost nusu ya viongozi wako wilayani na mikoani, utausimamia vipi uchaguzi ikiwemo shughuli za kampeni na kulinda kura?

Viongozi wa chama, wawe team Lissu au Mbowe ndiyo wana dhamana ya kukisimamia chama huko kwenye maeneo yao. Anyway, ngoja tuone mambo yatakavyokua.
 
Lissu ana kazi kubwa ya kukiunganisha chama. Mara Aidan hachangii hapo ataweza kweli.
 
Amejibu vizuri. Naamini ana majina ya wajumbe halali waliohudhuria kikao hicho. Yeye ni mtendaji , asiingie katika mtego wa kuona kila anaehoji utendaji wa CDM kuwa ana nia mbaya.

Amandla...
 
Zama za sasa si zile za zamani......... Tuishi Kwa nyakati za sasa tukihusisha zama zile, si kuishi zama zile tukihusisha na zama za sasa. Kuna watu wanalazimsha kisichowezekana. Zama za sasa zina mabadiliko na zinahitaji mabadiliko zaidi.
 
Chadema imeanza rasmi safari ya kujifia kama ilivyokua TLP na CUF. Ni suala la muda tu. Huenda hata uchaguzi mkuu wasishiriki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
yanaanzaga hivi hivi....tatizo ni Lisu and Heche kutoona umuhimu wa reconciliation kwa uharibufu walioufanya wao kwenye kampeni! Ujuaji mwingi usio na maana ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…